Wa TZ tuwe serious jamani. Yani ziara nzima ya mama yetu huko Msumbiji imekuwa reduced to nothing kwa hicho kitendo tu?
Wa TZ tuwe serious jamani. Yani ziara nzima ya mama yetu huko Msumbiji imekuwa reduced to nothing kwa hicho kitendo tu?
Bear in mind kwa sasa yupo Ebola naye ameanza fujo zake !! Kwa kweli watu wawe makini zaidi !!
AhahahaHadi rais wa Msumbiji kashtuka kabisa, namuona rais wa Msumbiji akiutafuta ule Uzi wa 'tunda kimasihara'
Peter yupi?Hamna, baba mdogo n Peter
Ya kindendeule mkuu wanguWewe huwa unaabudu mizimu gani??
?Ya Graca Machel yanaweza kujitokeza upande wa pili huku kwetu!
Ya Graca Machel yanaweza kujitokeza upande wa pili huku kwetu!
Acheni kupoteza muda kujadili upuuzi wa huyu mama wa ccm,yaani badala ya kubaki UN kuhutubia,akaenda msumbiji kufanya vituko,actually sio kituko,lile tukio lilipangwa akijua kabisa sasa hv anashambuliwa sana nyumbani,akaona afanye bongo muvi Ili watu watoke kwenye reli badala ya kujadili upuuzi wa tozo,waanze kujadili vituko vyake,aliona hizo muvi hawezi kuzifanyia UNSalaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Relax mkuu, tatizo lipo kichwani kwako, wewe bado unawachukulia wanawake they belongs in the kitchen, huu ni upuuzi wa hali ya juu, President Samia yupo ok na elewa hawa ni binadamu kama sisi sio ni super humans being!1.) KORONA BADO IPO HATA ASKARI NYUMAYAO WAMEVAA BARAKOA, INAKUAJE KUGUSANISHA MATE NAMTU KIPINDI HIKI CHAHATARI??
2) Hii kitu kiprotokali hairuhusiwi hatakama unaonesha ukaribu mlionao lkn si kumnywesha rais wawatu kinywaji.
3.) Kwamila zetu Afrika mambo hayo hufanyiwa mzee baba au mtoto tuu sasa hapo imekaaje?
napenda kujua jinsia yako please kama hutajaliRelax mkuu, tatizo lipo kichwani kwako, wewe bado unawachukulia wanawake they belongs in the kitchen, huu ni upuuzi wa hali ya juu, President Samia yupo ok na elewa hawa ni binadamu kama sisi sio ni super humans being!
duh!Acheni kupoteza muda kujadili upuuzi wa huyu mama wa ccm,yaani badala ya kubaki UN kuhutubia,akaenda msumbiji kufanya vituko,actually sio kituko,lile tukio lilipangwa akijua kabisa sasa hv anashambuliwa sana nyumbani,akaona afanye bongo muvi Ili watu watoke kwenye reli badala ya kujadili upuuzi wa tozo,waanze kujadili vituko vyake,aliona hizo muvi hawezi kuzifanyia UN
Deep State wameridhia na kuruhusu Hilo lifanyike, hakuna state security threats hapoSalaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Wanyonge ni wewe na kizazi chako....nyambaf!watanzania wanyonge
Uwage unaangalia tamthilia za rais nawewe utapitwa mengi..😂Peter yupi?
Mama kadata kwa Konde BoySalaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Malkia wa nyuki huheshimishwa na mfalme pale anapohitaji mguso.Salaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Hakika unastahili teuzi!Pia lazima watu mnaochangia hapa muelewe kuwa baada ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kumnywesha mwenyeji wake hakutumia hiyo glasi kunywa Tena Bali alipewa nyingine hapo mbele alipoelekea ,Angalia vizuri mkono wa mh Rais wetu aliyeiva na kuvivaa viatu vya Urais kisawasawa akipokea Glasi nyingine kutoka kwa wasaidizi wake ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha mh Rais wetu mpendwa anakuwa salama popote Alipo huku akilindwa na Mkono wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema,
Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka