hao aliokutana nao siyo viongozi acheni kukaririYani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Mbona hakuna bendera ya Tanzania isiwe Biden kaambiwa apige picha na mcheza filamu kutoka Tanzania!
Watasema AI
Mama yenu anatalii tu hawezi kukutana na rais wa usa🤣🤣😂😂Ataenda sasa hv kukutana na trampo, kwa kuwa trampo amerudi madarakani basi ataonana nae. Yule bideni alikuwaga na nyodo sana. Bora trampo😆😆😆
Kwani wewe ni rais wa nchi gani?Wazee wetu wa zamani waliishi kwa kwenda marekani kuonana na rais?acha akili mgando inamaana sisi ambao hatujawahi kuonana na rais wa marekani hatuishi?
Tatizo Nini?Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Tatizo niniYani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.
Rais wa marekan hawez kukutana na vitu vya hovyo hovyoYani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi.
Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja.
Na inauma zaidi akikumbuka siku waliyokwenda uingereza wakapewa basi marais wote wa Africa wapande, ile treatment hata chawa huwa hawafanyiwi vile.