The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Nov 14, 2022 #161 Victoire said: Safi sana .Sasa akapate mafunzo na uzoefu alio nao kwenye maji. Huyu kijana bila yeye watu wote 43 wangeperish . Click to expand... Sio kweli sisi wavuvi wenzie tumesaidiana sana mtupe hata mitumbi ya kisasa jaman
Victoire said: Safi sana .Sasa akapate mafunzo na uzoefu alio nao kwenye maji. Huyu kijana bila yeye watu wote 43 wangeperish . Click to expand... Sio kweli sisi wavuvi wenzie tumesaidiana sana mtupe hata mitumbi ya kisasa jaman
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Nov 14, 2022 #162 Mwanamayu said: Inaonekana wewe unamfahamu vizuri, hivyo ni vyema akafuata ushauri wako! Click to expand... Dogo ni mlanguzi wa dagaa sio mvuvi
Mwanamayu said: Inaonekana wewe unamfahamu vizuri, hivyo ni vyema akafuata ushauri wako! Click to expand... Dogo ni mlanguzi wa dagaa sio mvuvi
Intelligence Justice JF-Expert Member Joined Oct 23, 2020 Posts 3,443 Reaction score 4,006 Nov 14, 2022 #163 Waliomwokoa Majaliwa baada ya kuchapwa na kamba kisha akzimia majini wanatuzwa nini?
Intelligence Justice JF-Expert Member Joined Oct 23, 2020 Posts 3,443 Reaction score 4,006 Nov 14, 2022 #164 Waliomwokoa Majaliwa baada ya kuchapwa na kamba kisha akzimia majini wanatuzwa nini?
Intelligence Justice JF-Expert Member Joined Oct 23, 2020 Posts 3,443 Reaction score 4,006 Nov 14, 2022 #165 Ni kada wa CCM yule na hushinda kwenye ofisi za CCM baada ya kumaliza kuuza samaki na dagaa