Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Watakula kwa mishahara yao.Nimemsikia Rais Samia alisema Serikali itapinguza idadi ya Askari Polisi Barabarani Kwa kutumia teknolojia ya kamera maeneo mbali mbali.
My Take
Ni jambo jema ila Sasa Trafiki watakula wapi?
Over.