Katiba ya warioba ilikuwa miaka kumi iliyopita,
Unadhani watu walioongezeka hawastahili kutoa maoni yao? Watoto wenye miaka 8 kipindi hicho now wana 18, huoni kama ni muda mrefu sana?
..katiba ya warioba iende kwa wananchi kwa ajili ya kura ya maoni.
..kutakuwa na kampeni ambazo ni fursa kwa vyama vinavyounga mkono au kupinga kutoa elimu kwa wananchi.