Mazingira ya shule hayaanzii darasani, usiwe kilaza. Kusoma vizuri darasani na ufaulu unategemea zaidi mazingara ya nyumbani, kijijini au mtaani.
Kama shule iko mbali na makazi na watoto wote wanatembea kwenda shule ni wazi watakaoathurika zaidi ni watoto wa kike.
Kwenye jamii nyingi watoto wa kike ndio wanaofanya kazi za nyumbani kupika, kufua, kuosha vyombo, kutafuta kuni, kuchota maji n.k.
Miaka michache tu hapo nyuma ukeketaji ulikuwa ni tatizo kubwa lililowafanya watoto wengine wa kike kukimbia kwao. Kuna watoto wa kike wanasoma wakiwa na mawazo kichwani wazazi wao wanataka kukatisha masomo na kuwaoza mapema. Watoto kama hawa unawafidiaje kuwasadia darasani darasani??
Kuna suala la hedhi ambako sehemu nyingine za vijijini hao watoto wa kike waliobalehe wanapoteza hadi wiki nzima kutokana na kukosa pedi na mazingira mengine magumu ya shule wakiwa katika hali hiyo.
Hapa hatajuzangumzia hata kama mazingira yangekuwa sawa, mtoto wa kike akiishia kidato cha 4 na hana muelekeo kupata mimba ni dakika 0 tu, mwanaume hapati mimba na anaweza kufanya kazi nyingi zaidi kuliko mwanaume.
Kipi ambacho hamuelewei nyie local Andrew Tates??
Kwa namna umeongea umenikumbusha kuhusu story moja ya mashindanonya wanyama ambapo, zoezi la kwanza ilikuwa ni kukwea mti mrefu sana na mshindi apatikane.
Washiriki walikuwa ni tembo, nyani, samaki, nyoka, pundamilia na wengineo. Sasa jiulize hapo hili shindano lilikuwa linalenga nini maana hawa wanyama hawafanani hata kimaumbile na hata mazingira yao je wangeza kufanya jambo moja perfectly?
Jibu ni hapana.
Jamii ya sasa inaamini katika mfumo wa elimu bila hata kiquestion mfumo wa elimu umekuwa structured vipi. Je unaendana na mahitaji yetu, mwisho wa siku unatimiza malengo tunayotarajia.
Je huu mfumo walengwa wake ni akina nani by nature?!
Hivi mfano ukitangaza chuo cha urembo, mapambo ya kike, upishi, na fashion utategemea tuwe na 50/50 registration ya wanafunzi wa jinsia ya kiume na kike. Nini itakuwa target yetu?
Leo tunawaforce hawa mabinti kwenda shule katika mazingira ambayo hata wao hayawa accommodate, ili baada ya miaka 20 tupate nini, and tunawekeza mabilioni ya pesa katika hizi project hasara.
Sio kwamba tunakosea kulazimisha mtoto wa kike apitie trainings zile zile kama wa kiume ili tutegemee matokeo yale yale kwa mtoto wa kike na wakiume?
So mtoto wa kiume anapata hedhi for at least 5 days in a month, plus mtoto wa kike anatakiwa kukeep up na majukumu ya nyumbani sababu ni sehemu ya kumuandaa kijamii kuwa mwanamke, asipofanya hivi hata akimaliza shule unataka kunambia hatokuja kuwa mke wa mtu au mama wa familia so ni wapi wanatoa hayo mafunzo au kumuandaa kwa hilo?!
Kuna sehemu tunakosea aisee. Inabidi huu mfumo wa elimu ufumuliwe tujue tunakosea wapi. Pengine watoto wa kiume na wakike hawatakiwi kusoma at the same system maana kuwaweka sehemu moja why inaonekana kama wakike analazimika kusaidiwa ili awe kama wa kiume why isiwe naturally tu wa kike na wa kiume kuwe na vitu wawe wana click by nature sio human force au society Pressure?
Ina maana kama watoto wa kike wanatakiwa kupewa sapoti na empowerment it means this system kwao sio match they have to deal with another system for them.