Rais Samia katembelea Marekani zaidi ya mara 2 na Hajafanikiwa kukutana na Rais wa Marekani

Rais Samia katembelea Marekani zaidi ya mara 2 na Hajafanikiwa kukutana na Rais wa Marekani

Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.

Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.

Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
hao aliokutana nao siyo viongozi acheni kukariri
 
Marekani huwachukulia marais wa nchi za dunia ya tatu sawa na magavana wao au wafanyabiasha wao wakubwa. Rais wetu anaweza akapokelewa na gavana wa jimbo fulani au mfanyabiashara mkubwa wa nchi yao na ziara ikaishia hapo bila kuonana na rais wa nchi yao. Ukiona rais wa nchi yetu kapata mapokezi makubwa huko na akapokelewa na rais wao ujue ni kibaraka wao na marekani ina maslahi makubwa nchini. Ila ni fedheha rais wetu aende katika taifa kubwa kama lile halafu asikutane na rais wa huko
 
Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.

Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.

Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Tatizo Nini?
 
Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.

Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.

Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Tatizo nini
 
Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.

Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.

Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.

Kwani alienda kufanya nini? Mbona mimi nimeenda mara mbili sijakutana hata na mlinzi wa supermarket?
 
Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.

Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.

Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Rais wa marekan hawez kukutana na vitu vya hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom