Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Tulia tu yatazibuka,Ila kurudi kule usijaribu kabisaa,maana ukitundikwa jingine itakuwa kiziwi kabisaa,nilikuona Ila ikanibidi nijifiche.
Pipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wagalatia mnakazana kweli, ila kiukweli mama ni mpaka 2030 uhai ukiwepo
Mpende, msipende ni hivyo
 
Nilijua unaongelea unga wa kubwia, maana nao kwa awamu hii umepamba kona zote za nchi. Wauza unga wote wamerejea nchini, kazi ni kuuza na kujenga majumba. Bado waNigeria nao wamekuwa kibao mitaani [emoji19]. Hapo ni utapeli na unga kukithiri.
 
Wanaomtetea sa100 ni watumishi wa serikali wachache sana, na viongozi wa kuteuliwa. Hata kwenye makundi ya whatsapp, wanaomtetea wengi wao ni viongozi au wanaotegemea kupata teuzi (chawa)
Pole sana kwa yaliyokukuta![emoji1]

Mbona Sina sifa ulizotaja na ninamtetea samia?
Cjaona ubaya alioufanya mpk kuwe na chuki kubwa namna hii
Wanaomsema samia naona wanamhukumu kwa hisia tuh hakuna ushahid wa yote wanayosema zaid ya tuhuma
Utendaji wake wa kazi unaonyesha yuko makini najua mtanipinga kwa matusi bila hoja ya msingi
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Ongeza sukari hii haijakolea vizuri 😂😂
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali. [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba inakuja, na bado nyinyi watetezi wa wale jamaa wa ACACIA mtalamba nyasi.

Wanataka tumpe urais mtu anaewatetea hao mabeberu na kutetea haki za ushoga
Wamesahau huyo alifanya mpk ndege ya tz ikazuiliwa
Yaani hawajui adui yao nani wao kila mtu akipinga serikali wanampa support
 
Kutetea mambo ya Serikali hii, sasa hivi, lazima uangalie mahali ulipo.

Wiki iliyopita nilikuwa naelekea Musoma. Nikasimama Lamadi kununua maji. Vijana watatu walikuwepo kwenye kiduka kidogo, wakipokezana kuongea. Mmoja akasema kuwa Samia ameuza mbuga zote za wanyama, hata hii ya Serengeti amekwishauza, kuingia itabidi upate kibali kwa Waarabu. Mimi niliona kuwa hayo maneno siyo ya kweli. Nilidhani muongeaji amechanganya majina, labda alitaka kusema Ngorongoro. Nikawaambia kuwa siyo mbuga zote, nadhani unamaanisha Ngorongoro. Wale vijana walikuja juu dhidi yangu na kuniambia kuwa nisijifanye najua sana, labda kama na mimi nashirikiana naye kuuza mbuga za wanyama.

Niliamua kuondoka kimya kimya maana walionekana dhahiri ni watu wenye hasira.

Mkuu karibia watu wote wanaomponda samia ukiwauliza wanakushambulia bila hoja asa hapo ndio utaona wajinga wengi ndio wamechotwa akili
Kikwete alisema akili za kuambiwa changanya na zako
Wao wanachukua za kuambiwa tuh zao hawana
 
Wanataka tumpe urais mtu anaewatetea hao mabeberu na kutetea haki za ushoga
Wamesahau huyo alifanya mpk ndege ya tz ikazuiliwa
Yaani hawajui adui yao nani wao kila mtu akipinga serikali wanampa support
Hawana hoja bro, ila tunatakiwa kupambana nao humu humu, wanajiona wao wasomi, ila kiukweli msomi mzuri huwa hana majivuno na anajiona bado hajasoma, ukiona mtu anajiona msomi, huyo yupo kwenye hatua ya kwanza kielimu, Wala hatua ya pili hajafika, kuiendea Ile ya tatu ambayo ndio usomi wenyewe.
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Cheap politics...Samia anafaa sana mpaka 2030
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Hakutumia nguvu sana kama anavyolimaga pale Matimila.Angekudunda hadi ushindwe hata kuandika.Tukutane La Chaz!🤔
 
Back
Top Bottom