Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Kakopa matilioni ya fedha kujenga matundu ya vyoo vya shule na madarasa nchi nzima wewe hauoni
 
Hali ya uzalishaji itashuka sana kutokana na nishati muhimu ya umeme kusuasua.
 
Kutetea mambo ya Serikali hii, sasa hivi, lazima uangalie mahali ulipo.

Wiki iliyopita nilikuwa naelekea Musoma. Nikasimama Lamadi kununua maji. Vijana watatu walikuwepo kwenye kiduka kidogo, wakipokezana kuongea. Mmoja akasema kuwa Samia ameuza mbuga zote za wanyama, hata hii ya Serengeti amekwishauza, kuingia itabidi upate kibali kwa Waarabu. Mimi niliona kuwa hayo maneno siyo ya kweli. Nilidhani muongeaji amechanganya majina, labda alitaka kusema Ngorongoro. Nikawaambia kuwa siyo mbuga zote, nadhani unamaanisha Ngorongoro. Wale vijana walikuja juu dhidi yangu na kuniambia kuwa nisijifanye najua sana, labda kama na mimi nashirikiana naye kuuza mbuga za wanyama.

Niliamua kuondoka kimya kimya maana walionekana dhahiri ni watu wenye hasira.
kiukweli maza hajui kinachoendelea huku ground,
watu hata kama wanaongea upotoshaji ukiuacha uongelewe kwa mda mrefu, kuja kuwabadilisha wanaoambiwa itachukua miongo.
na anatakiwa atuonyeshe kwa ni upotoshaji kwa kutoa maelezo sahihi sio kuwanyamazisha wanaotusanua
 
Hajafanya kitu hata kimoja
Ningeshangaa km ungeweza kuainisha hata kimoja alichofanya.
Labda nikusaidie mafanikio ya kiongozi huyu
1: kuwaondoa kwa nguvu Wamasai ngorongoro.
2: Bandari hadi sasa kaamua kukaa kimya hili inamaanisha kilichoenda kwa mganga hakirudi.
3: kuchelewesha miradi ya kimkakati aliyoirithi bila sababu maalum.
4: kuongeza gharama za kuunganisha umeme.
5: TOZO
6: Mgao usio rasmi wa umeme.
Acha niishie hapo, ni mengi sana na mengiñe yanakuja
 
Ningeshangaa km ungeweza kuainisha hata kimoja alichofanya.
Labda nikusaidie mafanikio ya kiongozi huyu
1: kuwaondoa kwa nguvu Wamasai ngorongoro.
2: Bandari hadi sasa kaamua kukaa kimya hili inamaanisha kilichoenda kwa mganga hakirudi.
3: kuchelewesha miradi ya kimkakati aliyoirithi bila sababu maalum.
4: kuongeza gharama za kuunganisha umeme.
5: TOZO
6: Mgao usio rasmi wa umeme.
Acha niishie hapo, ni mengi sana na mengiñe yanakuja
Haya kimbia nenda kapimwe akili.
 
Unataka ushahidi upi zaidi ya ule uliopo kwenye ripoti ya CAG
Ripoti za CAG zina mjumuisho wa ufisadi wa marehemu magufuli kumbuka wakati wa Magufuli zile ripoti zilikua sirikali. Kwanini uzembe wote wa magufuli aangushiwe samia?
 
Ripoti za CAG zina mjumuisho wa ufisadi wa marehemu magufuli kumbuka wakati wa Magufuli zile ripoti zilikua sirikali. Kwanini uzembe wote wa magufuli aangushiwe samia?
Ishu Kuna ufisadi inabidi ufanyiwe kazi,haijalishi ulikuwa kipindi Cha magufuli au Sasa? Unataka kuniambia anauchekea kwakuwa ulifanywa wakati wa magufuli? La msingi ni kuchukua hatua.

Halafu nyie hata wakati wa magufuli mlikuwa mnasifia tu,yaani hamueleweki na hamna msimamo
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.


Si angekuvunja kabisa taya na mdomo, maana mdomo wako huna break, angeuvunja tu.. 😀
 
Taifa la walalamishi ova watoto wa kambo. Tangu mwalimu Nyerere, kisha Mwinyi, halafu Mkapa akaja Jakaya baadaye Magufuli na sasa Samia ni kulalamika tu kama watoto waliolelewa na bibi.

Na atakayekuja baada ya Samia atalalamikiwa tu kama kawaida. Tunaishi kwa mazoea mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulalamika ni kawaida. Hata ukienda Ulaya raia wanalalamika. Tofauti ni kuwa hapa kwetu malalamiko ni mengi na yangeweza kupungua lakini viongozi hawataki kufanya hivyo. Kuhusu rais Samia. Kwangu nadhani ni rais anayechukiwa kuliko watangulizi wake wote. Sijui kwanini lakini wanawake ndiyo wanaongoza kwa kumchukia mwanamke mwenzao.
 
Ishu Kuna ufisadi inabidi ufanyiwe kazi,haijalishi ulikuwa kipindi Cha magufuli au Sasa? Unataka kuniambia anauchekea kwakuwa ulifanywa wakati wa magufuli? La msingi ni kuchukua hatua.

Halafu nyie hata wakati wa magufuli mlikuwa mnasifia tu,yaani hamueleweki na hamna msimamo
Hatua zinachukuliwa au hujasikia aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la arusha Dr.Pima na wenzake wamefungwa miaka ishirini jela mwezi uliopita? Au wewe unataka hatua gani?
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Umenifurahisha saana ila nextime usimtetee samia kwa wamama yaani hao ndo hawamtaki hata kumsikia
 
Mbona Mimi ninazo ...na Nimesoma UDSM BSc with honours..au niweke na cheti kabisa?
Mama anaupiga mwingi
Mjinga wewe umeenda kukaririshwa umetoka na nini kichwani zaidi ya hicho cheti? wewe umemaliza chuo na siyo kuelimika
 
🤣🤣🤣🤣🤣Naungana na wamama wa sokoni
 
Back
Top Bottom