We jamaa usitake kudanganya watu.
Jpm mbona ali deal nao sana wanasiasa je uchumi umefika wapi?
Alipora pesa za wafanyabiashara
Alileta upuuzi wa kufuatia pesa za watu ,yaani Ukiwa na kahela kadogo Wana ceace pesa zako
Aliteka na ku harass wafanyabiashara eg Mo,na wenzake
Alikuwa anatumia TRA kuwabambikizia watu Kodi za kijinga
Alikimbiza wawekezaji,kipindi Cha Jiwe hakuna hata biashara za maana Wala viwanda vilianziahwa Tanzania
Jiwe ndie aliharibu soko la mazao yote ya wakulima bei ziliporomoka kuanzia mahindi hadi mbaazi.
Ni Jiwe aliyesababisha soko la nyumba kuhatmribika viwanja viliporomoka bei,majengo makubwa yakasimama ujenzi,NHC ilikuwa inajifia nk
Ni Jiwe ndie alileta upuuzi wa force account ambapo hakuna kazi za maana zilikuwa zinafanywa na wakandarasi wa ndani matokeo yake umaskini ukatapakaa
Ni Jiwe ndie alisababiaha mabenk mengi ya kati kufa na makubwa faida kushuka sana na mikopo isiyolipika kuongezeka
Ni Jiwe ndie alipelekea Kila mtaa ukipita utakuta nyumba inatangazwa.kupigwa mnada na banks ila Wanunuzi hawapo.
Ni Jiwe ndie alikuwa na migogoro na Majirani Kila upande kuanzia Kenya Hadi Rwanda na Zambia.
Kiufupi Jiwe aliharibu Kila kitu kuanzia biashara, uchumi Hadi siasa ndioa mana watu wa hivyo hawawezi Kudumu.
Hawa ndio wajamaa naowasemea ni wahenzi na wasiotakiwa kwenye jamii