Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Umenikumbusha 2013 ,kunajamaa alijifanya m-babe Kijijini bwana akaja ,akagusa kwamtu mmoja mpolesan

Ngumu zikaaaa ,akapigwa Moja ya mana ,mojakwamoja akakimbilia ofisi ya Kijiji ,akilalamika kwamba kapigwa na sturi , haikuwa ngumi


Wikilile ,Kila kijiwe ilikuwa hivyo
 
1694961744916.png
 
Mutateseka sana, sisi wananchi tunaimani na Samia mipango yake kwetu Inapimika, tumeona miradi mingo ikikamilika, miradi ya maji, scheme za umwagiliaji, vituo vya Afya, pembejeo za ruzuku, ruzuku za mbolea, kupandishwa madaraja watumishi, ongezeko la mishahara kila mwezi, ajira mpya zingali zinaendelea, utulivu wa kisiasa, amani imetawala, bei za mazao zinapanda kutokana na kufunguka kwa nchi yetu. Hatuoni sababu ya kumchukua, tupo nae Hadi 2030. Mjue Hilo, hata mpike majungu, tupo nae, na tutakuwa nae. Wewe ukitaka kajinyonge tu.
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
 
Marehemu hakukosea kua mkali km mwl wa nidhamu,ukiwachekea wachache wengi wanateseka sasa hv wengi wanaumia and wachache anaowachekea wanakula bata kipindi chaunanijua mm nani achamkono wabirika kimerejea
 
Huyu mama kama unaweza pata connection zake nijulishe inbox nimtumie angalau laki aongezee kweny mtaji wake!! Nakala iende kwa Lucas mwashamba, natumai nae atakumbana na sekeseke kama lako mtoa mada!! Hiyo
Hata ukimwongezea hiyo laki wanunuzi wapo wapi?
Kila mtu mchovu!!
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Kaza roho,kazi iendelee!
 
Una
Mutateseka sana, sisi wananchi tunaimani na Samia mipango yake kwetu Inapimika, tumeona miradi mingo ikikamilika, miradi ya maji, scheme za umwagiliaji, vituo vya Afya, pembejeo za ruzuku, ruzuku za mbolea, kupandishwa madaraja watumishi, ongezeko la mishahara kila mwezi, ajira mpya zingali zinaendelea, utulivu wa kisiasa, amani imetawala, bei za mazao zinapanda kutokana na kufunguka kwa nchi yetu. Hatuoni sababu ya kumchukua, tupo nae Hadi 2030. Mjue Hilo, hata mpike majungu, tupo nae, na tutakuwa nae. Wewe ukitaka kajinyonge tu.
Una ugonjwa wa akili sio bure
 
An
Kama wewe utavyoenda Mirembe baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa kuanzia hapo mwakani kwenye serikali za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu. Wewe kafe tu maana huna sababu ya kuishi kwenye nchi hii, ikiwa kazi Yako ni kulalama.
Ayelalama Nani wewe kajamba Nani? Leteni katiba mpya muone Kama mtapata hata kiti kimoja
 
Rise and fall of JF, nilitegemea thread kama hii iwe jukwaa la chitchat au comment kwenye jukwaa la siasa.
Kwa taarifa hii sio chit chat!, ni namna ya utunzi wa kisanii kuonesha ni jinsi gani huyu mama hakubaliki na watu wa tabaka la chini. Kwa wwnye upeo tumeelewa! Sasa kama unadhani ni chit chat utabaki kusubiri sana threads za siasa!
 
Kwa taarifa hii sio chit chat!, ni namna ya utunzi wa kisanii kuonesha ni jinsi gani huyu mama hakubaliki na watu wa tabaka la chini. Kwa wwnye upeo tumeelewa! Sasa kama unadhani ni chit chat utabaki kusubiri sana threads za siasa!
🚮🚮
 
Back
Top Bottom