Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Wazee wetu wa zamani waliishi kwa kwenda marekani kuonana na rais?acha akili mgando inamaana sisi ambao hatujawahi kuonana na rais wa marekani hatuishi?Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
What doesn't happen speaks louder than words.Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Wazee wako wa zamani walikuwa waganga wa jadi, hawakuwa Marais.Wazee wetu wa zamani waliishi kwa kwenda marekani kuonana na rais?acha akili mgando inamaana sisi ambao hatujawahi kuonana na rais wa marekani hatuishi?
Na Trump hatakutana naye hadi amalize urais 2028.Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Yule mzee anaweza akampiga Bitozo Spana za nguvu live. Bora hata asiende 🤣🤣🤣Ataenda sasa hv kukutana na trampo, kwa kuwa trampo amerudi madarakani basi ataonana nae. Yule bideni alikuwaga na nyodo sana. Bora trampo😆😆😆
Ujinga unaoKwa sababu Rais wetu sio kibaraka wa Merekani
Tatizo ziara ziliandaliwa kimchongo ili watu wapige hela, yaani hazikuwa za kimkakati kama RutoYani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Marekani hawapendi unafiki kabisa na kudeal na watu wasiojielewa ndio kabisa hutawaona.Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Bila bendera ya Tanzania mkuu Kanye na usisahau kutawaza
Hakuna picha ya Marais ikapigwa kihuni namna hiyo. Muulize ilipigwa trh ngapi na ziara ipo? Asisahau chanzo Cha habarWameenda kuedit fasta fasta
Bila bendera ya Tanzania mkuu Kanye na usisahau kutawaza
Hakuna picha ya Marais ikapigwa kihuni namna hiyo. Muulize ilipigwa trh ngapi na ziara ipo? Asisahau chanzo Cha habar
kwa sasa uongo hauna nafasi mkuuBendera ya Tanzania Kwenye Ikulu ya Marekani? Hiyo haikua State visit ilikua summit baada ya kutoka ukumbin bi mdashi akaenda Ikulu wakachapa picha popoma