Raisi kaongea leo na Polisi na kuwaambia Camera za barabarani zinakuja. Mimi nazijua hizi Camera vizuri na nilifanikiwa kuishi Houston, Texas wakati zikiwepo. Haya ni mambo ya kuangalia na serikali iwe muhimu
1. Angalieni sana faini na mfumo wake. Mkiweka faini kubwa mtaongeza malalamiko sana kwa wananchi wakati hakuna mifumo mingi ya barabarani.
2. Watanzania wengi waendesha magari na wananchi hawaheshimu sheria hivyo toeni elimu.
3. Serikali muwe makini na mkataba na kampuni. Kuna kampuni zinafunga camera na kutaka asilimia fualani kwenye malipo muwe makini na hilo. Ni bora muweke wenyewe badala ya kutoa 30% ya mapato kwa kampuni! Hizi kampuni za Camera zinajua sana kuhonga. Moja ya kampuni kubwa ina makao makuu San Antonio, Texas ilikuwa inahonga hadi hapa USA.
Lakini kitu kingine huu mfumo ili ufanye kazi ni lazima sheria zirekebishwe mfano mtu asiko lipa faini inakuwaje? Wakati sheria zinatungwa hizi teknologia walikuwa hawazijui.
1. Angalieni sana faini na mfumo wake. Mkiweka faini kubwa mtaongeza malalamiko sana kwa wananchi wakati hakuna mifumo mingi ya barabarani.
2. Watanzania wengi waendesha magari na wananchi hawaheshimu sheria hivyo toeni elimu.
3. Serikali muwe makini na mkataba na kampuni. Kuna kampuni zinafunga camera na kutaka asilimia fualani kwenye malipo muwe makini na hilo. Ni bora muweke wenyewe badala ya kutoa 30% ya mapato kwa kampuni! Hizi kampuni za Camera zinajua sana kuhonga. Moja ya kampuni kubwa ina makao makuu San Antonio, Texas ilikuwa inahonga hadi hapa USA.
Lakini kitu kingine huu mfumo ili ufanye kazi ni lazima sheria zirekebishwe mfano mtu asiko lipa faini inakuwaje? Wakati sheria zinatungwa hizi teknologia walikuwa hawazijui.