Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Kipindi cha JK na Rasimu ya Warioba ilikuwa ni ufujaji tu wa pesa za Umma ! Au ??!!
 
Dude linaloitwa katiba Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Samia Suluhu hassan amesema kwamba watu wa nchi hii hakuna anaejuwa maana ya katiba kwa hiyo ni vizuri watu kwanza wafundishwe waelewe maana ya katiba kwani hata tuliyonayo hakuna anayeifahamu.

kuhusu katiba mpya jambo hilo litafanyika hadi pale watu watakapo kuwa wanaelewa hata hii tuliyonayo hii maana yake ni kwamba vyama vya upinzani ingawa vimeendelea kusisitiza kuwepo umhimu wa katiba mpya wajue kuwa kwa sasa hilo suala halipo.

Jambo pekee ambalo serikali inaenda kulifanya ni kuwepo kwa somo la katiba mashuleni na vyuoni pamoja na taasisi zote za dini na serikali kuelemishwa maana ya katiba kwani watanzania hawana uelewa na katiba hiyo.

Ndugu zangu vyama vya upinzani mjue kuwa tunaenda kufanya uchaguzi mkuu bila kuwepo kwa tume huru wala katiba mpya! je mko tayari kwenye mashindano? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Katiba mpya hadi watu wasome na mimi Mama Abdul pia niielewe
 
Dude linaloitwa katiba Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Samia Suluhu hassan amesema kwamba watu wa nchi hii hakuna anaejuwa maana ya katiba kwa hiyo ni vizuri watu kwanza wafundishwe waelewe maana ya katiba kwani hata tuliyonayo hakuna anayeifahamu.

kuhusu katiba mpya jambo hilo litafanyika hadi pale watu watakapo kuwa wanaelewa hata hii tuliyonayo hii maana yake ni kwamba vyama vya upinzani ingawa vimeendelea kusisitiza kuwepo umhimu wa katiba mpya wajue kuwa kwa sasa hilo suala halipo.

Jambo pekee ambalo serikali inaenda kulifanya ni kuwepo kwa somo la katiba mashuleni na vyuoni pamoja na taasisi zote za dini na serikali kuelemishwa maana ya katiba kwani watanzania hawana uelewa na katiba hiyo.

Ndugu zangu vyama vya upinzani mjue kuwa tunaenda kufanya uchaguzi mkuu bila kuwepo kwa tume huru wala katiba mpya! je mko tayari kwenye mashindano? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Tena watu kama Chadema hakuna wanachoelewa,kwao Katiba Mpya ni kuingia madarakani.

Lowasa: Elimu,Elimu,Elimu 🤣🤣
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Nani ambae haijui hii katiba ya sasa.
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
OK, KWENYE KATIBA LAZIMA KILA MTU ASOME AELEWE, KWENYE MKATABA WA DP WORLD Watu 78 TU WALITOA MAONI YAO KATI YA milioni 60, Kwanini isiwe hivyo na kwenye katiba sasa.
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Hata siku moja hautowahi kupata maoni ya watanzania wote, kila siku watu wanazaliwa na kufa. Hivo kwa lugha rahisi sana ni kwamba katiba mpya kwa CCM hilo haliwezekani. Lazima kuwe na kundi la watu watakaowakilisha wengine, mbona leo hajakutana na watanzania wote bali kakutana na kikundi cha watu anachokiita wadau. Alafu kwa nini nchi za kiafrika viongozi wanajiona wao ndo wenye akili kuliko wale wanaowaongoza? Leo anasema huko vijijini watu hawaijui katiba ya JMTZ wataijua vipi ikiwa miaka michache kukutwa na katiba ilikuwa ni kosa la jinai? KATIBA iliochwa kuzunguka kwa kila mtu ni katiba ya CCM?
Rais yeye mwenyewe binafsi anapaswa kuwa wa kwanza kuijua katiba aliyoapa kuisimamia na badala yake anaikanyaga.
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Haiwezekani kila mtu akatoa maoni yake kuhusu katiba, labda ipigwe kura ya maoni.
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Hebu tuambie, ukiwa kama advocate wa Samia; ni kitu gani tunachotakiwa kukijua kuhusu hii Katiba iliyopo ya 1977?
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Hivi rasimu ya warioba na katiba pendekezwa ilipatikanaje?

Hayakuhusishwa makundi mbalimbali nchini kote?

We chawa hebu kuwa serious kidogo
 
Elimu ya katiba bado sana nchi hii wanasiasa uchwara na wanaharakati wanadai katiba ili iwawezeshe kuingia ikulu wakati mambo ya muhimu mengi hakuna mwenye habari nayo. Namuunga mkono rais bado elimu inahitajika sana.
Kumbe na Samia anaiogopa Katiba Mpya akidhani ndio itamuondoa ikulu?!

Sasa hivi visingizio vyenu vya mpaka tufundishwe Katiba ya 1977 leo 2023, vina maana gani?
 
Huyo inajichimbia kabuli lake mwenyewe. Kipindi akiwa mwenyekiti wa tume ya katiba ya jaji Warioba, alikuwa anafanya nini pale mpaka tukapata rasimu ya katiba. Ameamua kuvujisha pesa za watanganyika kwa wizi unaoitwa elimu ya katiba kwa miaka 3
Kumbe Samia ndie alikuwa mwenyekiti wakati ule?

Hapa ndipo utakapoiona nia yake ovu dhidi ya watanganyika na pesa zetu walipakodi, anazichezea tu.

Huyu mtu tangu alivyoanza kuwafukuza uwaziri wakina Lukuvi na Kabudi, tayari alikuwa anajitengenezea mazingira ya 2025, akawasogeza awapendao karibu yake zaidi kina Nape, yale yalikuwa maandalizi...

Hata hili la kutufundisha Katiba iliyopo ni mbinu yake ya kutuchelewesha ili ahakikishe tunaenda uchaguzi mkuu wa 2025 tukiwa na hii Katiba mbovu itakayombeba, hasa baada ya kujua hapendwi wala kuaminiwa na watanganyika kwa asilimia kubwa.
 
Back
Top Bottom