Rais Samia kapeleka huduma za maji kila kona ya Nchi

Rais Samia kapeleka huduma za maji kila kona ya Nchi

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na ccm wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha chadema TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji......yaani wameshindwa kujizuia.
Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai; maji ni baraka; maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi.......baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
kwanza maji yenyewe haytoki!!
 
Kuna wilaya zina vyanzo vya maji miaka kenda haina maji ya bomba

Na mabomba yakiwepo hayatoi maji.

Na yakitoa maji basi ni mwanzo wa kampeni na mwisho wa uchaguzi.
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Mpaka leo jambo kama maji ni la kuongelea saa hizi tungetakiwa tuwe na mtandao wa maji safi na salama nchi nzima mradi kufunguliwa sio ndio suluhisho la maji ccm bado inakazi sana labda waamue kubadilika ila maji haikua jambo la kuombea kura maji ni uhai inamaana kivyovyote hilo sio swala la kisema mkinipa kura ntaleta maji. Kwanza maji sio mradi wa kuongelea kwenye dunia ya 2023
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Mwanza imezungukwa na ziwa lakini maji hamna. Jimbo la Ilemela kwa Angelina Mabula maeneo ya Shibula, Bulyang'hulu, Isanzu, Ilalila, Lumala, Kiseke, Buswelu, Nyamadoke, Kisesa, nk kwa uchache.

Jimbo la Nyamagana kwa Stanslaus Mabula; Buhongwa, Nyegezi, Mji mwema, Isamilo (kwa wanyonge), Bugando nk kwa uchache.

Jimbo la Misungwi; anzia Nyashishi, Usagara, nk.

Wakazi wa hapa wakisimama kilimani wanaliona ziwa Victoria lakini maji ni ya shida, sasa huko alikosambaza maji Samia nchi nzima ni wapi!

Acheni propaganda za kipuuzi, CCM wameshindwa kuongoza nchi, ila survival yao inatokana na unafiki wa Mtanzania!
 
Mwanza imezungukwa na ziwa lakini maji hamna. Jimbo la Ilemela kwa Angelina Mabula maeneo ya Shibula, Bulyang'hulu, Isanzu, Ilalila, Lumala, Kiseke, Buswelu, Nyamadoke, Kisesa, nk kwa uchache.

Jimbo la Nyamagana kwa Stanslaus Mabula; Buhongwa, Nyegezi, Mji mwema, Isamilo (kwa wanyonge), Bugando nk kwa uchache.

Jimbo la Misungwi; anzia Nyashishi, Usagara, nk.

Wakazi wa hapa wakisimama kilimani wanaliona ziwa Victoria lakini maji ni ya shida, sasa huko alikosambaza maji Samia nchi nzima ni wapi!

Acheni propaganda za kipuuzi, CCM wameshindwa kuongoza nchi, ila survival yao inatokana na unafiki wa Mtanzania!
Ni ujinga wenu Sasa
 
Una akili sawasawa au ndiyo umelewa asali!
Sasa watu wa mbali wapate maji nyie mko hapo mnalia lia sio ujinga wenu huo ni nini? Kanyweni madaraja mliyojengewa na Mwendazake si ndio ilikuwa kipaombele chenu au?
 
Kuna wilaya zina vyanzo vya maji miaka kenda haina maji ya bomba

Na mabomba yakiwepo hayatoi maji.

Na yakitoa maji basi ni mwanzo wa kampeni na mwisho wa uchaguzi.
Ukiwa nje ya nchi chawa akaandika hivi unaweza kudhani Tanzania haina shida ya maji tena kumbe ni kampeni za kijinga kabisa na uchawa wa hovyo
 
Mwanza imezungukwa na ziwa lakini maji hamna. Jimbo la Ilemela kwa Angelina Mabula maeneo ya Shibula, Bulyang'hulu, Isanzu, Ilalila, Lumala, Kiseke, Buswelu, Nyamadoke, Kisesa, nk kwa uchache.

Jimbo la Nyamagana kwa Stanslaus Mabula; Buhongwa, Nyegezi, Mji mwema, Isamilo (kwa wanyonge), Bugando nk kwa uchache.

Jimbo la Misungwi; anzia Nyashishi, Usagara, nk.

Wakazi wa hapa wakisimama kilimani wanaliona ziwa Victoria lakini maji ni ya shida, sasa huko alikosambaza maji Samia nchi nzima ni wapi!

Acheni propaganda za kipuuzi, CCM wameshindwa kuongoza nchi, ila survival yao inatokana na unafiki wa Mtanzania!
Ni kampeni tu za kijinga wala hakuna hata maji
 
Mpaka leo jambo kama maji ni la kuongelea saa hizi tungetakiwa tuwe na mtandao wa maji safi na salama nchi nzima mradi kufunguliwa sio ndio suluhisho la maji ccm bado inakazi sana labda waamue kubadilika ila maji haikua jambo la kuombea kura maji ni uhai inamaana kivyovyote hilo sio swala la kisema mkinipa kura ntaleta maji. Kwanza maji sio mradi wa kuongelea kwenye dunia ya 2023
Wacha porojo Samia analeta ukombozi ambao haukuwahi tokea hapo kabla
 
Back
Top Bottom