Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Kuna watu wengi sana hawana ajira mtaani, kuanzia vijana mpaka wazee.
Kuanzia wasomi mpaka wasiokuwa wasomi.

Hivi hakuna kampuni au namna yoyote ile inaweza kufanywa na watu au mtu mwenye uwezo akawatumia hawa watu wasio na ajira?
Watu wasio na ajira ni wengi sana, hakuna namna ya kuwatumia watu hawa kutengeneza pesa?
Kwa hiyo Samia ndio aje awatafutie Kazi au
 
Bavicha watashangilia sana! Maana kauli hiyo inamhusu Ndugai
Benefits za Ndugai ni hizi-
*80% ya mshahara wa Spika mpaka kufa kwake!
*VXV8 linakuwa lake
*Analipiwa dereva mpaka kifo
*Lita 70 kila wiki
*Anapewa ulinzi mpaka mauti
*Bado atapata kiinua mgongo kama Mbunge!

Halafu Bado unasema kauli hiyo inamuhusu Ndugai,pumbav kabisa!
 
Benefits za Ndugai ni hizi-
*80% ya mshahara wa Spika mpaka kufa kwake!
*VXV8 linakuwa lake
*Analipiwa dereva mpaka kifo
*Lita 70 kila wiki
*Anapewa ulinzi mpaka mauti
*Bado atapata kiinua mgongo kama Mbunge!

Halafu Bado unasema kauli hiyo inamuhusu Ndugai,pumbav kabisa!
Kwani amestaafu ??? Ulipaji una taratibu zake.
 
Kwa hiyo Samia ndio aje awatafutie Kazi au

Wewe naye unakuwa kama dada, wapi nimesema samia awatafutie kwazi?
Nimesema kuna watu wengi hawana ajira, na nikasema hakuna namna ya kuwatumia hao watu wasio na ajira kutengeneza pesa?
Cha ajabu unaleta umama.
Isitoshe unaposema eti " samia awatafutie kazi"
Ndiyo samia lazima awatufutie kazi, kwa sababu amevunja vibanda walivyokuwa wanavitumia kuingiza kipato.
 
Tatizo vijana wengi wameelekeza nguvu zao, muda na maarifa mitandaoni. Hawataki kujishughulisha na kazi ya mikono au akili, muda mwingi wanautumia kuwapigania na kuwatetea wanasiasa wachovu ambao wengine wanaishi Ulaya kula bure, kulala bure nk. Wanasiasa hawa hawana msaada wowote wa maana kwao na familia zao. Sana sana wanaishia kutumiwa vijibando tu mtandaoni na buku buku ya kula.
 
2025 siyo mbali. Huyu mama kaiua CCM yoteeee kwisha habari yake.

°MACHINGA
°AJIRA KWA VIJANA
°WAKULIMA
°CCM WENZAKO
Hautabaki salama na ccm yako mtaenda na maji😂😂😂
 
Wewe naye unakuwa kama dada, wapi nimesema samia awatafutie kwazi?
Nimesema kuna watu wengi hawana ajira, na nikasema hakuna namna ya kuwatumia hao watu wasio na ajira kutengeneza pesa?
Cha ajabu unaleta umama.
Isitoshe unaposema eti " samia awatafutie kazi"
Ndiyo samia lazima awatufutie kazi, kwa sababu amevunja vibanda walivyokuwa wanavitumia kuingiza kipato.
Sawa kama una ndugu yako endelea kumfuga ,kuna ajira Samia atawapa
 
Back
Top Bottom