Rais Samia kayataka mwenyewe, alikuwa ameanza vizuri tu

Rais Samia kayataka mwenyewe, alikuwa ameanza vizuri tu

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.
Maigizo mara nyingi hayageuki na kuwa mambo halisi.

Samia ni muigizaji mzuri, mtu mwenye hadaa za kuwalaza akili watu kwa muda.

Aliigiza kuwa mtiifu na mfuasi mzuri wa Magufuli katika hali ngumu sana.

Mtu aliyemsoma wakati ule, akirudi leo na kumsoma Samia huyu tulie naye sasa hawezi kuamini kuwa ni mtu huyo huyo mmoja.

Lakini, pamoja na hadaa nyingi za maridhiano na CHADEMA, bado dalili za udanganyifu wake zilijitokeza mara kwa mara katika maridhiano hayo.
Jambo muhimu sana kwake alilosisitizia CHADEMA walizingatie, ni kuacha kumzodoa, kutumia lugha ya maudhi na mambo kama hayo.
Hili alilisisitiza, akijua kwamba katika mazingira ya aina hiyo, sura yake halisi itafunuka, kama inavyojionyesha sasa
 
Acha uongo, SSH hakumpa kesi Mbowe
Yes, nyie mnasahau mapema, vichwa vyenu kama vya panzi.
Unakumbuka mahojiano na chombo cha habari cha dunia aliulizwa akasema "yule ni gaidi" ndo mana amechukuliwa hatua za kisheria
 
Katika vitu ambavyo rais Samia alikosea ni kuita maridhiano wakati hapakuwa na kitu mgogoro kati ya serikali na wapinzani bali kulikuwa na ujinga kama wa sasa wa kupinga kila kitu. Yeye alipaswa aelewe kuwa wapinzani wao kazi yao ni kupinga, kutukana hivyo ni vizuri kuwafuta na kuleta upinzani mwingine wenye staha. Sasa angalia anabyotukanwa rais wetu Samia tena mwenye mamlaka ya kusema ondoa huyu na akaondoka eti anafananishwa na matopeeee, yaani rais na urais wa Tanzania ni matopeee, nadhani sasa ataelewa vizuri kwanini Dkt Magufuli alikuwa vile
Mpuuzi wewe.
 
Katika vitu ambavyo rais Samia alikosea ni kuita maridhiano wakati hapakuwa na kitu mgogoro kati ya serikali na wapinzani bali kulikuwa na ujinga kama wa sasa wa kupinga kila kitu. Yeye alipaswa aelewe kuwa wapinzani wao kazi yao ni kupinga, kutukana hivyo ni vizuri kuwafuta na kuleta upinzani mwingine wenye staha. Sasa angalia anabyotukanwa rais wetu Samia tena mwenye mamlaka ya kusema ondoa huyu na akaondoka eti anafananishwa na matopeeee, yaani rais na urais wa Tanzania ni matopeee, nadhani sasa ataelewa vizuri kwanini Dkt Magufuli alikuwa vile
Hii niliwahi kusema kwamba unaleta maridhiano wakati hakuna mgogoro wowote. Ilikuwa ni kuwabembeleza watu ambao waliamua tu kukataa kukubali matokeo ya uchaguzi bila sababubya msingi. Hakukuwa na kesi hata moja ya uchaguzi ilofunguliwa, kama kweli uchaguzi ulikuwa umevurugwa. Kwenda Ubelgiji kupiga picha na Tundu na kufanya mazungumzo ilikuwa kosa kubwa sana. Nafikiri Mhe alishauriwa vibaya. Au ndo tulikuwa tunataka kukopa?
 
Of course ni katili ila anarembua macho. Ila hana uzalendo na Tanganyika hata chembe. Anataka madaraka milele, ukioneka tishio?

Waulize, Ndugai, Lukuvi, Kalemani,Kabudi, Polepole, Mbowe?
.
IMG_20201018_091547.jpg
 
Magufuli alilaaniwa na baadhi yetu kwa siasa zake hizo hizo ambazo leo mleta mada unaziona zina afadhali kuliko za sasa.

Mkuu awamu ya tano watu walificha pesa mpaka JPM akaongelea suala hilo hadharani, leo hii biashara nyingi mpya zinafunguliwa na hakuna anayeficha pesa.

Hakuna wamiliki wa bureau de change wanaoteseka kwa kunyang'anywa biashara zao mpaka wanapata presha zinazowaua kama ilivyokuwa awamu ya tano.

Kila rais anayekuwa ikulu hubebeshwa mzigo wa lawama, na mpaka akiondoka ndio tunakumbuka mema yake.
Kufungwa kwa Bureaux de change kulikuwa na maana yake. Watu hawalipi kodi unawaachaje? Hata sasa kama una biashara na unaendesha kijanja janja lazima utadhibitiwa ikiwemo kufunga. Umeona ilivyosaidia ku "stabilize" thamani ya fedha? Wengine walikuwa wanawakusanyia wafanyabiashara USD zinawekwa nyumbani. Wananunua usd BOT halafu benki hazionekani kurudi, zinaonekana TZS tu!
Mmeona sasa baadhi zimefunguliwa na ule mtindo unarudi tena. Angalia thamani ya fedha yetu ilivyoshuka! Ni kwa sababu hakuna usd inayoingia kwa wingi kwenye mfumo despite msimu wa utalii kuwa juu.
 
Ni nguvu ya wafadhili huko nje inayomuongoza Rais Samia. Tunategemea misaada kwa sehemu pana ya bajeti yetu na akawa hana cha kufanya ili mambo ya ndani yaweze kwenda vizuri.

Kukaa meza moja na wapinzani ni katika kutekeleza matakwa ya wenye pesa, hivyo huwezi kumsikia Rais SSH akiongea licha ya kutukanwa na kina Lissu tena matusi ya kukera sana.

Anachokifanya SSH kilimshinda JPM aliyekubali kufa na tai shingoni. Hakukubali kutii kila amri ya mzungu aliamini katika uhuru na jeuri ya mwafrika.
Kwa hiyo wewe unakubali kutii amri ya.mzungu?
 
Yawezekana ni mchezo ndani ya CCM wanahakikisha avuruge kuelekea 2025 then watu wa Usalama waseme mama pumzika upepo umekugomea kabisa. Afu jamaa waibuke dk ya 90 ya mchezo kuchukua ndoo.
Umetumia akili sana kuwaza hayo. JK aliwahi kufanyiwa kama hivi na watu wake wa karibu, tena wengine ni marafiki wa karibu, walimletea sakata la Richmond ili asiweze kugombea kipindi cha pili. Aliwashtukia mapema. akawasambaratisha. Mhe SSH awe na.mikakati yake binafsi. Asisikilize kila anachoambiwa na washauri wake, mengine wanampoteza. Ndo hao walimwambia kuna kundi pro JP.M, waondoe kabla hawajakumaliza, kosa kubwa ssna kisiasa.
 
Umetumia akili sana kuwaza hayo. JK aliwahi kufanyiwa kama hivi na watu wake wa karibu, tena wengine ni marafiki wa karibu, walimletea sakata la Richmond ili asiweze kugombea kipindi cha pili. Aliwashtukia mapema. akawasambaratisha. Mhe SSH awe na.mikakati yake binafsi. Asisikilize kila anachoambiwa na washauri wake, mengine wanampoteza. Ndo hao walimwambia kuna kundi pro JP.M, waondoe kabla hawajakumaliza, kosa kubwa ssna kisiasa.
ni kweli kabisa, ile tume ya Mwakyebe ikaipa meno ikamkaanga na akamtosa swahiba wake mkuu EL ili mambo yawe sawa. Rais Samia kwenye hili la Bandari awe makini sana bado ana muda wa kuachana nalo, limemkalia vibaya sana.
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Kwa upande Mwingine wananchi woote wanaunga mkono harakati za kupinga Mkataba.

Sasa hao wanaotaka mkataba wanafanya kwa maslahi ya nani?
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Mwisho wa enzi huwa na mwanzo wake wa kuelekea tamati
 
Fara baba yako. Ndiyo kama alivyopotezwa lyatonga wakaja cuf wakaja chadema, nchi hii wapinzani ni njaa hatujawahi pata wapinzani wazalendo. Wapinzani waliopo sasa wote wana bei tena bei cheee
Leteni upinzani wenu sasa, ng'ombe
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ima achague awe dikteta ajiharibie ama aachane na MKATABA ule wa kipuuzi na arejee vile alianza kuongoza ndiyo itakuwa salama kwake.
Tatizo kiendacho kwa mganga hakirudi.

Ukishakunja mtonyo wa watu usitarajie utabadili mawazo mbele ya safari.
 
Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.

Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.

Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.

Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.

Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.

Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.

Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Mtanyooshwa Hadi mkae sawa,Samia hawezi compromise uchumi Kwa sera za Kijamaa ambazo hukimbiza wawekezaji na wafanyabiashara ila kwenye siasa naunga mkono awashughulikie kama anavyofanya Kagame,Museveni,Ruto ,Al Sisi wa Egypt nk.

Rais Samia wafyeke hao wapuuzi wote wenye vidom Domo wanaotaka kuharibu uchumi wa Nchi,uhuru uwe na mipaka
 
Back
Top Bottom