Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Rais alitumiwa barua kuwa kuna janga litatokea au ni jambo limetokea tayari akiwa safarini? Au mlitaka kumwona Rais nae akishika nyundo kusaidiana na vikosi kuokoa watu? Ingekuwa busara tungeona Mbowe na genge lake wamejitokeza kuokoa watu pale.
 
Rais alitumiwa barua kuwa kuna janga litatokea au ni jambo limetokea tayari akiwa safarini? Au mlitaka kumwona Rais nae akishika nyundo kusaidiana na vikosi kuokoa watu? Ingekuwa busara tungeona Mbowe na genge lake wamejitokeza kuokoa watu pale.
Angebaki kuonyesha kuguswa, na kufuatilia kila hatua ya uokoaji
Sasa atafanyaje hayo matamasha na wakati Raia wanakosa oxygen, familia za wahanga zinaomboleza
 
Angebaki kuonyesha kuguswa, na kufuatilia kila hatua ya uokoaji
Sasa atafanyaje hayo matamasha na wakati Raia wanakosa oxygen, familia za wahanga zinaomboleza
Rais ana taarifa nyingi kuliko wewe. Anajua anachokifanya kwa maslahi ya umma. Huo ushauri wako mpe Mbowe.
 
Rais ana taarifa nyingi kuliko wewe mpuuzi mmoja. Anajua anachokifanya kwa maslahi ya umma. Huo ushauri wako mpe Mbowe.
We jinga tu
Mbona unataka kujifanya kama Rais ni mali yako tu na machawa wenzako
Rais ni WA kwetu sote laZima tutor maoni yetu
Usitake kutufanya kama Rais Samia hatuhusu anakuhusu ww pakee
 
Watanzania hata kama uchawa not to thia extent...mnamtetea maza kwa kua hawapo ndugu zenu mule eti?!!
Hivi rais anaondokaje ktk hali kama hii angefiwa na mzazi wake angesafiri?mwanawe au mkwewe?!
Hivi mnachukulia poa hili tukio eehh...
Wehu ninyi
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Tanzania Kuna majanga gani Hadi Rais asisafiri au akatize safari? Wacha kuwa mjinga basii.

Mama unguruma huku akili za kijinga waachie wajinga 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCeJVjNC4NK/?igsh=bDQyNzJxenFyMjJw
 
Unazingua muda wa maombolezo usitukete
Boya kweli,mnaomboleza nini? Kila siku ajali zinatojea za magari na kuua makumi ya watu ila hao Wachache wa hapo ndio umeona mnaomboleza yanafaa au? Wacha upuuzi,hiyo ni ajali kama ajali nyingine na Wala Haina maafa.

By the way Mwenyekiti wa kamati ya maafa ni PM yupo huko na Wajumbe wake,Rais aje hapo Kufanya nini xaidi ya kusubiria utakelezaji wa maagizo? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCd9-j_NZNk/?igsh=aHphcGs2dTMzcG9l
 
We jinga tu
Mbona unataka kujifanya kama Rais ni mali yako tu na machawa wenzako
Rais ni WA kwetu sote laZima tutor maoni yetu
Usitake kutufanya kama Rais Samia hatuhusu anakuhusu ww pakee
Kutoa maoni ni sawa haki yako ila yakiwa maoni ya kipumbavu lazima tuyapinge.
 
Boya kweli,mnaomboleza nini? Kila siku ajali zinatojea za magari na kuua makumi ya watu ila hao Wachache wa hapo ndio umeona mnaomboleza yanafaa au? Wacha upuuzi,hiyo ni ajali kama ajali nyingine na Wala Haina maafa.

By the way Mwenyekiti wa kamati ya maafa ni PM yupo huko na Wajumbe wake,Rais aje hapo Kufanya nini xaidi ya kusubiria utakelezaji wa maagizo?
Kwaiyo ajali ya kudondoka jengo la gorofa ikiwemo bidhaa, wateja na wauzaji unailinganisha na ajali ya bodaboda

Rais angebaki kuonyesha kuguswa na maisha ya raia wake
Wewe chawa ya Nini ujifanye Rais ni mali yako
Rais ni wetu sote uache tukosoe
Wote tunampenda Rais wetu, acha kiherehere
 
Gentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?

Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?

Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?

Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?

Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania


Yule ni Rais wake
So usimpangie kitu gani cha kufikilia Kwa Rais wake

Wewe aendelea kufikilia Kwa upande huo na yeye mwanche afikilie Kwa upande mwingine wa kuona haikuwa sahihi Rais kuondoka

Ndio maana hata mmoja wa waadhirika alisikika akisema Apigiwe simu Rais ili waokolewe

Kwani alikuwa hajui kuna mkuu wa mkoa na kamati ya maafa?
 
Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada
emoji24.png
emoji24.png
.

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa
emoji24.png


Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20

Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya

Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].

Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini

Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??

Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?

Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]

Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.

PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
 

Attachments

  • 5875548-835cd6e254b07fcba2711d2f6a208ba.mp4
    22.1 MB
nadhani marekani limetokea tukio kama hilo,

Rais Joe au Trump akafanye nini eneo la tukio na uokoaji unaendelea? :pulpTRAVOLTA:

Obama akiwa Rais wa USA akiwa kwenye tukio kama la kariakoo
 

Attachments

  • Screenshot_20241117-170133_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20241117-170133_Samsung Internet.jpg
    246.8 KB · Views: 2
Serikali makini hata maisha ya binadamu mmoja Yana thamani kuzidi kila kitu

Kama unabisha mteke raia wa Russia hata dakika uone serikali makini zilivo Kwa raia wao
Hiyo serikali makini ambayo maisha ya mtu mmja Yana thamani I kushinda Mamilioni ni ya Nchi gani?

Kwani yetu sio makini?
 
Rais na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ndie kiongozi wa kwanza kutoa pole,

na ndie ambae maagizo na maelekezo yake yanatekelezwa hivi sasa na kamati ya maafa kitaifa chini ya waziri mkuu.
Gentleman,

Kwa akili zako timamu kuna muujiza gani anaweza kufanya zaidi ya kiwango hicho cha juu sana cha uwajibikaji, kujali na ungwana kwa wahanga wa kuporomoka kwa jengo kariakoo?

umetoka wapi kwanza gentleman leo?
Kuna ajali zinapoteza makumi kwa mamia ya waTanzania, kazi yako huwa ni kuforwad picha na video mbaya mbaya tu, leo hii hiyo huruma umeitoa wapi mnafiki na jeuri mkubwa wewe? Hebu nenda ukatubu?

Mwenyezi Mungu atujaalie subra wakati zoezi la uokoaji likiendelea kwa umakini na weledi mkubwa. Mungu atuonyeshe njia 🐒

Hata mwenyewe Rais akisoma huu uzi wako atashangaa Sana kama kuna chawa wake anaweza kuandika hivi

Mambo mengine ni Bora kukaa kimya Tu

Kujifanya unatetea kwenye mambo kama haya ni ulimbukeni
 
Back
Top Bottom