Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Umetuletea hapa ambayo haijakatwa na Kuungwa?Video hii imekatwa na kuungwa.
Tumia akili usipelekeshwe .Sipokei ushauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetuletea hapa ambayo haijakatwa na Kuungwa?Video hii imekatwa na kuungwa.
Tumia akili usipelekeshwe .Sipokei ushauri.
Aliyekula mate ya mwenzake ni yeye siyo uraisAtalalamikia wapi na nani atamlalamikia??, ni lazima umma amsaidie kulalamika kwani tukio hilo ni la kijamii pia.
Uko Sahihi kabisaa japo utabishiwa mnoooKwa mliomfahamu Samia baada ya kumwona na ushungi ndio mnashangaa!! Enzi za samia havai ushungi akiwa kwenye NGOs zake huko tunamjua Samia si mtu wa maadili ya kiafrika, huyu mama ana uzungu mwingi uliopitiliza... hata huo mtandio anaovaa no baada ya wazee kumsihi sana avae ili apate kura za jimboni huko Zanzibar.
Zakhia Meghji hamfikii Samia Suluhu Hassan kwa uzungu.
We nawe kaaah [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Acha uongo wako na upotoshaji wako hapa wa kujifanya unamfahamu Rais wetu mpendwa kuliko sisi watanzania, acha na Koma kumchafua mh Rais wetu hapa, Tena Koma kabisa
Aisee, upo....Ni wivu tu acha mama alambe asali..msimpangie.
Is she under 18?Naskia maza ana piga gambe kinoma yaan akishakula vitu vyake ndo hivyo kunaendaga
Mmmh!!Relax mkuu, tatizo lipo kichwani kwako, wewe bado unawachukulia wanawake they belongs in the kitchen, huu ni upuuzi wa hali ya juu, President Samia yupo ok na elewa hawa ni binadamu kama sisi sio ni super humans
Acha akili za kijingaNaskia maza ana piga gambe kinoma yaan akishakula vitu vyake ndo hivyo kunaendaga
acha ucumer bas na wewe, kwa huyo mtu wa mwisho alienda kugonga cheers tu, angeweza vipi ku switch glasi akatoa kwa mkono wa kulia ndani ya sekunde moja akapokea nyingine kwa mkono huo huo wa kulia?
Kwanini usitafute namna nyingine ya kumtetea?
Bila Shaka bado wewe Ni mchanga katika masuala ya kimataifa na Ni mgeni kwa ulimwengu wa kidiplomasiaKama alimnywesha Kisha akabadilishiwa glasi, alikuwa na Nia Gani na USALAMA wa Nyussi?
Hili Si jukwaa la watoto wadogo, tumia AKILI. Uongo uongo tu.
Huwezi ukaelewat kitu maana inaonyesha unafuata mkumbo wa wapotoshaji waliokuwa wanataka kufanya upotoshaji hapaWe jamaa tutolee upuuzi wako hapa poyoyo wa ajabu kabisa,
Hivi unajisikiaje unapoandika mashairi yako ya kipumbavu hapa
Uwe unaelewa na usiwe Kama mtoto mdogo, wapi mh mama yetu alipochangia glasi? Tunakwambia kuwa hiyo glasi ilibadilishwa hapo?Uyu mama amenishangaza hata Mimi kwakweli maana Kuna mda alikua amevaa barakoa Sasa najiuliza kama ameweza kushea glasi na huyu mheshimiwa alivaa ya Nini au amemchanganyia koktail Ili amsainishe mkataba maana delilia ni Delila tuu at akiwa presdaa
Nani atoe ufafanuzi kwa Jambo ambalo kila mtu ameona kuwa glasi ilibadilishwa, au unafikiri Kama wewe kwa akili yako iliona Ni glasi Ile Ile ndio imetumika unataka wote tuone Kama wewe, Tambua kuwa glasi ilibadilishwa na haikutumika Ile aliyotumia Rais wa msumbijiJambo hili watoke watolewe ufafanuzi, kama alibadilishiwa glasi baada ya kumnywesha wa msumbiji lazima ingeleta utata juu ya nn Hasa amemnywesha.
Mr peter 😂😂sijui kapotelea wapi maskiniPicha ingeleta maana zaidi tuone mamnyweshaje na huyo mwanaume tumtambie uskute ndo baba mpya baad aya peter[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nahusiana vipi na hiyo comment? Soma vizuri siyo uandike bila kujua unamjibu nani.Yaani unachanganya habari hata haueleweki, Sasa akina mh nchemba Tena wamefanya Nini