Rais Samia, kama walivyofanya Malawi na sasa Kenya, nasi kama vijana wa Tanzania, tupo tayari kwenda Israel kuwa vibarua

Nawaza nipate laki tatu kwa mwaka nilaze m20 kuna mpuuzi anawaza kukimbia nchi bro ukitaka kufanikiwa fasta ndan ya nch hy lima bang gunia moja m1 heka inatoa gunia 40 broo nimekuibia sir hakuna uchw matajir weng wanafanya biashara haramu we bweteka kwa uoga ufe maskin ukikamatwa shaul yako
 
Asante mkuu, kwenye maisha yangu, nimeamishwa kufanya mabaya ni dhambi na kushindwa kuiona pepo

Staki biashara haramu, naamini uwezo alionipa Mungu nitatoboa tu
 
Nendeni mpelekwe Gaza kama jeshi la kukodi mkateketee halafu ndugu zenu waje humu kutufanyia fuji
Jamaa Yuko Tayari kwenda kuwa specimen ya new military strategy in warzone kwa sababu ya mshaara wa 4m.

Kwelii huu ugumu wa maisha umepelekea mpaka binadamu baadhi tumejichoka.
 
Tatizo utakufa vipi? Ukifa ukiwa muislamu mwenye kufanya ibada hapo sawa. Ukifa nje ya uislam hapo ndio shida
Nyoko wewe ....ukifa gaza underground utaenda kugegeda ma bikra 70+ jehenamu
 
Jamaa Yuko Tayari kwenda kuwa specimen ya new military strategy in warzone kwa sababu ya mshaara wa 4m.

Kwelii huu ugumu wa maisha umepelekea mpaka binadamu baadhi tumejichoka.
Siyo wote twende, wanaotakiwa kwenda ni wasiowaoga
 
Heading ya kipuuzi ungeweka msimamo wako bila kuhusisha wasiotoa misimamo yao.

Hapo umeweka mawazo yako af unamtaja samia kama vile kasema kitu.

Huu ni upuuzi.

Thread za hivi zina mislead viewers.
 
Heading ya kipuuzi ungeweka msimamo wako bila kuhusisha wasiotoa misimamo yao.

Hapo umeweka mawazo yako af unamtaja samia kama vile kasema kitu.

Huu ni upuuzi.

Thread za hivi zina mislead viewers.
Haya pia ni mawazo yako, ni lazima kutofautiana, yaani ulitaka niandike unavyotaka wewe? Hii siyo haki mkuu, sielewi pia kimekuleta nini kwenye uzi wa kipuuzi
 
Haya pia ni mawazo yako, ni lazima kutofautiana, yaani ulitaka niandike unavyotaka wewe? Hii siyo haki mkuu, sielewi pia kimekuleta nini kwenye uzi wa kipuuzi
Kwa hiyo unamwomba rais akupeleke israel?
 
Siyo wote twende, wanaotakiwa kwenda ni wasiowaoga
Brave man my sincere wellwishes to you in your next move in this life.

Naamini kwa huu moyo na spirit unayoionesha wewe lazima ni bonge la risk taker, hakika nakuombea kwa Mungu akusimamie kwa maamuzi unayoenda kuyafanya na uishi kuyaona matunda yake.

Naandika comment hii kwa dhati kabisa na sio kwa kejeli Wala kukuchora hapa.
 
Do you think forced idleness inahitaji siasa na sera zaid kuliko action?. Waache vijana wakasake yanayowezekana Leo na kesho. Hili la mabdiliko ya kweli kisiasa intkiwa liwe ngaz ya chama kwenye makaratas na maelezo, sio la Leo Wala kesho
 
Dah aiseee hata Mimi nitaenda uko kufa kupo tuu kifo akikimbiliki Cha msingi maokoto hizo kazi twazitaka sie tumekubali kufungia maandazi hii mikaratasi mnayoiita degree sijui
 
Niny jamaa mmemezeshwa wimbo mbaya sana wa katiba mpya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kenya hapo wana katiba mpya na ya mfano ila wanaenda Israel, ila hamtaki sisi tuombe nafasi za kwenda Israel tubaki tunaimba katiba mpya kila saa
 
Sio Kila kitu umwombe rais, tafuta passport, nenda ubalozi wa Israel au wasiliana nao ubalozi wa Israel nchini Kenya , ukatafute maisha. Nilikuwa na namba yao ya WhatsApp bahati mbaya nimepoteza wako sharp kujibu sms.
Itafute Tena mkuu utupasie sie Bora nikafe Gaza nikiwa napambania malengo yangu kuliko kufa Tanzania na njaa Kali na likaratasi la degree kwenye tranka
 
Haya bwana mkifika huko muungane nao kuwasaidia vitani, ila Hamas wakifanya yao wasije ndugu zenu kulialia humu.

God bless Hamas
God bless Palestinian
 
Haya bwana mkifika huko muungane nao kuwasaidia vitani, ila Hamas wakifanya yao wasije ndugu zenu kulialia humu.

God bless Hamas
God bless Palestinian
Usiwe muoga wa kifo mkuu, dunia hii ilishachukua mabilioni ya watu, kufa ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…