figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #381
Ngoja nikufafanulie. Hapo kulia kwake kuna dada kavaa kaki ndo aligonga naye glasi kisha wote kwa pamoja wakanywa. Wote wa meza Kuu aligonga nao glasi.Ni wazi alibadilishiwa glass. Utaona anapokea glass ambayo imejaa mwisho wa clip ukilinganisha na ile aliyomnywesha Nyusi.
Kuna swali halijajibiwa nalo ni hili "je Samia alimnywesha Nyusi ama hakumywesha?Bila Shaka huna uzoefu na masuala ya kimataifa wewe
Hata kuwa dada yake tu hawezi kuwaMtoa mada umekurupuka hata kama ingekuwa hivyo ukupaswa kuongea huyo nje ya uraisi anaweza kuwa mama yako
Kumbe karithi nyayo za Ben mwezake alikua na controlMama akishapiga Vant huwa hana control
Ben alikua balaaa, kuna safari iliwahi ahirishwa kisa mwamba yuko kerorooKumbe karithi nyayo za Ben mwezake alikua na control
Mahusiano ya nchi yajengwe kwa kushea glass?tuache kutetea mambo ya ajabuKuna baya gani hapo.tuache ujinga wakukuza mambo bila sababu.Mtu kua rais haimaanishi hana mambo binafsi kama binadamu.Na ilo tukio wala halihusishi jambo lolote baya zaidi ya kujenga mahusiano tu yakinchi.Hayo mengine mume wake ndiye anayepaswa kuongea naye uko chumbani sio wewe kwasababu sidhani kama kuna mtanzania anayehusika au mwenye mamlaka na mambo ya ndani ya rais zaidi ya yeye mwenyewe.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahahaa wewe ni kHadi rais wa Msumbiji kashtuka kabisa, namuona rais wa Msumbiji akiutafuta ule Uzi wa 'tunda kimasihara'
Acha makasiriko maisha mafupi haya enjoyWiki hii hii kuna mtoto wa miaka 15 amepigwa vibaya na mume wake aliyekuwa akishirikiana na mume wake. Uso wake na mgongo hautamaniki. Na ana mtoto mmoja. Bila shaka Mila na desturi za kabila lake zinaruhusu watu wazima kuoa, kuzalisha mtoto wa miaka 13. Hiyo mnaona sawa ila mnatokwa na mapovu pale mwanamke mtu mzima anapomnywesha juice hadharani kiongozi mwenzake wa kiume.
Mnasikitisha sana. Btw. Wivu kwa mke tumeletewa na wageni. Kuna makabila ilikuwa halali kulala na mke wa rafiki yako wa rika moja. Leo mnadai wivu wa kijinga ni tamaduni yetu!
Amandla...
Weeee !!! sema thuuuu !!!Mama akishapiga Vant huwa hana control