Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ulazima vyama vya upinzani kuingia ikulu kama katiba mpya itapatikana jambo la msingi kila muhimili ujitegemee kama itatokea mbunge kazulumiwa ushindi wake basi atapata haki yakeElimu ya katiba bado sana nchi hii wanasiasa uchwara na wanaharakati wanadai katiba ili iwawezeshe kuingia ikulu wakati mambo ya muhimu mengi hakuna mwenye habari nayo. Namuunga mkono rais bado elimu inahitajika sana.
Umejitahidi kupotosha mkuu,
Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.
Swali la uzushi ni elimu ipi itafaa kwa hii katiba ya 1977 au ile mpya itakayoundwa. mimi nadhani katiba mpya yes itakapo pitishwa wananchi waelemishwe kwa vile hiyo ndiyo itakuwa hai na kitendea kazi kuendesha maisha yao. Busara, Tutunge katiba mpya elimu baadaye,Kamati ya Prof Mkandala nayo imebaini na kupendekeza hivyo kuhusu kipindi cha utoaji elimuTunakwenda kusomea chuo gani. Hii iliyopo waliekimishwa?
Dude linaloitwa katiba Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Samia Suluhu hassan amesema kwamba watu wa nchi hii hakuna anaejuwa maana ya katiba kwa hiyo ni vizuri watu kwanza wafundishwe waelewe maana ya katiba kwani hata tuliyonayo hakuna anayeifahamu.
kuhusu katiba mpya jambo hilo litafanyika hadi pale watu watakapo kuwa wanaelewa hata hii tuliyonayo hii maana yake ni kwamba vyama vya upinzani ingawa vimeendelea kusisitiza kuwepo umhimu wa katiba mpya wajue kuwa kwa sasa hilo suala halipo.
Jambo pekee ambalo serikali inaenda kulifanya ni kuwepo kwa somo la katiba mashuleni na vyuoni pamoja na taasisi zote za dini na serikali kuelemishwa maana ya katiba kwani watanzania hawana uelewa na katiba hiyo.
Ndugu zangu vyama vya upinzani mjue kuwa tunaenda kufanya uchaguzi mkuu bila kuwepo kwa tume huru wala katiba mpya! je mko tayari kwenye mashindano? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sasa wenzako wa vyama wanataka katiba ibadilishwe ili waingie ikulu which ofcorse siyo mbaya lakini hawana nia njema na wananchi.Hakuna ulazima vyama vya upinzani kuingia ikulu kama katiba mpya itapatikana jambo la msingi kila muhimili ujitegemee kama itatokea mbunge kazulumiwa ushindi wake basi atapata haki yake
Wakati nyie mnataka isibadilike ili muendelee kukaa ikulu.Sasa wenzako wa vyama wanataka katiba ibadilishwe ili waingie ikulu which ofcorse siyo mbaya lakini hawana nia njema na wananchi.
Watanzania mahitaji yao ni zaidi ya katiba.Acha ujinga wewe. Sasa hayo mambo mhimu si ataseme yeye ni yapi . Wewe hayo mambo mhimu uliyonayo ambayo wengine hawajayasema ni yapi?
Wanaoamua ni wananchi siyo ccmWakati nyie mnataka isibadilike ili muendelee kukaa ikulu.
Endelea kuimba vyeti fekiVyeti feki
Hiyo ndo kete mliyobaki nayo na yenyewe imeshachuja watanzania wamewapuuza.imeuzwa kwa hongo ya kutangazwa burg khalifa.
Tatizo wananchi hawapewi nafasi ya kujua mambo ya msingi wanayohitaji serikali iwafanyie. Walioshika kidedea mabadiliko wao wanaangalia ni namna gani wataingia ikulu. Rais yupo sahihi elimu kwanza itolewe...Ccm waachwe wang'ang'anie madarakani lakini wasiwanyime Watz mambo mengi mazuri yatakayopatikana kutokana na Katiba Mpya na Bora. Masuala ya chama kipi kitatawala ni component ndogo sana ktk Katiba nzima.
Kigenge ndani ya CCM kilichojipachika jina system ndio huamua nani awe kiongozi. Wananchi huishia kupoteza muda kwenda kusimama kwenye mstari wa kura.Wanaoamua ni wananchi siyo ccm
We form two hukusoma mada ya constitution kwenye somo la civics??Umejitahidi kupotosha mkuu,
Alichosema ni kuwa, watu wapewe shule vizuri ya katiba hii tulionayo, na pia kasema vizuri kabisa, katiba ni ya watanzania, hatuwez sema tuchukue maoni ya wanasiasa tu ndio tuunde katiba, lazima kila mtu atoe maoni, na ili kila mtu atoe maoni ni lazima watu waijue hii katiba iliyopo, na yupo sahihi.