Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
MATAGA ni CCM, tukutane 2025.Kwetu sisi ni bora Zimwi tulijualo kuliko hao Mataga washamba wa Maporini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA ni CCM, tukutane 2025.Kwetu sisi ni bora Zimwi tulijualo kuliko hao Mataga washamba wa Maporini.
Legacy inajitetea yenyewe.Kwa hiyo mmekubali yaishe na sasa mnamuunga mkono mama sio kutetea legacy tena?
Kama Uchaguzi utakuwa Free and fear tutawanyuka sehemu nyingi.MATAGA ni CCM, tukutane 2025.
Mjiandae na kelele zenu za siku zote - tumewaibia kura.Kama Uchaguzi utakuwa Free and fear tutawanyuka sehemu nyingi.
Umoja party ni chama chenye itikadi ya kidikiteta, mwendazake alifanya mengi mazuri lkn hatuji kumsahau kwa udikiteta alioifanyia nchi yetu.Sisi kama Wasukuma Tushaunda chama Chetu UMOJA PARTY tukutane 2025.
Maza anavoonekana anajua kula na vipofu, kuiba ataiba lkn kuna majimbo mengi atalegeza tu.Mjiandae na kelele zenu za siku zote - tumewaibia kura.
"Iwapo Uchaguzi utakuwa wa Huru na HAKI CCM ijiandae.....hayo si yangu hayo ni maneno ya Chawa mtiifu na aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Fitna na Manunuzi ya Wanadamu.Mjiandae na kelele zenu za siku zote - tumewaibia kura.
Mataga ni Umoja Party.MATAGA ni CCM, tukutane 2025.
Mbowe lini alikuwa upinzani wa kweli wewe?Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani
Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema
Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia
Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni
Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,
Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu
Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli
Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli
Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S
Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Same old song."Iwapo Uchaguzi utakuwa wa Huru na HAKI CCM ijiandae.....hayo si yangu hayo ni maneno ya Chawa mtiifu na aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Fitna na Manunuzi ya Wanadamu.
Kipo nchi gani?Mataga ni Umoja Party.
Ujumbe wako unaficha ukweli kuwa wewe ni sehemu ya hao Sukuma Gang ukijaribu kumkwaza SSH na watu wake.Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani
Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema
Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia
Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni
Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,
Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu
Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli
Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli
Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S
Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Sawa sawa, legacy iachwe ijiteteee yenyewe, sio kulazimisha.Legacy inajitetea yenyewe.
Samia alikuwa Makamu wa Rais, ni sehemu ya Awamu ya Tano, msisahau.
Twende na Samia 2025.
Kivipi mkuu?Ujumbe wako unaficha ukweli kuwa wewe ni sehemu ya hao Sukuma Gang ukijaribu kumkwaza SSH na watu wake.
Kipi mtawaliwe kwa nguvu mupate mahitaji yenuya msingi au muishi kwenye huo upigaji watoto wenu wakose ajira na vitu vipande bei kiholela?Umoja party ni chama chenye itikadi ya kidikiteta, mwendazake alifanya mengi mazuri lkn hatuji kumsahau kwa udikiteta alioifanyia nchi yetu.
Sasa hatimaye akili zimekurudia, simama sasa uhesabiwe, jipange kwenye mstari ulambe asali badala kila siku kumponda mtu aliyeshika mpini.Legacy inajitetea yenyewe.
Samia alikuwa Makamu wa Rais, ni sehemu ya Awamu ya Tano, msisahau.
Twende na Samia 2025.
Mwendazake alikuwa akitoa ajira kwa watoto wa nani? Labda watoto wa Mizengo PindaKipi mtawaliwe kwa nguvu mupate mahitaji yenuya msingi au muishi kwenye huo upigaji watoto wenu wakose ajira na vitu vipande bei kiholela?
Lolote linawezakana kwenye siasa kumbuka waliungana na LowassaCHADEMA wakiungana na kina Makonda, Sabaya na kina Kalemani nitatembea uchi kutoka Mwakaleli hadi Uyole.
Huyo Kalemani atoe kwa CCTV ile iliyorekodi tukio la Lisu kupigwa risasi .