900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Nijambo jema ila sasa akifika kule baada ya shibe ataishia kwa wenzake tu kufunja matofali siku ya sherehe ya uhuru na kuruka na parachutiNi agizo kutoka kwa Rais Samia,
Amiri Jeshi Mkuu, ameagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni kuanza mchakato wa ajira ya huyo kijana mara moja...