Rais Samia kama Pindi Chana alifeli Wizara Mbili kakudanganya nani kuwa hii ya sasa ataimudu?

Rais Samia kama Pindi Chana alifeli Wizara Mbili kakudanganya nani kuwa hii ya sasa ataimudu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ongea yake tu kama Umesoma na Kubobea vyema katika Saikolojia utagundua kuwa hakuna Mtu na hana akijuacho na anachokiweza.

Waziri muda wote akiwa katika Podium Yeye Kazi yake ni kuwa tu Sycophant ( Flaterrer ) kwa Rais Samia na si kusema Mikakati ya Wizara unategemea kweli akuletee Tija / Ufanisi wa Kiutendaji?

Rais Samia una nini na huyu Incompetent Minister Pindi Chana kiasi kwamba Unaogopa Kuachana nae kabisa na badala yake unamhamisha hamisha tu kama Bakuli za Mboga za Wateja Hotelini?

Kama kuna Waziri ambaye sijawahi Kuona alichokifanya katika Docket yake basi ni huyu Pindi Chana.

Tafadhali Waziri Pindi Chana unaonekana una Mganga wa Kienyeji mzuri mno ndiyo maana Hutumbuliwi na upo kila Mabadiliko yakitokea hivyo tunakuomba utuunganishe haraka nae ( huyo Mganga wako wa Kienyeji Hatari ) ili tumuombe aisaidie Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) iweze Kushinda Mechi yake Ngumu na Algeria tardhe 7 Septemba, 2023 nchini Algeria ili tuweze Kufuzu Michuano ya AFCON ya Msimu ujao sawa?
 
Kaharibu nini hapo Sanaa, Utamaduni na Michezo?
 
Watu hawa hawa ambao wanafanya kazi ya kuhamishana hamishana ili kulindiana mapungufu ndio wanatuambia bandari ibinafsishwe kwakuwa ikiongozwa na wazawa haitakuwa na ufanisi.

Nchi ambayo watu ni wale wale, mtu mmoja anazungushwa wizara zote na hakuna anachofanya na ni waziri chini ya marais zaidi ya wawili. Ufanisi utatoka wapi?
 
Sasa kama ni mwanasiasa na katibu mkuu wizarani yupo, yeye afanyaje?
 
Yupo MCHENGERWA kila Baraza likifanyiwa marekebisho lazima jina lake liwepo.
Nashangaa kwanini hakupewa huu u deputy PM.
 
Ongea yake tu kama Umesoma na Kubobea vyema katika Saikolojia utagundua kuwa hakuna Mtu na hana akijuacho na anachokiweza.

Waziri muda wote akiwa katika Podium Yeye Kazi yake ni kuwa tu Sycophant ( Flaterrer ) kwa Rais Samia na si kusema Mikakati ya Wizara unategemea kweli akuletee Tija / Ufanisi wa Kiutendaji?

Rais Samia una nini na huyu Incompetent Minister Pindi Chana kiasi kwamba Unaogopa Kuachana nae kabisa na badala yake unamhamisha hamisha tu kama Bakuli za Mboga za Wateja Hotelini?

Kama kuna Waziri ambaye sijawahi Kuona alichokifanya katika Docket yake basi ni huyu Pindi Chana.

Tafadhali Waziri Pindi Chana unaonekana una Mganga wa Kienyeji mzuri mno ndiyo maana Hutumbuliwi na upo kila Mabadiliko yakitokea hivyo tunakuomba utuunganishe haraka nae ( huyo Mganga wako wa Kienyeji Hatari ) ili tumuombe aisaidie Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) iweze Kushinda Mechi yake Ngumu na Algeria tardhe 7 Septemba, 2023 nchini Algeria ili tuweze Kufuzu Michuano ya AFCON ya Msimu ujao sawa?
Ngoja nilale kwanza
 
Ongea yake tu kama Umesoma na Kubobea vyema katika Saikolojia utagundua kuwa hakuna Mtu na hana akijuacho na anachokiweza.

Waziri muda wote akiwa katika Podium Yeye Kazi yake ni kuwa tu Sycophant ( Flaterrer ) kwa Rais Samia na si kusema Mikakati ya Wizara unategemea kweli akuletee Tija / Ufanisi wa Kiutendaji?

Rais Samia una nini na huyu Incompetent Minister Pindi Chana kiasi kwamba Unaogopa Kuachana nae kabisa na badala yake unamhamisha hamisha tu kama Bakuli za Mboga za Wateja Hotelini?

Kama kuna Waziri ambaye sijawahi Kuona alichokifanya katika Docket yake basi ni huyu Pindi Chana.

Tafadhali Waziri Pindi Chana unaonekana una Mganga wa Kienyeji mzuri mno ndiyo maana Hutumbuliwi na upo kila Mabadiliko yakitokea hivyo tunakuomba utuunganishe haraka nae ( huyo Mganga wako wa Kienyeji Hatari ) ili tumuombe aisaidie Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) iweze Kushinda Mechi yake Ngumu na Algeria tardhe 7 Septemba, 2023 nchini Algeria ili tuweze Kufuzu Michuano ya AFCON ya Msimu ujao sawa?
Jinsia yake pekee ndicho kinachombeba na si vinginevyo.
 
Yupo MCHENGERWA kila Baraza likifanyiwa marekebisho lazima jina lake liwepo.
Nashangaa kwanini hakupewa huu u deputy PM.
Anatafutiwa 'Timing'. Usije shangaa siku moja ambayo si mbali akatangazwa kuwa Prime minister
 
Ongea yake tu kama Umesoma na Kubobea vyema katika Saikolojia utagundua kuwa hakuna Mtu na hana akijuacho na anachokiweza.

Waziri muda wote akiwa katika Podium Yeye Kazi yake ni kuwa tu Sycophant ( Flaterrer ) kwa Rais Samia na si kusema Mikakati ya Wizara unategemea kweli akuletee Tija / Ufanisi wa Kiutendaji?

Rais Samia una nini na huyu Incompetent Minister Pindi Chana kiasi kwamba Unaogopa Kuachana nae kabisa na badala yake unamhamisha hamisha tu kama Bakuli za Mboga za Wateja Hotelini?

Kama kuna Waziri ambaye sijawahi Kuona alichokifanya katika Docket yake basi ni huyu Pindi Chana.

Tafadhali Waziri Pindi Chana unaonekana una Mganga wa Kienyeji mzuri mno ndiyo maana Hutumbuliwi na upo kila Mabadiliko yakitokea hivyo tunakuomba utuunganishe haraka nae ( huyo Mganga wako wa Kienyeji Hatari ) ili tumuombe aisaidie Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) iweze Kushinda Mechi yake Ngumu na Algeria tardhe 7 Septemba, 2023 nchini Algeria ili tuweze Kufuzu Michuano ya AFCON ya Msimu ujao sawa?
Ongea yake tu kama Umesoma na Kubobea vyema katika Saikolojia utagundua kuwa hakuna Mtu na hana akijuacho na anachokiweza.

Waziri muda wote akiwa katika Podium Yeye Kazi yake ni kuwa tu Sycophant ( Flaterrer ) kwa Rais Samia na si kusema Mikakati ya Wizara unategemea kweli akuletee Tija / Ufanisi wa Kiutendaji?

Rais Samia una nini na huyu Incompetent Minister Pindi Chana kiasi kwamba Unaogopa Kuachana nae kabisa na badala yake unamhamisha hamisha tu kama Bakuli za Mboga za Wateja Hotelini?

Kama kuna Waziri ambaye sijawahi Kuona alichokifanya katika Docket yake basi ni huyu Pindi Chana.

Tafadhali Waziri Pindi Chana unaonekana una Mganga wa Kienyeji mzuri mno ndiyo maana Hutumbuliwi na upo kila Mabadiliko yakitokea hivyo tunakuomba utuunganishe haraka nae ( huyo Mganga wako wa Kienyeji Hatari ) ili tumuombe aisaidie Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) iweze Kushinda Mechi yake Ngumu na Algeria tardhe 7 Septemba, 2023 nchini Algeria ili tuweze Kufuzu Michuano ya AFCON ya Msimu ujao sawa?
Hivi sio kwamba mpangaji nae anakuwa amefeli kwa kufanya hivyo? Vipi kuhusu Bashungwa, mbona wizara nyingi sana anapitia?
 
Mkwe huyo lazima aendelee kula Keki.
Wakati chancellor Shroeder alikua kiongozi wa ujerumani,. Kaka yake mama mmoja alikua anafanya kazi ya kuzoa taka mjini. Hakumpa Kaka yake hata ujumbe wa nyumba kumi mpaka anamaliza uongozi, Wala hakumpa hela ya wizi afungue biashara.
Njoo Sasa huku uswazi, GENTAMYCINE angepata uwaziri mkuu leo,, Yule mtoto wa shangazi yake ambaye ni mama ntilie angepewa umeneja wa hoteli ya umma. Ndugu zake wa damu wangekua wabunge wa kuteuliwa, wakurugenzi na wakuu wa wilaya nyeti.
 
Back
Top Bottom