Rais Samia kayataka mwenyewe, alikuwa ameanza vizuri tu

Rais Samia kayataka mwenyewe, alikuwa ameanza vizuri tu

Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Kiongozi bila kuwa na dira yako si kiongozi. Kosa kubwa la Samia ni kukosa dira. Yeye amekuwa ansikiliza anti-Magufuli tu bila kuwa na dira yake mwenyewe. Anafuata uongozi wa Kikwete ambao pia haukuwa na dira yoyote zaidi ya kutaka kufurahisha wafuasi tu. Ukitaka kuongoza kwa kufurahisha watu basi huwezi kuongoza. Principle moja ya leadership ni "kukaza sauti kidogo."

Msikilize General Mwakiborwa kuanzia dakika ya 35:00

 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Bibi hakuwahi kuanza vizuri, ni machawa tu ndio wanampa promo 😁😁😁😀siku hizi Kale ka msemo anaupiga mwingi ni adimu sana.
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Swali ambalo najiuliza kila ninaposoma nyuzi na comments nyingi zinazogusia kwamba sijui sasa Mkuu atafanya nini !!

Je kwani akiamua kukaa kimya kuhusu hili jambo nini kitatokea ??!!

Ni mitandaoni tu ndio watu wanazungumzia hii habari ya Bandari lakini mitaani ni business as usual watu wapo na Simba yao na Yanga yao plus Mayele na Makudubele !!
 
Mama Samia hajakataza kupinga kwa hoja. Serikali haijakataa kupingwa kwa hoja. Kinachokatazwa ni kutukana na binafsi wanaotukana washughulikiwe.
Mawakili waliofungua kesi kupinga mkataba wa bandari karibu wote wameitwa polisi kujieleza nionyeshe matusi yao.
 
Swali ambalo najiuliza kila ninaposoma nyuzi na comments nyingi zinazogusia kwamba sijui sasa Mkuu atafanya nini !!

Je kwani akiamua kukaa kimya kuhusu hili jambo nini kitatokea ??!!

Ni mitandaoni tu ndio watu wanazungumzia hii habari ya Bandari lakini mitaani ni business as usual watu wapo na Simba yao na Yanga yao plus Mayele na Makudubele !!
Mkuu acha kabisa ishu ya bandari iko mitaani, hata hivyo sio wote walio na uelewa wa bandari kama ilivyo kwa simba na yanga usifikiri wote wanafuatilia mpira.
 
Yawezekana ni mchezo ndani ya CCM wanahakikisha avuruge kuelekea 2025 then watu wa Usalama waseme mama pumzika upepo umekugomea kabisa. Afu jamaa waibuke dk ya 90 ya mchezo kuchukua ndoo.
Wachukue ndoo akina nani ??!

Hakuna kitu kama hicho, na hili nalo litapita alijisemea Mkuu mmoja wa Zamani !

Mitaani ni business as usual !!
 
Mama alianza vyema mno sema akakutana na makuwadi wa ustawi wake akina
rosti tamu, mstaafu mmoja na Abdul
 
Sawa tuu,sasa nyie ambao sio maadui mbona mnatutiaga umaskini?
Hakuna anyekutia umasikini, umasikini unajitia mwenyewe kwa kuwa wakala na kukubali raslimali za nchi yako kuuzwa kiholela.
 
Hakuna anyekutia umasikini, umasikini unajitia mwenyewe kwa kuwa wakala na kukubali raslimali za nchi yako kuuzwa kiholela.
Upuuzi,Bora niwe wakala harafu napata pesa kuliko kuitwa Mzalendo pesa mnakula nyie Washenzi
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.


Hapawezi, na sidhani kama atatokea mtu mbabe, mwenye maamuzi kama uncle Magu, Lisu karudia mlango wa kaburi mbele ya Magu. Mwingine yeyote anayepqmbana na lisu sijui anenda stage gani ya ukatili ili afanikiwe, dawa la Lisu ni kumpuuza, Mama ni kama alifanikiwa, sijui amekuwaje tena.
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Suala la Bandari ni sera ya chama CCM,chama kilicho madarakani hakiwezi kusikiliza kelele za wapinzani dhidi ya sera yake.
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, mambo yameanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wanasema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Mfalme wa Msoga Kingdom anasema eti Samia anaongoza nchi kwa utulivu![emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom