- Thread starter
- #21
Kati ya Mama anayeuza nyumba ya urithi na watoto wanaopinga kelele nyumba isiuzwe nani hana ustaarabu.Chadema wamekosa ustaarabu hivyo ni lazima kula nao sahani moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya Mama anayeuza nyumba ya urithi na watoto wanaopinga kelele nyumba isiuzwe nani hana ustaarabu.Chadema wamekosa ustaarabu hivyo ni lazima kula nao sahani moja tu
Of course ni katili ila anarembua macho. Ila hana uzalendo na Tanganyika hata chembe. Anataka madaraka milele, ukioneka tishio?Sa100 ni kama JPM na kumzidi JPM. Haya ya sasa ni mapito tuu, yatapita na atamaliza vizuri tuu!. Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?
P
Sijamsikia jogoo akiweka lakini Jo,au mimi nipo ndoto ni?labda nisubiri ndoto uishe🤔Kumekucha
Magufuli alilaaniwa na baadhi yetu kwa siasa zake hizo hizo ambazo leo mleta mada unaziona zina afadhali kuliko za sasa.Siasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.
Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.
Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.
Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.
Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.
Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.
Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Ni nguvu ya wafadhili huko nje inayomuongoza Rais Samia. Tunategemea misaada kwa sehemu pana ya bajeti yetu na akawa hana cha kufanya ili mambo ya ndani yaweze kwenda vizuri.Katika vitu ambavyo rais Samia alikosea ni kuita maridhiano wakati hapakuwa na kitu mgogoro kati ya serikali na wapinzani bali kulikuwa na ujinga kama wa sasa wa kupinga kila kitu. Yeye alipaswa aelewe kuwa wapinzani wao kazi yao ni kupinga, kutukana hivyo ni vizuri kuwafuta na kuleta upinzani mwingine wenye staha. Sasa angalia anabyotukanwa rais wetu Samia tena mwenye mamlaka ya kusema ondoa huyu na akaondoka eti anafananishwa na matopeeee, yaani rais na urais wa Tanzania ni matopeee, nadhani sasa ataelewa vizuri kwanini Dkt Magufuli alikuwa vile
Kufuta upinzani na kuleta upya??FaraKatika vitu ambavyo rais Samia alikosea ni kuita maridhiano wakati hapakuwa na kitu mgogoro kati ya serikali na wapinzani bali kulikuwa na ujinga kama wa sasa wa kupinga kila kitu. Yeye alipaswa aelewe kuwa wapinzani wao kazi yao ni kupinga, kutukana hivyo ni vizuri kuwafuta na kuleta upinzani mwingine wenye staha. Sasa angalia anabyotukanwa rais wetu Samia tena mwenye mamlaka ya kusema ondoa huyu na akaondoka eti anafananishwa na matopeeee, yaani rais na urais wa Tanzania ni matopeee, nadhani sasa ataelewa vizuri kwanini Dkt Magufuli alikuwa vile
Kufuta upinzani na kuleta upya??Fara
Kila shetani na mbuyu wake Magufuli alikuwa na mazuri na mabaya yake lkn hakuwa na mawazo ya kuuza rasilimali za nchi kama huyu wa leo.Magufuli alilaaniwa na baadhi yetu kwa siasa zake hizo hizo ambazo leo mleta mada unaziona zina afadhali kuliko za sasa.
Mkuu awamu ya tano watu walificha pesa mpaka JPM akaongelea suala hilo hadharani, leo hii biashara nyingi mpya zinafunguliwa na hakuna anayeficha pesa.
Hakuna wamiliki wa bureau de change wanaoteseka kwa kunyang'anywa biashara zao mpaka wanapata presha zinazowaua kama ilivyokuwa awamu ya tano.
Kila rais anayekuwa ikulu hubebeshwa mzigo wa lawama, na mpaka akiondoka ndio tunakumbuka mema yake.
Mkuu maCCM wote tabia zao zinafanana. Wanafanana na huyu nyani. Hawatosheki na wala hawajibi au kuridhika na walicho nacho. Kila siku wanatamani kuuza rasilimali za taifa kwa maslahi yao finyu ya kujaza matumbo yasiyoshiba kamwe.
View attachment 2693042
tulia maza ni bingwaSiasa za mivutano ‘Confrontational Politics’ aliziweza Mwendazake, sidhani kama Rais Samia ataziweza.
Alipoingia madarakani Samia alikuja na hoja ya ‘Maridhiano’, hoja ambayo ilipokelewa vizuri na pande zote ingawa kwa shingo upande, baadhi hawakufurahishwa.
Kwa kiasi kikubwa siasa za vyama vya Upinzani hasa CHADEMA zilianza kupoa si kwa sababu ya vitisho vya vyombo vya dola bali walitegemea siasa za Rais Samia zinaweza kuwa tofauti na siasa za Mwendazake.
Hali imekuwa more of the same, imeanza kubadilika, mabadiliko haya naweza kusema yamechagizwa zaidi na ujio wa Mkataba wa Bandari.
Wananchi wameanza kusema wazi kuwa hawakubaliani na uamuzi wa Rais, yeye na wapambe wake wanasema anatukanwa.
Rais (CCM) kwa kutumia vyombo vya dola wanataka kuonesha wao ndio walioshika mpini, wanaompinga wameanza kushughulikiwa kama ilivyokuwa kipindi cha Magufuli.
Je, Samia ataziweza siasa za Mwendazake? Anao uhuru na uwezo wa kufunika kombe mwanahalamu apite ili amalizie kipindi chake.
Tatizo naloliona kwako lipo kwa watanzania wengi.Kila shetani na mbuyu wake Magufuli alikuwa na mazuri na mabaya yake lkn hakuwa na mawazo ya kuuza rasilimali za nchi kama huyu wa leo.
Magufuli hakupaswa kuwa kiongozi haswa ngazi ya urais, ndio maana aklitawaliwa na jazba. Eti kwamba afute upinzani alete upinzani wenye staha, kwani upinzani unawekwa na CCM? Kama unaingia madarakani kwa njia zisizo za staha, ni staha gani unaitaka baada ya kupora uchaguzi?Katika vitu ambavyo rais Samia alikosea ni kuita maridhiano wakati hapakuwa na kitu mgogoro kati ya serikali na wapinzani bali kulikuwa na ujinga kama wa sasa wa kupinga kila kitu. Yeye alipaswa aelewe kuwa wapinzani wao kazi yao ni kupinga, kutukana hivyo ni vizuri kuwafuta na kuleta upinzani mwingine wenye staha. Sasa angalia anabyotukanwa rais wetu Samia tena mwenye mamlaka ya kusema ondoa huyu na akaondoka eti anafananishwa na matopeeee, yaani rais na urais wa Tanzania ni matopeee, nadhani sasa ataelewa vizuri kwanini Dkt Magufuli alikuwa vile
Acha uongo, SSH hakumpa kesi Mbowe
Mkataba usio na kikomo ni sawa na kuiuza tu.Tatizo naloliona kwako lipo kwa watanzania wengi.
Kuamini katika maneno ya upotoshaji yasiyo na ukweli wowote. Hakuna anayeuza nchi hata robo ya Mita moja.
Ni uwekezaji ambao hata Magufuli angeufanya kama angekuwa hai. Kwani SGR ilijengwa kwa ajili ya shughuli hii hii tunayomtukania Samia leo hii!!
Watanzania aliyeturoga keshakufa kitambo.