Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

Kujiridjisha ni muhimu jawezi kuchukuwa hatua bila kuwa na ushahidi wa kutosha pili, hizo invoice zinapitia mikono mingi saana kwa wote walikosea ama kazi ya procurement inafanywa na mtu mmoja. Anyway yusubiri report ya TAKUKURU
Hizo ndio loopholes zinazotumiwa siku zote na mara zote upigaji unapofanywa !!
 
Imagine unamtoa mwizi kwenye nyumba kubwa na kumpeleka kwenye nyumba ndogo ukihisi unamkomoa, wakati zile pesa alizoiba bado anazo ndani, na mwisho wa mwezi anaendelea kupokea mshahara kutoka kwa aliowaibia.
Hatar sana
 
Tatizo kila anayeenda kazizin haend kufanya kazi bali anaenda kutafuta pesa, zana ya kwenda kufanya kazi siku hizi haipo, mtu anawaza leo nitaingiza shingapi! Nikuwaza waza madili tu sio kazi, ndio maana hata kazi zenyewe hazina uafanis wowote ni majanga tu. Acha tuisome namba...kawimbo kazurii sana huwa nakakubali
Kwakweli !!
 
CCM ni janga kubwa Sana hapa nchini.

Solution ya hiyo "laana" ni kuipiga chini CCM katika uchaguzi ujao
Uzuri wa CCM Siku zote huwa hawategemei kura Ili kuwepo madarakani..... That's why hawataki uwepo wa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
 
Uzuri wa CCM Siku zote huwa hawategemei kura Ili kuwepo madarakani..... That's why hawataki uwepo wa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
Hakuna marefu yasiokuwa na ncha. Waibe watakavyo, lakini kuna siku mambo yatabadilika tu.
 
KWANZA HIVI NDIO VYEO VYAKE

1) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2) Mkuu wa nchi na kiongozi namba moja kwa pande zote mbili za Muungano.
3) Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama.

Hivyo ni vyeo ambavyo vinamruhusu mheshimiwa Rais kuchukua hatua kwa mtu yoyote wa serikalini ambae anafanya kazi yake kinyume na sheria za nchi, aidha kwa yule anaeiibia serikali, anaetoa rushwa, anaepokea au kuchelewesha mipango ya serikali hasa inayohusu maendeleo nk.

Inasikitisha sana mtu mwenye vyeo hivyo anashindwa, au anasita kuwachukulia hatua kali za kuagiza wakamatwe na kufunguliwa mashtaka wale wote waliopatikana na tuhuma za ubadhilifu wa fedha za umma serikalini na badala yake Rais eti anawaomba tu waachie nafasi zao bila kufungwa au kurudisha fedha hizo ili zikatumike katika mambo mengine ya kimaendeleo.

Hata wale aliosema kwamba kila report zinapofika watu hao hao hukutwa na tuhuma zile zile ilitakiwa wakamtwe kwa tuhuma ile ile ya kwanza na kubanwa vizuri walipozipeleka fedha zetu, badala ya kutaka eti washushwe vyeo au kuhamishwa ofisi.

Yani mwizi wa ndala akamatwe na kufungwa huku mwanasheria wa serikali akitafuna kodi zetu kwa kuendesha kesi yake, afu yule anayeiibia serikali mabilioni ya shilingi ahamishwe tu kituo ili akaendelee na utafunaji wa fedha zetu huko katika ofisi nyingine. Ni kwanini asifukuzwe kazi ili nafasi yake ichukuliwe na mtu mungine na ukizingatia kuna watu wengi wana elimu zao mitaani lakini kazi hawana?

Lakini pia sio aishie kufukuzwa tu bali afunguliwe kesi ya uhujumu uchumi na mali zake zote zitaifishwe na kurudishwa katika mikono ya wananchi.

China imeweza kupiga hatua duniani baada ya viongozi wa nchi hiyo kusimamia vyema kodi za wananchi wao kwa kutoa adhabu kali kwa yeyote atakaejaribu kugusa fedha za serikali. Pia hata Rwanda ipo vizuri baada ya raisi wa nchi hiyo kukitumia vyema cheo chake.

Rais na amiri jeshi mkuu ukibaki kulalamika, unafikiri mawaziri na viongozi wengine wa kawaida wataweza kuwa na uwezo wa kujiamini kuchukua hatua kweli.

Kama kulalamika umeshalalamika kwa zaidi ya miaka miwili sasa lakini upigaji ni ule ule. Sasa kabla ya kuwaambia watu na hili mkalitizame, tunakuomba na wewe kwanza ujitizame kwamba hiyo ndio njia sahihi ya kuendelea ku deal na mafisadi.

Hebu tumia nguvu zako ulizopewa na katiba yetu kuwachukulia hatua wabadhilifu wa kodi zetu, kabla na sisi hatujaingia barabarani kama wakenya.

Ukicheka na nyani shambani usishangae kuvuna mabua.
sikiliza ndugu rais anafanya kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni hawezi kujurupuka ti na kufukuza watu hovyo
 
Kama kulalamika umeshalalamika kwa zaidi ya miaka miwili sasa lakini upigaji ni ule ule. Sasa kabla ya kuwaambia watu na hili mkalitizame, tunakuomba na wewe kwanza ujitizame kwamba hiyo ndio njia sahihi ya kuendelea ku deal na mafisadi.


Na mimi inanitia shaka kwamba huyu Bi mkubwa kuendelea kulakamika tu kama raia wa kawaida wa mtaani isijekuwa anatupiga changa la jicho kumbe lao ni moja pamoja na hao mafisadi na wabadhirifu wa pesa yetu.

Mama asitake kituaminisha kwamba cheo chake amekipata kwa bahati mbaya, inampasa akitendee haki cheo chake, haiwezekani Wananchi tunalalamikia shida na Ugumu wa maisha ilhali kuna watu wanakwapua billions of Shillings zetu na iishie kuwasema tu kwenye podium na habari iishe kirahisi hivyo!!,

Our beloved Mom, with due respect, you seriously need to take concrete actions in accordance with the laws to pin those swindlers of Our money. Those culprits are tarnishing your political image not only within but also outside the country.
 
sikiliza ndugu rais anafanya kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni hawezi kujurupuka ti na kufukuza watu hovyo
Sikatai kwamba anafanya kazi kwa kuzingatia sheria. Lakini kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali amegundua kuwa kuna upotevu wa mamilioni ya pesa katika ofisi za serikali anayoiongoza, kwanini asiagize watuhumiwa waliohusika na upotevu huo wasimamishwe, wachunguzwe na ikibainika kuhusika na upoteaji huo wachukuliwe hatua za kisheria kwa mujibu wa sheria zetu?

Kwanini ashauri watuhumiwa wahamishwe ofisi au washushwe tu vyeo eti wakateseke? Hiyo ndio njia ya ku deal na mafisadi na ukawamaliza kweli?
 
KWANZA HIVI NDIO VYEO VYAKE

1) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2) Mkuu wa nchi na kiongozi namba moja kwa pande zote mbili za Muungano.
3) Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama.

Hivyo ni vyeo ambavyo vinamruhusu mheshimiwa Rais kuchukua hatua kwa mtu yoyote wa serikalini ambae anafanya kazi yake kinyume na sheria za nchi, aidha kwa yule anaeiibia serikali, anaetoa rushwa, anaepokea au kuchelewesha mipango ya serikali hasa inayohusu maendeleo nk.

Inasikitisha sana mtu mwenye vyeo hivyo anashindwa, au anasita kuwachukulia hatua kali za kuagiza wakamatwe na kufunguliwa mashtaka wale wote waliopatikana na tuhuma za ubadhilifu wa fedha za umma serikalini na badala yake Rais eti anawaomba tu waachie nafasi zao bila kufungwa au kurudisha fedha hizo ili zikatumike katika mambo mengine ya kimaendeleo.

Hata wale aliosema kwamba kila report zinapofika watu hao hao hukutwa na tuhuma zile zile ilitakiwa wakamtwe kwa tuhuma ile ile ya kwanza na kubanwa vizuri walipozipeleka fedha zetu, badala ya kutaka eti washushwe vyeo au kuhamishwa ofisi.

Yani mwizi wa ndala akamatwe na kufungwa huku mwanasheria wa serikali akitafuna kodi zetu kwa kuendesha kesi yake, afu yule anayeiibia serikali mabilioni ya shilingi ahamishwe tu kituo ili akaendelee na utafunaji wa fedha zetu huko katika ofisi nyingine. Ni kwanini asifukuzwe kazi ili nafasi yake ichukuliwe na mtu mungine na ukizingatia kuna watu wengi wana elimu zao mitaani lakini kazi hawana?

Lakini pia sio aishie kufukuzwa tu bali afunguliwe kesi ya uhujumu uchumi na mali zake zote zitaifishwe na kurudishwa katika mikono ya wananchi.

China imeweza kupiga hatua duniani baada ya viongozi wa nchi hiyo kusimamia vyema kodi za wananchi wao kwa kutoa adhabu kali kwa yeyote atakaejaribu kugusa fedha za serikali. Pia hata Rwanda ipo vizuri baada ya raisi wa nchi hiyo kukitumia vyema cheo chake.

Rais na amiri jeshi mkuu ukibaki kulalamika, unafikiri mawaziri na viongozi wengine wa kawaida wataweza kuwa na uwezo wa kujiamini kuchukua hatua kweli.

Kama kulalamika umeshalalamika kwa zaidi ya miaka miwili sasa lakini upigaji ni ule ule. Sasa kabla ya kuwaambia watu na hili mkalitizame, tunakuomba na wewe kwanza ujitizame kwamba hiyo ndio njia sahihi ya kuendelea ku deal na mafisadi.

Hebu tumia nguvu zako ulizopewa na katiba yetu kuwachukulia hatua wabadhilifu wa kodi zetu, kabla na sisi hatujaingia barabarani kama wakenya.

Ukicheka na nyani shambani usishangae kuvuna mabua.

Hajalalamika ametoa maagizo! Tusubiri utekelezaji kwa wasaidizi wake!

Sema rais kuna sehem hata mimi sijamuelewa anasemaje mtu aliyeharibu ahamishwe? Aende wap wanapopendwa kuibiwa? Serikal yote ni ya watz na kodi zote ni zetu iwe pemba au chato!
Kuna alosema warudishe walichoiba au wapelekwe mahakaman!yaan sijaelewa akirudisha anakua siyo mwizi ila alijikopesha au? Manake utakua mchezo acha niibe ntarudisha nikishtukiwa
 
Na mimi inanitia shaka kwamba huyu Bi mkubwa kuendelea kulakamika tu kama raia wa kawaida wa mtaani isijekuwa anatupiga changa la jicho kumbe lao ni moja pamoja na hao mafisadi na wabadhirifu wa pesa yetu.

Mama asitake kituaminisha kwamba cheo chake amekipata kwa bahati mbaya, inampasa akitendee haki cheo chake, haiwezekani Wananchi tunalalamikia shida na Ugumu wa maisha ilhali kuna watu wanakwapua billions of Shillings zetu na iishie kuwasema tu kwenye podium na habari iishe kirahisi hivyo!!,

Our beloved Mom, with due respect, you seriously need to take concrete actions in accordance with the laws to pin those swindlers of Our money. Those culprits are tarnishing your political image not only within but also outside the country.
Kama atashindwa kuchukua hatua katika hili, basi haina haja kwa siku zijazo kuwa wanatuonesha hotuba zake huko Ikulu. Maana hazina faida wala tija kwetu kuzisikia.

Sana sana anatuumiza mioyo kwa kugundua kuwa tunaibiwa bila wezi wetu kuwajibishwa.
 
Kama atashindwa kuchukua hatua katika hili, basi haina haja kwa siku zijazo kuwa wanatuonesha hotuba zake huko Ikulu. Maana hazina faida wala tija kwetu kuzisikia.

Sana sana anatuumiza mioyo kwa kugundua kuwa tunaibiwa bila wezi wetu kuwajibishwa.


Kwa upole huu wa Samia, Yawezekana ni njia ya CCM kuchota pesa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Kama atashindwa kuchukua hatua katika hili, basi haina haja kwa siku zijazo kuwa wanatuonesha hotuba zake huko Ikulu. Maana hazina faida wala tija kwetu kuzisikia.

Sana sana anatuumiza mioyo kwa kugundua kuwa tunaibiwa bila wezi wetu kuwajibishwa.
Chukua wewe hatua
 
CCM ni janga kubwa Sana hapa nchini.

Solution ya hiyo "laana" ni kuipiga chini CCM katika uchaguzi ujao
Nafikiri wengi tulisema JPM alikuwa mukali sana tukatamani Rais anaendesha nchi kwa sheria za nchi. Sheria hazisemi rais akiona mtu kaiba, basi amutaje hadharani alafu aamulishe afungwe jela. Wa Tz tunapenda kubembelezana ndo ustarabu wetu.
 
Back
Top Bottom