Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Uhuru wa kufanya ufisadi nchini ...WAHUNI NI WOTE MNAOCHUKIA UZALENDOUhuru wetu una thamani kuliko kitu chochote kile, na mama ameturudishia uhuru wetu, Sukuma gang wahamie kwa ndugu yao Kagame.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa kufanya ufisadi nchini ...WAHUNI NI WOTE MNAOCHUKIA UZALENDOUhuru wetu una thamani kuliko kitu chochote kile, na mama ameturudishia uhuru wetu, Sukuma gang wahamie kwa ndugu yao Kagame.
Wewe chadema ilisha kufa na ccm ilishakufa sikuizi watz tunataka wazalendo siyo wanasiasa samia hata akiungana na wapinzani wote ni bure nguvu ya wapenda uzalendo ni kubwa kuliko vyama vya siasa kwa sasa ,
Hivi wapo kweli!? Ka vile walishataga wanaatamia mayai viza!First Seat,
MATAGA njooni huku, kuna mtu kawataja
Sheria ya usajili wa vyama vya siasa hairuhusu chama cha kikabila.Sisi kama Wasukuma Tushaunda chama Chetu UMOJA PARTY tukutane 2025.