Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Hii nchi ngumu *****!!! Bongo ni ya kuikimbia, bora vijana wote tukiondoka tukaawaachia nchi yao maccm yajitawale enyewe
 
Rais Samia amesema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi. Ameeleza, "Kazi zipo nyingi Tanzania, ni Vijana kuchakarika, kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia"

Ametoa rai hiyo leo Januari 07, 2022 wakati akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Amesisitiza, "Naombeni kaangalieni fursa za kazi. Fursa zipo nyingi na ni aibu kijana kukaa bila kazi"

Ameongeza, "Na hapa nitazungumzia changamoto inayofuata ambayo ni nyie Vijana kutokujua au kutotumia fursa zilizopo. Hamzitumii kabisa! Niwaombe sana Vijana, kuna fursa nyingi. Piteni Vyuoni mtaelekezwa jinsi ya kuziona fursa hizo"

Kuhusu changamoto ya Mitaji kwa Vijana amesema kuna Fedha za Halmashauri na Mifuko kadhaa ambayo inatoa Mikopo kwa Vijana imeanzishwa, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi kubwa ya Vijana

Sikiliza sehemu ya hotuba yake kuhusu Vijana na Kazi:

View attachment 2072394
Rais Samia amesema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi. Ameeleza, "Kazi zipo nyingi Tanzania, ni Vijana kuchakarika, kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia"

Ametoa rai hiyo leo Januari 07, 2022 wakati akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Amesisitiza, "Naombeni kaangalieni fursa za kazi. Fursa zipo nyingi na ni aibu kijana kukaa bila kazi"

Ameongeza, "Na hapa nitazungumzia changamoto inayofuata ambayo ni nyie Vijana kutokujua au kutotumia fursa zilizopo. Hamzitumii kabisa! Niwaombe sana Vijana, kuna fursa nyingi. Piteni Vyuoni mtaelekezwa jinsi ya kuziona fursa hizo"

Kuhusu changamoto ya Mitaji kwa Vijana amesema kuna Fedha za Halmashauri na Mifuko kadhaa ambayo inatoa Mikopo kwa Vijana imeanzishwa, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi kubwa ya Vijana

Sikiliza sehemu ya hotuba yake kuhusu Vijana na Kazi:

View attachment 2072394
Ukweli ni kwamba amechoka wala hata haelewi analoongea ni vema angeomba msaada wa kuelimishwa afanye nini kuwapatia vijana fursa za kujiajiri na namna gani anaweza kuwapatia mitaji ya kujiajiri. Wale washauri wake muelimisheni jamani laa sivyo hii nafasi pia itangazwe ipo wazi
 
Rais Samia amesema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi. Ameeleza, "Kazi zipo nyingi Tanzania, ni Vijana kuchakarika, kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia"

Ametoa rai hiyo leo Januari 07, 2022 wakati akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Amesisitiza, "Naombeni kaangalieni fursa za kazi. Fursa zipo nyingi na ni aibu kijana kukaa bila kazi"

Ameongeza, "Na hapa nitazungumzia changamoto inayofuata ambayo ni nyie Vijana kutokujua au kutotumia fursa zilizopo. Hamzitumii kabisa! Niwaombe sana Vijana, kuna fursa nyingi. Piteni Vyuoni mtaelekezwa jinsi ya kuziona fursa hizo"

Kuhusu changamoto ya Mitaji kwa Vijana amesema kuna Fedha za Halmashauri na Mifuko kadhaa ambayo inatoa Mikopo kwa Vijana imeanzishwa, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi kubwa ya Vijana

Sikiliza sehemu ya hotuba yake kuhusu Vijana na Kazi:

View attachment 2072394
Tatizo mtaji. Hata kulima yenyewe lazima ununue mbegu. Mbolea bei juu.
Umwajiliaji ndio mtihani hata nyanya haiwezi kukua.
Mchina kalima kando ya ruvu anamwagilia tayari amekamatwa. Sasa hizo furusa mama zikoje??.
Mkopo benki hipati kama huna senti moja mle.

Viongozi mnapotamka mfikirie na nje ya kapu pia.
Asante
 
Aliposema kazi iendelee watu hawakujua ni kazi gani aliyotaka kuiendeleza,

Kifupi mama alitaka kuendeleza zile kazi za kifisadi zilizokwamishwa na awamu ya 5 chini ya JPM.
 
Huwasaidii kwa kufanya hivyo utaonekana mpumbavu tu! The government has to show the way forward..Kama ni kupitia kilimo yatafutwe masoko yatakayopokea produce toka kwetu.

Estates zianzishwe na serikali watu wazalishe kama ni sukari ama mazao mengine yenye high demand in tonnes watu walime milango ya export iwe wazi ni ku conform na standards tu.

Masoko makubwa ma 4 au 5 yatabadilisha hali ya maisha ya graduates. Facilitation ya serikali ni muhimu kwa kufanikisha hilo sio kujiropokea tu upuuzi...Kulikwaga na Pamba na katani na watu walizalisha wakaishi vyema tu by that time.

Serikali isijondoe kwenye lawaMa katika hili hata kidogo its to be blamed inside out! Haijatekeleza wajibu wake vizuri. Wenzetu palipoendelea huko welfare ya wananchi ndio kazi kuu ya serikali. Huku watu wanagombania vyeo tu bila aibu.
Sasa uko kwenye JF kutwa una post uta export vipi pamba na katani? Toka hapo sebuleni kwa shemeji yako nenda Kibaigwa, Sumbawanga, Mbozi, Tunduma, Longido, Rombo uone vijana wanavyochemka.

Serikali inatengeneza mazingira kupitia sera za viwanda, biashara na kilimo.

Acha kumtegemea shemeji akupe hela ya bundle na sabuni, toka kahangike, fursa zipo
 
Tatiz la nchi yetu halijaanzia kwa leo. Mama tutamshambulia saana lkn sion km yeye kama yeye ataeza aje na suluhu yene faida zaid ya kusikia maneno km hayo.

Tukubali km nchi,mfumo wa elimu yetu ufumuliwe ili uendane na mazingira ya dunia sasa.
Hivi kama mtoto kuanzia std I had F6 anakaririshwa jinsi ya kujib mtihan tu,na hata huko versity kwenyewe it's the same! Tumtarajie mhitimu aingie dunia ya ujasiriamali kwa urahisi upi tuliomjengea tokea utoto wake?

Binafs sichukulii km kuwapa mikopo kuna tija coz kusudio la mkopo ni baadye fedha zirejeshwe,zitarejeshwaje km mkopaji hana uelewa wa kutosha kwa project aliyoiombea huo mkopo???? It's obvious hizo fedha zitaangamia na mtaanza kufukuzana na maafisa mikopo mitaan tuu mithili ya paka na panya na lawama juu kuona wameshindwa kurejesha.
Na ukiwatangazia mikopo vijana watakujia na business plan zao za viwango kabisa coz nadharia ndiyo kitu mliwafundisha zaidi mashuleni. Kaa usubirie utekelezaji wa vitendo km kilichoandikwa kwenye andiko mradi wao😂😂😂😂😂😂

Tubadilishe mfumo wa elimu yetu iwe inayoegemea practical zaidi na tuwe na shule zenye michepuko inayogusa maisha halisia ya kitanzania.

Hapo mama mnatarajia kwa nafasi yake mama asemeje,zaidi ya kukuhamasisha even if huenda hata yy moyon anatambua ugumu wa jambo lenyewe!
 
Rais Samia amesema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi. Ameeleza, "Kazi zipo nyingi Tanzania, ni Vijana kuchakarika, kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia"

Ametoa rai hiyo leo Januari 07, 2022 wakati akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Amesisitiza, "Naombeni kaangalieni fursa za kazi. Fursa zipo nyingi na ni aibu kijana kukaa bila kazi"

Ameongeza, "Na hapa nitazungumzia changamoto inayofuata ambayo ni nyie Vijana kutokujua au kutotumia fursa zilizopo. Hamzitumii kabisa! Niwaombe sana Vijana, kuna fursa nyingi. Piteni Vyuoni mtaelekezwa jinsi ya kuziona fursa hizo"

Kuhusu changamoto ya Mitaji kwa Vijana amesema kuna Fedha za Halmashauri na Mifuko kadhaa ambayo inatoa Mikopo kwa Vijana imeanzishwa, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi kubwa ya Vijana

Sikiliza sehemu ya hotuba yake kuhusu Vijana na Kazi:

View attachment 2072394
Sikuelewai kabisa
 
Naona hapo Mwisho ukamalizia na maneno ya motivational speaker.

Kwani maza yeye akiona watu wanasogelea urais wake hapo 2025 anakua mkali Sana,si aachane na urais aje kitaa kazi ziko nyingi Sana.
Ajikute tu anakuja kitaa atapagawa hata ushungi anaweza akasahau kuvaa
 
Sasa uko kwenye JF kutwa una post uta export vipi pamba na katani? Toka hapo sebuleni kwa shemeji yako nenda Kibaigwa, Sumbawanga, Mbozi, Tunduma, Longido, Rombo uone vijana wanavyochemka.

Serikali inatengeneza mazingira kupitia sera za viwanda, biashara na kilimo.

Acha kumtegemea shemeji akupe hela ya bundle na sabuni, toka kahangike, fursa zipo
Mazingira yapi yaliotengenezwa bwana korosho to ku export imekuwa historia anasafirisha waziri tu wenye mashamba ya mikorosho wako hoi😅 ndio sera nzuri hizo?

Inaonekana naongea na mtoto wa Bhakressa ambaye hajui tumbo likishinda siku 2 bila chochote linakuwa na hali gani!
 
Tatizo mtaji. Hata kulima yenyewe lazima ununue mbegu. Mbolea bei juu.
Umwajiliaji ndio mtihani hata nyanya haiwezi kukua.
Mchina kalima kando ya ruvu anamwagilia tayari amekamatwa. Sasa hizo furusa mama zikoje??.
Mkopo benki hipati kama huna senti moja mle.

Viongozi mnapotamka mfikirie na nje ya kapu pia.
Asante
Ndio sera nzuri za viwanda na biashara hizo za watu ambao wanakinga 10M kwa mwezi na marupu rupu kibwena😅

Kimsingi bila mtaji hata uwe na idea kama za Elon Musk hutoboi.
 
Na mtoto wake yule ambae mbunge na yule mkwe wake ambae Ni waziri nao watakuja kujiajiri lini?maana nafasi ziko mtaani nyingi tu Ni uvivu wao tu 😄😄😄
Hahahahahah huyu maza anatuchezea, waje mtaani wanae waone balaa kama ndoa itatoboa hata miezi 6
 
Tatizo nchi hii kuna kasumba ya kudharau kazi kama hizo. Tena vijana waliosoma wanaona fedheha kubwa kufanya hizo kazi. Lakini hiyo kasumba ingepigwa vita na kuondolewa vijana wengi wangefanya hizo kazi. Kama unavyowaona vijana wa kibongo wanabeba boksi Ulaya, wanaosha wazee, wanaosha masufuria hotelini, wanasafisha vyumba vya mahotelini wanalipwa na wanatuma hela kusaidia familia zao.
Hata zingekuwepo. Bongo kwa kazi hio hio mtu atataka ufanye siku nzima akulipe 5,000/=??? Ni unyama ulioje yani umfanyishe mtu kazi masaa 12 halafu umlipe 5,000. Kazi nyingi za bongo ni level ya vibarua kimaslahi.

Ndio maana wao wanakomaa wawapachike watoto wao huko NSSF, NHIF, TRA, GSPA,TASAC,TRA,BOT n.k ambako mishahara ni ya kuridhisha ukiwa na kisomo chako. Kwanini wasiwapeleke kuosha masufuria hotelini kama ni kazi nzuri hizo?

Hapo hujala, familia haijala na nauli ya kesho unatakiwa uwahi kibaruani. Hivyo vibarua vya aina hio wenzetu wanaolipana laki na nusu mpaka laki 3 kwa siku wao wanaziita ajira. Ooh wawekezaji wameongezeka mtapata ajira muwekezaji wa kuja kukulipa 5,000 kwa kukutumia siku nzima?

Ulaya walau mtu atakulipa 5000 kila lisaa limoja...Masaa 12 ni elfu 60. Hakuna mtu ambaye angebaki mtaani kama kuna kazi ya aina hio.
 
Back
Top Bottom