Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Wewe unavyoona hali ya ustawi wa jamii miaka ya uhuru na sasa ni sawa?! Hebu tumia akili kidogo au ndio wale madogo wa kuzaliwa 2000 unabishana na watu tulioshuhudia babu akiwa na nguvu zake.
Toa upumbavu wako nani aliyesema ustawi ni sawa? Huo huo ustawi ukiokuwa unawakandamiza wanawake ndio wanapata Sasa hivi Hadi itimie 50/50 na Bado mtalia sana.
 
Kwani wanawake walikuwa wanapelekwa shule? Si mlikuwa mnawaoza? Ni Hadi Serikalini ilipowakomalia ndio walau wakaanza kusoma na Sasa wanapewa Chao.
Na sasa hawaozwi ila wapigwa miti wanapata watoto bila ndoa tena kwa wingi. Hao ambao wameolewa ulishawatafuta ukaona hali zao then ufananishe na hawa ambao hadi anafika miaka 35 ana watoto baba tofauti ila hajielewi na malezi yake kwa watoto ni questionable?
 
Wewe unavyoona hali ya ustawi wa jamii miaka ya uhuru na sasa ni sawa?! Hebu tumia akili kidogo au ndio wale madogo wa kuzaliwa 2000 unabishana na watu tulioshuhudia babu akiwa na nguvu zake.
Suala la walimu liondoe kabisa hapa, usilichanganye. Huo ni mjadala mwingine kabisa. Walimu walitakiwa wachaguliwe kutoka daraja la 1 na la 2 tu. Mwanaume iwe division 1, mwanamke iwe kuanzia division 2.
 
Ufikirie ufaulu wanafunzi katika mfumo "range" zilikubaliwa na sio "absolutes".

Yani C-A(C, B, B+, A), III-I badala ya F na A tu, au 1 na 0 tu. Kama umefikia chuo unaelewa maana ya GPA, ina range.

Mitihani ya wanafunzi wote huwa inasahihishwa kwa usawa, hakuna ambaye huwa anaongezewa au kupunguziwa maksi.
Utafauti huwa unakuja katika kuwachagua kwenda shule au vyuo, hapo ndipo watasema mwenye III kati ya jinsia mbili mwanamke atapewa kipaumbele, mwenye III kati ya mlemavu, albino na mtu asiye mlemavu hao walemavu ndio wanapewa kipaumbele.

Ni hivyo kwenye mikopo ya HESLB pia japo ni mkopo unaolipwa, ila siku serikali ikiwa na pesa za kuwapa wote wanaotaka hakutakuwa na hivyo vigezo sijui nyumba yenu ni ya makuti, bati au vigae, yatima n.k.
Nikujulishe tu kuwa si tu kwamba nimefika University bali hadi nilipitiliza. Nashukuru kwa ufafanuzi nimekuelewa na hata mimi nimetia comment nyingine inayoendana na haya maelezo Yako. In short male gender is the privileged and special group in any society. Over.
 
Mkuu huu upendeleo upo muda mrefu na athari zake tumeshaanza kuziona katika mazingira na maeneo mbalimbali ya uwajibikaji.
Hivi sasa tuna graduates wengi wa kike ambao walipata upendeleo katika ufaulu kuanzia msingi hadi secondary na hatimaye wengi chuo waliishia kupata shahada zao baada ya kuhonga penzi kwa wahadhiri kwakuwa hawakuandaliwa kujipambania bila mbeleko.
Hao ndiyo sasa tunakutana nao kazini ambao hata kujenga hoja hawawezi na mambo mengi ya kiutawala yanawashinda kwakuwa wamefika hapo walipo kwa mbeleko.
Hii imepelekea wengi kuwa na hali ya kutojiamini na kuona wanadharaulika eti kwakuwa wao ni wanawake lakini kiuhalisia wanadharaulika baada ya kuonekana wengi kichwani ni weupe.
Na madhara haya yametapakaa katika kila idara na katika ngazi nyingi za kiutawala tumejikuta tunaongozwa na wasio na sifa.
Nadhani yatengenezwe mazingira kuwe na ushindani wa haki na kila mtu apate anachostahili kuliko kuongeza idadi ya wanawake wengi kwenye nafasi mbalimbali bila kujali ubora wa hao wanawake wanaopewa hizo nafasi.
Ukitafiti au ukifuatilia utakutana na haya juu ya watendaji wa kike maofisini.

1. Wengi ndio chanzo cha kuongezeka rushwa katika ofisi za serikali tofauti na miaka ya nyuma sababu ni rahisi sana wakishafundishwa namna ya kuiba au kuomba rushwa wanatengeneza addiction nayo.

2. Recently bajeti za mawizara zimekuwa juu sana na hii ni kutokana na ongezeko la watendaji wa kike. Wanawake katika hizi ofisi za serikali wanaongoza sana katika kurequest matumizi yasiyo ya lazima mfano kusafiri kwa ndege, gari binafsi sehemu ambapo angeweza kwenda hata kwa basi, sherehe, posho, na kadhalika, hivi vitu vimezidi kuongezeka na hivyo kuongeza mzigo mkubwa serikalini eneo la bajeti.

3. Ufanisi serikalini umepungua sana. Haya ni matokeo ya watendaji wa kike kuongezeka na matokeo yake kupungua kwa muda wa kufanya kazi na hata uwezo wenyewe wa kufanya kazi. Sababu ni wengi kuwa na sifa chini ya uwezo walio nao mfano matokeo makubwa ya chuo lakini weledi hakuna, mood swings, beef kati ya wanawake humo maofisini, maternity leave, siku za mwezi ambazo hufika hata siku 5, mahusiano kati ya wafanyakazi na mabosi zao jambo ambalo hushusha ufanisi.

4. Wanawake hupenda kulipwa zaidi kwa kazi ndoto au kwa kutofanya lolote. Matokeo yake hii imejenga tabia ya kudai masilahi zaidi kutoka kwa mabosi zao na pesa kutolewa nje ya utaratibu ndio maana miradi ya serikali inazidi kukwama siku hadi siku tofauti na zamani ambapo kulikuwa na wanawake makini kazini sio hawa wa haki sawa wa siku hizi ambao wapo entitled kulipwa hata kwa wasichofanya.

5. Wanawake hufanya kazi za kutumia akili na hata nguvu masaa machache tofauti na wanaume sababu ya udhaifu wa kibailojia. Mwanamke muweke chumba kisicho na AC namna atamhudumia mteja wa kwanza itakuwa tofauti sana na namna atahudumia mteja wa 10. Sababu wao mazingira tu yanaweza cheza na hisia zao na kuwafanya wabadilike tofauti na wanaume ambao huchukulia mazingira magumu sehemu ya motivation ya kuongeza nguvu na kuchakalika.
 
Mkuu tumefika mahali pabaya sana. Ipo siku wanaume wataanza kunyanganywa mali na kupewa wanawake ilmradi tu kutafuta usawa kwa njia zozote, hata za haramu. Nchi inaendeshwa kwa misingi ya kijuha na mijitu imekaa kimya. Tutaangamia sote kwa pamoja!
Hapana huko hatuwezi kufika.
 
Huwa tunazipokea sera nyingi na kuziingiza katika utekelezaji bila kufanya upembuzi yakinifu juu ya madhara ya muda mfupi na mrefu wa utekelezaji wa sera hizo.
Tunaamini kila kinachosemwa na ngozi nyeupe ni sahihi bila kuangalia uhalisia wa mahitaji yetu kama Taifa
Na hapa ndipo watu wanafeli. Mzugu sio mwafrika. Kuna vitu mzungu anapatia ila sio vyote hawezi kuwa sahihi 24/7.
 
Hakuna mtu yeyote analazimishwa kuwa chochote na serikali. Serikali inachofanya ni kuondoa au kusahihisha vikiwazo vya kimfumo "systematic" kwa wale wanaotaka kuwa engineer, Doctor, au chochote. Nyie local Andrew Tates mna hoja zilizo mufilisi sana.
Mkuu sio systematic bali ni systemic ✅ . Naona hili jambo umelishupalia sana utadhani hiyo systemic problem ina affect Tanzania pekee hapa duniani. Mbona nchi nyingine zinazojitambua kama Kenya, Rwanda na Uganda hawafanyi ujinga huu? Kwanini ufanyike Tanzania tu au kwa kuwa nchi inaongozwa na mwanamke sasa imekuwa nongwa?
 
Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha. Baada ya kushuhudia upendeleo kwa watoto wa kike wanaochaguliwa kuingia kidato cha tano, imenilazimu kutoa angalizo. Kama nchi tunakoelekea sio kuzuri. Kuna baadhi ya watu watachukulia poa lakini upendeleo huu ikiwa utadumu, basi tutarajie kutokea majanga katika nchi yetu.

Kuna waraka nimeuona unatembea social media unaonyesha wanafunzi wa kike kupewa upendeleo maalumu kuingia kidato cha 5. Kwa mfano, kwa tahasusi ya PCB na PCM wasichana watakaochaguliwa kuingia kidato cha 5 ni wenye ufaulu kuanzia alama 7 mpaka 17 wakati kwa wavulana ni kuanzia alama 7 hadi 15! Mbali na tahasusi hizi pia kuna tahasusi nyingine ambazo wasichana wamepewa upendeleo maalumu ili kuwaboost waingie kidato cha 5 kwa ubwete. Waraka huo umetolewa na wizara ya elimu na utaanza kutumika rasmi kuanzia mwaka huu.

Tumekuwa tukishuhudia upendeleo kwa wanawake kwenye siasa kwa kugawiwa nafasi za ubwete kupitia viti maalumu. Sasa naona huu upendeleo umevuka mipaka hadi kwenye elimu. Tunaliangamiza taifa kwa mikono yetu wenyewe, ama kwa makusudi au kwa kutokujua madhara ya baadaye kwa hiki tunachokifanya. Nafikiri upendeleo huu hauwezi kufanyika pasipo Rais wa nchi kushirikishwa na huenda ndiye kaagiza ifanyike hivyo. Lakini amini nawaambia upendeleo wa aina hii una madhara makubwa kuliko unavyoweza kudhani.

Wewe fikiria watoto wa jinsia zote (ke & me) wanafundishwa na mwalimu mmoja kwenye madarasa na mazingira yale yale na mtaala ni mmoja lakini baada ya mitihani watoto wa kike wanapata upendeleo maalumu. Unafikiri watoto wa kiume watajisikiaje au unataka wafanye nini?

Kwa harakaharaka nimegundua madhara yafuatayo yatajitokeza:

1. CHUKI KWA WANAWAKE
Kwa kuwa upendeleo unafanyika waziwazi huku watoto wa kiume (wanaume) wanaona, itafika wakati itajengeka chuki kati ya wanawake na wanaume kuanzia mashuleni hadi makazini kwa wanaume kushindwa kuwapa ushirikiano wanawake. Hata wakati wa kuomba ajira, kwenye usaili wanawake watakuwa wanakaziwa zaidi kwa kuwa walipendelewa kufika hapo walipo. Hii itajenga chuki itakayosambaa na kusababisha mpasuko wa kitaifa.

2. KUSHUKA KWA UFAULU WA WASICHANA
Kwa kuwa watabakia kuwa na akili za kupendelewa, basi hata kwenye masomo watashindwa kufanya jitihada za makusudi na matokeo yake ufaulu wao utazidi kushuka mwaka hadi mwaka. Sasa huu upendeleo utakuwa umewasaidia nini zaidi ya kuwadidimiza?

3. KUONGEZEKA KWA VITENDO VYA KISHOGA
Watoto wa kiume watadhani kuzaliwa wanaume ni makosa au laana. Matokeo yake watatamani wangezaliwa kama wanawake, jambo ambalo lisingewezekana. So, kufuatia kuongezeka vitendo vya kishoga hapa nchini, itakuwa rahisi kurubuniwa kuingia kwenye ushoga, hata ikibidi kubadili jinsia kwa upasuaji ili wawe wanawake wapate upendeleo wa bwerere.

4. KUONGEZEKA UKENGEUFU MIONGONI MWA WANAWAKE
Kuanzia sasa tutarajie kuongezeka mimba za wanafunzi, school dropouts na ujinga mwingine mwingi tu kutoka kwa watoto wa kike kwa kuwa sasa wamepewa nafasi ya kurelax bila kusoma wakisubiri kupendelewa. Na pia tukumbuke tayari wanayo ofa nyingine ya kurejea shule baada ya kujifungua. Tutarajie idadi ya wanafunzi wazazi kuongezeka mara dufu.

5. UNAHARAKATI UCHWARA
Watoto hawa wanaobebwa sasa, wakiwa wakubwa lazima watajiingiza kwenye uanaharakati wa kukandamiza wanaume kwa kisingizio cha kutafuta "haki sawa kwa wote". Watakuwa siku zote, kutwa kucha, wanajikita kwenye uanaharakati na kusahau majukumu yao ya kuwahudumia waume zao na kulea familia. Wataenda mbali zaidi kutaka wanaume nao wafanyiwe upasuaji ili wawasaidie kubeba mimba. Kutakuwa na taifa hapo? Obviously, taifa litasambaratika na kuvunjika vipandevipande!

6. KUONGEZEKA DIGRII ZA CHUPI
Wanafunzi hawa wanaopendelewa kuingia kidato cha 5, kipindi wakifika vyuo vikuu watataka bado waendelee kupendelewa. Hapo ndipo idadi ya digrii za chupi itakapoongezeka. Na kuanzia hapo itakuwa ni mwendo wa kuvua chupi tu hadi kwenye kutafuta ajira na kupanda vyeo huko makazini. Tunajenga taifa la ovyo sana hapo baadaye.

MAONI YANGU
Huu upuuzi unafanyika nchini Tanzania tu. Kama kuna nchi yoyote hapa ulimwenguni inafanya ushirkina huu, niite umbwa mimekaa paleee! Haijawahi kutokea tukawa na upendeleo wa kielimu wa aina hii katika nchi hii. Upendeleo wa kipuuzi kama huu unapaswa kuishia kwenye siasa. Wewe fikiria binti kapendelewa hadi amekuwa daktari. Je, huko mtaani atakuwa anatibu wagonjwa wa upendeleo wenye magonjwa ya upendeleo? Hii ni hatari sana.

Nawasilisha.
Kwanza wewe ni mpuuzi Sana na una dharau Kwa Wanawake..

Kwa Sasa kuanzia Sekondari Hadi vyuo Vikuu wadada ndio wanaingiza,Sasa umeona unazidiwa unakuja kutukana Wanawake huku.
 
Chukulia kama sheria mpya ya mpira ya FIFA kuleta usawa katika mchezo uwanjani. Timu moja inaongoza 2-0 dhidi ya timu nyingine kwa hiyo wachezaji wake wanajiangusha na kujifanya wameumia kila mara ili kupoteza muda, Refa anazihesabu hizo dakikia zote zilizopotezwa na anazioongeza baada ya zile 90 hata kama zitafika 120. Hapo refa anakuwa habalance ili timu iliyofungwa ipate goli bali anawatendea haki tu.

Mfano mwingine ni sheria ya goli la ugenini,

Mfano mwingine ni financial fair play ambayo imefanya Juventus kunyang'anywa pointi 10. Sio kwamba Seria A wanataka Juventus iwe sawa na vilabu vingine bali wanataka uwanja wa ushindani uwe sawa kwa timu zote.

Mifano ni mingi sana ili nimewapa hii michache mepesi muelewe mapema.
Hii mifano hairandani na hoja iliyopo kwenye mjadala. Mfano mzuri ni tuwe kwenye riadha ambayo washiriki wameomba kwa ridhaa yao kuingia.

Halafu waanze kulia lia kuwa wanataka baruti ikilia wao waruhusiwe kukimbia mita kadhaa ndipo hawa wengine waruhusiwe. Sasa hapo mlikuja kufanya nini?!
 
Matokeo ya upendeleo wa jinsi ya ke uko wazi karne hii ambapo maadili yanamomonyoka kwa sababu mama wamekuwa wanaharakati zaidi kuliko mama walezi wa watoto. Tunachoshuhudia ni vijana wasiozingatia mila na desturi zetu za kiafrika kwa kukosa malezi sahihi wallipokuwa watoto.

Hivyo basi, kuendeleza upendeleo wa jinsi ya ke kutazidisha uhanarakati wao na wakati wa umama wao kupunguza muda wao wa kulea watoto katika mila na tamaduni zetu. Km kumetokea mtindo wasichana kuona fahari ya kuwa "single mother" ati kwa sababu "ndoa ni ndoano".
Kwa mfano msikilize mbunge huyu hadi mwisho, Je anatoa suluhisho gani kwa hayo aliyozungumza.
Je suluhu anazorukia ni sahihi? Naaza kufikiria labda akina mama wawajibike kama zamani
 
Wavulana wana muda mwingi was kujisomea, wasichana wakurud shule wanakaz pia za familia na kulea wadogo zao .mi nakumbuka kipnd hicho nikirud hom mama hayupo nitakuta mivyomboo ya Jana usiku na kutwa yote nioshe then niingie jikon, kaka akirud anaenda mpiran
Yet bado wanaofaidika na hii kitu ni mabinti wanaotokea familia zenye uwezo wa kuajiri House Girl, na hawana hayo majukumu umesema.

Mabinti wanaotokea hizo familia za kipato cha chini wengi huwa wanafeli masomo na kushindwa kuendelea

Upande mwingine kuna watoto wa kiume wanaishi mazingira magumu sana kutumwa tumwa makazi ya kuwakeep busy na majukumu kibao. Ila boy child kazaliwa na spirit ya kijeshi huwa wanakaza na wanatoboa na hata division 2 or 3. Sasa huoni hii ni mbaya sana na ni uonevu.
 
Utafauti huwa unakuja katika kuwachagua kwenda shule au vyuo, hapo ndipo watasema mwenye III kati ya jinsia mbili mwanamke atapewa kipaumbele, mwenye III kati ya mlemavu, albino na mtu asiye mlemavu hao walemavu ndio wanapewa kipaumbele.
Kumbe jinsia ya kike ni sawa na ulemavu? Aisee, hapa sasa unazidi kuwadhalilisha wanawake wenzako, punguza mihemko!
 
Maybe hayo hayakua malezi poa mayb umekulia mjini ni wamiaka ya karibuni ila kwa wengine tulokuzwa vijijini ilikua tukitoka shureni vijana wakume direct porin kukata kuni wanawake walibaki home kuandaa chakula cha jioni na mida ya jioni nikufata ng’ombe na mbuzi kuzirudisha zizini na tunakamua maziwa tunarud nayo yakuuza na kutumia nyumbani ila mkimaliza ni kuoga na mnaenda kuwasaidia wadada na mama kazi za jikoni zilizozid na nilikua nikifurahia kwakweli hasa jioni tunapojumuika jikoni story hua nyingi na sikuona mtoto wakike anapoonewa sijajua upande wenu.
Umekapatia real experience, kalikuwa kanaleta story za janja ya nyani kula mahindi ya mwenye shamba hapa
 
Hili siyo jambo baya. Hata mimi naunga mkono. Nia hasa ni kurekebisha pengo la elimu lililopo kati ya wasichana na wanaume. Miaka ijayo pengo likipungua basi wanaweza kurudisha utaratibu wa sasa.
Kuna makosa yanaweza fanyika kwa miaka 20 tu ila hasara yake ikasumbua kwa miaka 100 na ikachukua miaka 200 kujijenga upya kurudi ubora ule wa miaka 20 iliyoanza uharibifu.
 
Safi sana Hana zero kajitahidi mbona ni imeanza zamani
Na wewe una amini hakuna zero kweli, hivi unajua kuna watu. Wamekwenda form one hawajui kuandika na kusoma vema, kuhesabu shida lugha ya Malkia ndio zero kabisa. Umeshawahi jiuliza wamepitaje?!
 
Back
Top Bottom