SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Nina matumaini madogo sana na chama chetu CCM. Hakika haya ni matumaini yangu ya muda mfupi na yanaweza badilika palipo na pale patakapo tokea Viongozi mahiri miongoni mwetu.Apumzishwe na nani ??!!😅😅🙏
Kwa kifupi, nimekosa imani na Viongozi wakuu wa Chama chetu, na kwa msingi huo, nadhani ni wakati mwingine, muafaka wa Kutanguliza nchi kwanza badala ya matumbo yetu(bila dira) kwanza, na katika mlolongo huo huo, naamini tupo Wana CCM wengi sana ambao tunaamini, SSH hana Uwezo wala dhamira ya kutanguliza Nchi yake kwanza, kwamba amekosa Uzalendo unaohitajika karne hii, kupambana na Ukoloni Mamboleo unaoathiri Nchi nyingi za Kiafrika.
Kukujibu swali lako,Chama chetu cha Mapinduzi na Wananchi wazalendo wa Nchi hii, tunao uwezo huo ifikapo 2025 Atapumzishwa na kura, ndani ya CCM na nje ya CCM.
Aluta Continua.