Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Hii ya macho yamelegea lakini yanaona ni kauli pana sana ukiichambua na wale wa mbio za urais jumlisha na kubambikia watu kodi za ajabu ajabu ni mambo ya msingi katika khutba ya muheshimiwa rais.