Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

Ccm wapo wanaosema waponkwenye mfumo na bila wao nchi haiwezi kuongozwa kusambaratisha hilo kundi inahitaji moyo mugumu na hawa wanasema huamua kiongozi wanaomtaka na siyo kiongozi anayechaguliwa na wananchi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Alichoongea yupo sahihi sana ila watz sisi ni wajuaji na wakosoaji wazuri ndio maana anaonekana kaongea vibaya kazungumza vzr sana
Yeye mwenyewe alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba, Leo anajifanya watu hawana elimu.
 
Jk.alikua na lengo zuri tu mkuu...

Hao wanaomdhibiti samia leo ndio waliomdhibiti jk.

Kuna watu wamekula viapo vya kazi ya kuilinda hii nchi maisha yao yote..

Wakati wewe na Cheo chako cha urais wa miaka mitano unataka kuwaletea msumbuvu katika kazi yao?
Katiba mpya inashida gani?. Acheni uoga.
 
Yeye mwenyewe alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba, Leo anajifanya watu hawana elimu.
Sio anajifanya kaliona ilo toka akiwa huko ndio maana kalibeba leo kutokana na mamla aliyo nayo

Kwani uongo kuwa watu wana elimu au wanajua vigungu vya katibaa vyote?

Je ni watz wote wanajua ni vipengele gani vya kufanyia marekebisho?

Je ni watz wote wanajua au wanayo katiba na waieleqa vyema?
 
Wakati mgumu kivipi wakati hata CHADEMA wanamkubali na kumwomba awe mgeni rasmi kwenye sherehe za BAWACHA? Acheni uoga. Mama bado yupo sana labda tu Mungu ampende zaidi.
CHADEMA walionesha uungwana ila inaonekana huyo mama Hana uungwana ndio maana Leo wamekimbia, amebakia kufura na kufika huku akijisifia amelelewa kwenye maadili. Nani kamuuliza?
 
Elimu gani?. Huyo Rais alikuwa makamu mwenyekiti kwenye bunge la katiba, Leo ndio anadai watu wapewe elimu. Acheni utapeli.
Mkuu hata tukisema mchakato wa katiba uanze unadhani kuna vifungu ninyi upinzani mtaweza kubadili? Idadi ya wabunge wa CCM ni kubwa kiasi kwamba hii katiba mnayolazimisha kwa sasa itakuwa kama vile katiba ya CCM. Upinzani upambane kuingiza wabunge wengi bungeni 2025 ili kwenye mabadiliko ya katiba muwe na nguvu. Mkuu Economist kasome sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011 uone jinsi gani ilivyo ngumu nyie wapinzani kuweza kufanikisha kuingiza vifungu vipya au kubadili baadhi. Mimi ni mwanaCCM ila baada ya kusoma katiba pendekezwa ya Chenge nikaona bora tubaki tu na hii iliyopo maana ile pendekezwa haifai kabisa. Rasimu ya Warioba kwa haraka unaweza sema ni nzuri ila ni ya hovyo iliyolenga zaidi kuwanufaisha wanasiasa kwenye vyeo. Haina faida kwa mwananchi. UMENIELEWA?
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Yale tuliyotoa kwenye Tume ya jaji warioba nini? Tena rais ndo alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba yaani kajitoa fahamu kiasi hiki
 
Sio anajifanya kaliona ilo toka akiwa huko ndio maana kalibeba leo kutokana na mamla aliyo nayo

Kwani uongo kuwa watu wana elimu au wanajua vigungu vya katibaa vyote?

Je ni watz wote wanajua ni vipengele gani vya kufanyia marekebisho?

Je ni watz wote wanajua au wanayo katiba na waieleqa vyema?
Acheni hizo, mlikaa miaka 46 ndio mje mfundishe wananchi kuhusu katiba ya Sasa?. Yani mliposikia Kuna hitaji la katiba mpya ndio mmekimbilia kwenye kutoa elimu kwa miaka mitatu. Tuacheni ujanjaujanja usio kuwa na Faida.
 
Umejitahidi kupotosha mkuu,

Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Kwani akina jaji warioba walipozunguka kupata maoni walizunguka kwenye mawe SI watu!

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi binafsi siungi mkono suala la kufundisha watu katiba, hicho ni kichaka cha kutafuna pesa za umma, katiba bora ni kuwa na viongozi waadilifu wenye uzalendo na moyo wa dhati wa kuwatumikia watanzania. Hata tukija na katiba kutoka mbinguni kama hakuna viongozi waadilifu ni kazi bure tu. Kuna nchi hazina katiba rasmi lakini zimetuacha mbali sana kimaendeleo, kwa katiba tuliyokuwa nayo nyerere angeamua kukaa madarakani mpaka afariki asingeshindwa lakini kwa busara na hekima zake aliona inatosha sasa nikabidhi mwingine aendelee. Leo hii tuna wanasiasa wanaojilimbikizia mali hadi za vizazi vyao vya sita alafu kila siku wanawaambia wananchi wa kawaida wajiajiri. Rubbish. Katiba mpya haiwezi kutuletea mabadiliko yoyote zaidi ya kwenda kutengeneza nafasi za wanasiasa wachache kwenda kuitafuna keki ya taifa kwa mrija bila huruma
 
Acheni hizo, mlikaa miaka 46 ndio mje mfundishe wananchi kuhusu katiba ya Sasa?. Yani mliposikia Kuna hitaji la katiba mpya ndio mmekimbilia kwenye kutoa elimu kwa miaka mitatu. Tuacheni ujanjaujanja usio kuwa na Faida.
Wewe kwanini unataka katiba mpya?
 
Katiba ya warioba ilikuwa miaka kumi iliyopita,
Unadhani watu walioongezeka hawastahili kutoa maoni yao? Watoto wenye miaka 8 kipindi hicho now wana 18, huoni kama ni muda mrefu sana?
Tofautisha elimu na maoni. Watu wanapinga kuzunguka miaka mitatu kutoa elimu ya katiba ya Sasa.
 
Back
Top Bottom