- Thread starter
- #121
Ishu hapa ni mkataba wa bandari mkuu ana hiyari ya kuukataa au azibe masikio.Kicha mada kinavutia kweli ila sasa ndugu ulicho weka kwenye content kimekua cha ajabu. Sio vibaya ukiandika upya na kuweka mizania sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu hapa ni mkataba wa bandari mkuu ana hiyari ya kuukataa au azibe masikio.Kicha mada kinavutia kweli ila sasa ndugu ulicho weka kwenye content kimekua cha ajabu. Sio vibaya ukiandika upya na kuweka mizania sawa
Makubaliano ya ubia wa kuendeleza na kuendesha bandari kati ya DP World na TPA ni bora sana na faida kubwa kwa Tanzania. Hao wanao pinga ni wajibu wao kupinga kwani walipinga mengi ambayo leo wanatumiaIshu hapa ni mkataba wa bandari mkuu ana hiyari ya kuukataa au azibe masikio.
Kufumbia macho dhulmat wakati una nafasi ya kuzuia ni sawa na kushiriki dhulma.Mama hawezi dhulumu nafsi ya mtu, ni Muislam safi.