Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kamaliza.View attachment 2933383
Rais Samia amewataka Viongozi kuhakikisha wanasimamia Bei Elekezi ya Sukari na kuwachukulia hatua Wanaokiuka bei iliyotangazwa huku akiwataka Wanaoshiriki kuharibu bei kuacha mara moja
Amesema "Tunashukuru Sukari imesambaa na nyingine inakuja nendeni kasimamieni, wale watukutu kashughulikaneni nao. Kama mnakula nao kuanzia sasa acheni, kama ndiyo wanaowagawia vijifedha huko acheni shughulikieni wananchi"
Kauli ya Rais Samia inakuja wiki moja baada ya JamiiForums kuendesha Mjadala kupitia XSpaces ambapo Bodi ya Sukari ilisema mwaka huu (2024) utakuwa na changamoto kubwa ya Sukari kuliko mwaka 2023
Ndo ashawakaripia hapo......View attachment 2933383
Rais Samia amewataka Viongozi kuhakikisha wanasimamia Bei Elekezi ya Sukari na kuwachukulia hatua Wanaokiuka bei iliyotangazwa huku akiwataka Wanaoshiriki kuharibu bei kuacha mara moja
Amesema "Tunashukuru Sukari imesambaa na nyingine inakuja nendeni kasimamieni, wale watukutu kashughulikaneni nao. Kama mnakula nao kuanzia sasa acheni, kama ndiyo wanaowagawia vijifedha huko acheni shughulikieni wananchi"
Kauli ya Rais Samia inakuja wiki moja baada ya JamiiForums kuendesha Mjadala kupitia XSpaces ambapo Bodi ya Sukari ilisema mwaka huu (2024) utakuwa na changamoto kubwa ya Sukari kuliko mwaka 2023
TunduHv tukimuacha Samia nani mwingine anaweza kuwa raisi
Tufanyaje tupambane ili awe raisi wa TzTundu
Mkuu uzito ni familia yako siasa za bongo ukitaka figisu ingia humoKauli yake naona kama haina uzito hivi.
Ngoja tuone.
Sukari ipo madukani na bei ni ya kawaida,sehemu nyingi haizidi 2700.View attachment 2933383
Rais Samia amewataka Viongozi kuhakikisha wanasimamia Bei Elekezi ya Sukari na kuwachukulia hatua Wanaokiuka bei iliyotangazwa huku akiwataka Wanaoshiriki kuharibu bei kuacha mara moja
Amesema "Tunashukuru Sukari imesambaa na nyingine inakuja nendeni kasimamieni, wale watukutu kashughulikaneni nao. Kama mnakula nao kuanzia sasa acheni, kama ndiyo wanaowagawia vijifedha huko acheni shughulikieni wananchi"
Kauli ya Rais Samia inakuja wiki moja baada ya JamiiForums kuendesha Mjadala kupitia XSpaces ambapo Bodi ya Sukari ilisema mwaka huu (2024) utakuwa na changamoto kubwa ya Sukari kuliko mwaka 2023
Mtu mzima hafokewi.Rais una Kila aina ya idara chini yako, fanya uchunguzi bainisha hao wapuuzi uchukue hatua, ushaona wapi watenda maovu wanabembelezwa eti waache
Ila Samia bana
adriz Jagina hydroxo Accumen Mo Mufti kuku The Infinity🤣🤣kisa wameanza kushinda njaa wajahidiin ndo kakumbuka suala la bei ya sukari👌
Semenya unapenda sana sukari.
Kuna Authoritative Voice,Kauli yake naona kama haina uzito hivi.
Ngoja tuone.
Acha mzaha mtumishi toka uanze kunena kwa lugha (usiyoielewa) unajiona unaenda mbinguni kabisaa.🤣🤣kisa wameanza kushinda njaa wajahidiin ndo kakumbuka suala la bei ya sukari👌
Poleen mjahideenAcha mzaha mtumishi toka uanze kunena kwa lugha (usiyoielewa) unajiona unaenda mbinguni kabisaa.
watu wa pwani ogopaKauli laini Sanaa!
Huyu na JK hawana tofauti.
. Ni mbwa asie na meno
Sijui yukoje yaaniRais una Kila aina ya idara chini yako, fanya uchunguzi bainisha hao wapuuzi uchukue hatua, ushaona wapi watenda maovu wanabembelezwa eti waache
Ila Samia bana
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]kisa wameanza kushinda njaa wajahidiin ndo kakumbuka suala la bei ya sukari[emoji108]
🤣 🤣 🤣 wanasema(ga) guu kando, guu rejesha🤣🤣, weeye waenda sivyo aaamaa!Mguu pande, mguu rejesha!
Kuwa na Rais mwanamke kunahitaji uvumilivu mnoo wapendwa ndy maana waisilamu hawataki kuongozwa na wanawake kwenye nyumba zap za ibadaRais una Kila aina ya idara chini yako, fanya uchunguzi bainisha hao wapuuzi uchukue hatua, ushaona wapi watenda maovu wanabembelezwa eti waache
Ila Samia bana
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Very soft and light statements