Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Mashamba yapo huku vijijini...vijana mnawaachia wazee. Njooni mjiajiri. Mlime kisasa.
Mkuu ni kweli kwamba fursa nyingi za maendeleo zipo mashambani lakini kwa sasa hali ni mbaya sana: Mabadiliko ya hali ya hewa haitabiliki, kiangazi, masika na vuli haya tabiliki; Serikali nayo imeongeza bei za pembejeo za kilimo mara dufu zaidi ya hiyo mikopo ya Halmashauri. Kwa mantiki hiyo FURSA za maisha kwa mwanachi wa kawaida haipo.
 
Sijui wanataka watu wawe vibaka[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Halafu utekelezaji wa hii operesheni unafanyika kinyume cha haki za binadamu kabisa.

Mtu anavamiwa kama vile mhalifu kwa marungu na kubebwa juu juu mpaka kwenye gari kuelekea kituoni.

Sijui tunajenga jamii ya aina gani jamani.
 
Huyu mama ni mpuuzi sana,atuonyeshe mtoto wa waziri,Mbunge,nk anayechakalika na kazi za jua kali,
Watoto wa wakubwa hutafutiwa kazi,voda,total,TRA,mifuko ya jamii,
Atuambie mtoto wa mkubwa gani anasoma shule za kata,kutibiwa hizi hospitari zetu za hovyo.
 
Yeye kila akilala anaota watu wanaonyang'anya urais na kuweweseka
 
Halafu utekelezaji wa hii operesheni unafanyika kinyume cha haki za binadamu kabisa.

Mtu anavamiwa kama vile mhalifu kwa marungu na kubebwa juu juu mpaka kwenye gari kuelekea kituoni.

Sijui tunajenga jamii ya aina gani jamani.
Hili gonjwa alilipalilia jiwe kwa kuwapa jeuri machinga kuwa hakuna atakaye waondoa mijini.

Leo hii jiwe hayupo mrithi wake anataka kuwaondoa ndiyo inakuwa mshike mshike
 
Namna ya kuwatumia ipo...anza kwa kuwa 'motivational speaker'...wengi watakusikiliza ila watoze pesa kidogo maana hali ya uchumi si nzuri.
 
Hahaha!!! Nahisi hujawahi kulima
kwahiyo kila mwaka utakuwa unafyeka msitu?
Anyway unaitendea haki 7000 yako, Shaka amekuona unaweza kwenda kuchukua.
Sisi watanzania hapa ndipo tunapo potea!Yaani kwa akili yako unamaanisha shamba jipya uchoka kwa msimu mmoja tu?Pili unamaanisha baada ya kulima msimu wa kwanza bado hautoweka mtaji kutokana na mavuno?.
Kwa taarifa yako tu,mimi mwaka jana nilianza na hekari 1 ya mpunga na sasa nimelima tatu na tayari nimezipanda.
Wewe subiria ajira ya mshahara tu,huku ukizidi kuchelewa mwenyewe.
 
Kwanza wewe hapo unalima hekari ngapi kwa mwaka?Mama ameongea na vijana ambao hata robo hekari hawezi lima.Sasa kijana huyu hata ukimpatia trekta na pembejeo bure,bado kwake anaamini kilimo ni kwa masikini na wasiofika vyuo vikuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…