Rais Samia kaona hatari ya Sukuma gang na CHADEMA kuungana, anawatenganisha

Rais Samia kaona hatari ya Sukuma gang na CHADEMA kuungana, anawatenganisha

Kwa hiyo mmekubali yaishe na sasa mnamuunga mkono mama sio kutetea legacy tena?
Legacy inajitetea yenyewe.

Samia alikuwa Makamu wa Rais, ni sehemu ya Awamu ya Tano, msisahau.

Twende na Samia 2025.
 
mama anampenda na kumkubali sana Mbowe na Mbowe keshalijua hilo ndo maana Mbowe anajaribu kuwa karibu na mama.
akuna Sukuma gang bali ni mpango madhubuti wa CCM kuwapiga chenga wazinguaji.
 
Mjiandae na kelele zenu za siku zote - tumewaibia kura.
"Iwapo Uchaguzi utakuwa wa Huru na HAKI CCM ijiandae.....hayo si yangu hayo ni maneno ya Chawa mtiifu na aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Fitna na Manunuzi ya Wanadamu.
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Mbowe lini alikuwa upinzani wa kweli wewe?

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Ujumbe wako unaficha ukweli kuwa wewe ni sehemu ya hao Sukuma Gang ukijaribu kumkwaza SSH na watu wake.
 
Umoja party ni chama chenye itikadi ya kidikiteta, mwendazake alifanya mengi mazuri lkn hatuji kumsahau kwa udikiteta alioifanyia nchi yetu.
Kipi mtawaliwe kwa nguvu mupate mahitaji yenuya msingi au muishi kwenye huo upigaji watoto wenu wakose ajira na vitu vipande bei kiholela?
 
Legacy inajitetea yenyewe.

Samia alikuwa Makamu wa Rais, ni sehemu ya Awamu ya Tano, msisahau.

Twende na Samia 2025.
Sasa hatimaye akili zimekurudia, simama sasa uhesabiwe, jipange kwenye mstari ulambe asali badala kila siku kumponda mtu aliyeshika mpini.
 
CHADEMA wakiungana na kina Makonda, Sabaya na kina Kalemani nitatembea uchi kutoka Mwakaleli hadi Uyole.

Huyo Kalemani atoe kwa CCTV ile iliyorekodi tukio la Lisu kupigwa risasi .
 
CHADEMA wakiungana na kina Makonda, Sabaya na kina Kalemani nitatembea uchi kutoka Mwakaleli hadi Uyole.

Huyo Kalemani atoe kwa CCTV ile iliyorekodi tukio la Lisu kupigwa risasi .
Lolote linawezakana kwenye siasa kumbuka waliungana na Lowassa
 
CHADEMA hata akiwapa kila kitu, bado watamkosoa tu na ndio msingi wa chama pinzani.

Kikubwa ajifunze tu kukaa kwa kukosolewa huku 2025 akiwapisha wengine.

SAMIA kosa lake kubwa ni kutogusa maisha ya watu hasa kwenye mfumuko wa bei. Kuwakosesha machinga kazi kwa kuwafukuza. Hivyo maisha yamekuwa magum sana.
 
Back
Top Bottom