Rais Samia kapeleka huduma za maji kila kona ya Nchi

Rais Samia kapeleka huduma za maji kila kona ya Nchi

Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Uchawa mtupu,tunajua hii so kweli,mbona kijikini kwangu maji hamna?Mnaosha kisicho oshesha,it is over,Samia ajitafakari,hatoshi kabisa.
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Nani atakuelewa wakati kitovu cha usalama wa nchi yetu kumeuzwa kwa waarabu milele? Watanzania wanapiga kelele kila kona arekebishe hivyo vifungu vya mkataba na DP World kwa usalama wa nchi na yeye amekaa kimya?😩
Bora tukose maji na kutegemea ya visima na kutiririka kwa Mito kikubwa kama miaka yote kuliko kuruhusu hili.
Tunawachukia wote walioshiriki katika hili
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.


Miaka 60 ya Uhuru tunapambana na huduma ya maji inchi zima

Ila kiongozi anaweza kutembea na gari ambayo gharama yake ni huduma ya maji Kwa wilaya au mkoa wake

Africa ni Africa tu
 
Aisee,hata aibu huna,ukombozi upi,kutoa bandari zetu kwa Waarabu bure.
Sisi tunazungumzia ukombozi wa Maji,Afya nk Bandari zenu nenda kadai Kwa Waarabu.

Samia ndio mkombozi wa Tanzania hii ,hayo makelele yenu ya kijinga kasimulianeni chumbani.
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Nyie ndo mnaomharibu kichwa Bitozo
 
Toa upuuzi wako hapa,Kwa hiyo hicho kinachooneshwa sio maji ni mkojo au?

Unajieleza sana unatumia nguvu kubwa kujibu kila comment watu wanaona alichoweza samia ni kuingia mikataba ya hovyo na kuleta madeni ya ajabu ajabu. Kiongozi anaefanya anaonekana na hawezi tumia nguvu kubwa kuonyesha nn kafanya.
 
Hio mida ya kupiga Propaganda (kama mtu anamaji basi anajua kwamba maji yameletwa ila kama hana maji anajua nyie ni watu wa blah blah blah) na hata ukimwambia vya ukweli anajua ni kasumba yenu ya Propaganda

 
Gongo la Mboto hakuna maji ya bomba
Gomz ipi hio hamkufikiwa ya Mradi wa Pugu enzi za JPM....sisi tangu JPM amtimue yule jamaa aliekua ana mmendea Jokate tuna maji safi na salama.
sema alivyoleft tu na mradi uka rest in peace pia.
Nway Poleni sana.
 
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.

Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.

Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.

Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Nimpongeze lakini waziri akumbuke DSM bado kuna maeneo hayana maji kama Mbezi msumi na kwingineko. Wananchi wa maeneo haya wanataabika hadi utawaonea huruma kwani hata barabara ni vumbi la kutosha.
 
Back
Top Bottom