Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
The correct salutation is "Her Excellency". She is not a Queen, she is a President.I found Her majesty's voice is so Heartwarming and Life affirming 💓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The correct salutation is "Her Excellency". She is not a Queen, she is a President.I found Her majesty's voice is so Heartwarming and Life affirming 💓
Enzi za mwendazake John Pombe Magufuli (RIP) , Prof. Kabudi atoa wosia tusijiandae kwa cheo chochote, endelea kusikiliza nukuu za kufikirisha za wosia za hekima anazo - 'share' Prof. Palamagamba Kabudi nasi sisi vijana ambazo alizipata toka kwa babaye kuwa pengine tuishi kufuatana na "nyakati"Huyu Waziri wa Sheria Prof. Palamagamba Kabudi bwana yaani jinsi alivyotoa sauti nzito kana kwamba anakula Kiapo cha U'makamu Raisi..
Sauti yake unaweza kuogopa hata kuripoti kazini.. Ila sauti yake na Akili yake ni mbingu na ardhi.. Hebu tuone awamu hii ya 6 atakuwaje, pengine alikuwa anafuata akili ya Aliyekuwa KIRANJA MKUU..
Huyu mama ana mabiti makali....😀Naona kawapiga biti wanaovizia kiti chake
Macho yamelegea ila yanaonaHuyu mama ana mabiti makali....😀
HahahaUkiskia chambua kama karanga ndo hiyo, ni shot kulia shot kulia we uko mbele wakisema nyuma geuka, shot kulia shot kulia we wa mwisho 😁👌
Amesema wapigaji kina Manji warudiNisubiri tuu hotuba yake
Baada ya pasaka kinaumana tena😀Macho yamelegea ila yanaona
Kaniacha hoi jinsi alivokuwa anakula kiapoHuyu Waziri wa Sheria Prof. Palamagamba Kabudi bwana yaani jinsi alivyotoa sauti nzito kana kwamba anakula Kiapo cha U'makamu Raisi..
Sauti yake unaweza kuogopa hata kuripoti kazini.. Ila sauti yake na Akili yake ni mbingu na ardhi.. Hebu tuone awamu hii ya 6 atakuwaje, pengine alikuwa anafuata akili ya Aliyekuwa KIRANJA MKUU..
Ana wenge anawaza asije akatumbuliwa na mamaMsigwa sijui alijisahau vipi kumtaja VP kwenye protoko yake.
Kiwewe. Labda ameshanusa harufu kuwa atapekechwaMKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU GERSON MSIGWA SASA NAONA KACHOKA KAZI
Kaharibu sana Protocal leo Kusahau kumadress Makamu wa Rais na kukosea zaidi ya mara tatu duuuuu
Hii kitu ilikuwa pabaya kwa nini uzuie pesa zangu benkiPhilip Mpango Bado anafikiri anafanya kazi na JPM, Anamwagiza Mwigulu akakusanye kodi kubwa Sana, nimefutahi Rais amezuia kubambikiza kodi kwa wafanyabiashara na Hakuna kuzuia pesa za wafanyabiashara benki...Big up Madam President
CHADEMA , Gekul na Waitara wanazidi kushaini, kweli BAVICHA wapo vizuri, huku Katambi, huku Molel, huku Mwita, kama DraftRAIS SAMIA AAWAAPISHA MAWAZIRI, MANAIBU WAZIRI NA KATIBU MKUU KIONGOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu amewaapisha mawaziri nane, na manaibu waziri 8 na Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Dodoma....