Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Anashauriwa vibaya? Usimdhalilishe mama.“Anashauriwa” vibaya 🤣.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anashauriwa vibaya? Usimdhalilishe mama.“Anashauriwa” vibaya 🤣.
Halafu aapishwe yule mhutu tena tuanze kunywa maji kwenye karai? 😂Si patokee tu hitilafu huko angani asee... Tuanze kuimba zike nyimbo za juzi kati asee
Diamond naye anatumia kodi za wananchi? tena Diamond analipa kodi usimfananishe na upuuzi! ok?Hizi mada za kitoto za enzi za ujima ikiwa msanii diamond anaenda tour ulaya na madensa wake ana mudu gharama iweje nh rais ashindwe
Wanakwenda kujifunza namna ya kukabidhi nchi kwa amani na kujifunza demokrasia ilivyotamalaki Zambia maana maccm hayajui hicho kituWa CCM wa nini?
AMEWAPELEKA CCM WAKAJIFUNZE NAMNA YA KUPOKEZANA MADARAKA KWA AMANIRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
🤣🤣🤣🤣Wanakwenda kujifunza namna ya kukabidhi nchi kwa amani na kujifunza demokrasia ilivyotamalaki Zambia maana maccm hayajui hicho kitu
Kwani msururu wa magari ya Mwendazake uliokuwa unakwenda mpaka mpakani kwa TAnzania na Rwanda ulikuwa unalipiwa kwa kodi za akina nani?Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
Hoja yako hapa ni ipi tuijadili?Anaanza kichaa kutawala anakuja taahira wewe upo tu.
Kumbe ni safari ya kupongeza chama na sio serikali au ndio mikakati 2025Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
Hivi angeenda kimya kimya mngejuaje.Ona huo msururu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuki.
😅😅😅na zinalipa sana. Perdiem dolla 5000 kwa kichwaHii imenikumbusha kipindi cha JK, watu wakisikia safari ya Rais tu wanaanza kulob wawekwe na ndugu zao, ugomvi ukawa mwingi ikabidi watu wajifunze kuachiana zamu. Leo wewe na watuo kesho mie na wangu 😀.
Nchi yetu hii!!!!!
Magu ndio alikuwa mfujaji kupita woteHivi angeenda kimya kimya mngejuaje.
Jpm alikua na convoy wa watu zaidi 200 pamoja na kua ni safari za ndani gharama yake ilikua kubwa mno.
Kumbuka akitoka chato kwa barabara juu zinapita helkopta kama mbili.
Sasa mpaka afike dar ni bei gani
hahahaaMaandiko yalishatuweka wazi mapema tuushi nao kwa akili ila matokeo yake tumeenda kuziba shimo la panya kwa mkate,toka wale 19 wageuke nimekosa imani na wanawake ,delila ni delila tuu
Hiyo uliyonayo inaitwa husda!Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
Anapiga domo huyo muungwana.Hoja yako hapa ni ipi tuijadili?
[emoji1787]Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.