Rais Samia: Kuagiza sukari nje ya nchi ni upotevu wa pesa

Rais Samia: Kuagiza sukari nje ya nchi ni upotevu wa pesa

Mpina alipinga kuagiza sukari zaidi ya gap sugar na pia aliwapinga hao waagizaji kwamba hawana vigezo, Samia kakataza uagizaji wote kwa ujumla ikiwa inaweza kupatikana yote hapa hapa nchini.

Mpina ni kichwa ngumu lakini kakutana na mfumo wenye kuongoza nchi miaka na miaka. Wanaweza kumfanyia kitu kibaya bila ya yeye kutegemea.
Wala mpina alichokuwa anapinga taratibu zilizotumika, pamoja na ununuzi huo katika sehem moja, according to him wazalishaji walisema wana capacity ya kujaza hilo gape? Walisikilizwa? Waziri alikutana nao?
 
Wala mpina alichokuwa anapinga taratibu zilizotumika, pamoja na ununuzi huo katika sehem moja, according to him wazalishaji walisema wana capacity ya kujaza hilo gape? Walisikilizwa? Waziri alikutana nao?
Majibu yalishatolewa ya kina. Mpaka Spika kumpa adhabu serikali ilishajiridhisha na tuhuma za Mpina.

Huyo Ngosha ni wale jamaa wenye kusumbuliwa na 'superiority complex' anawashambulia mawaziri wa SSH lakini ujumbe mpana ni kwamba mlengwa wa tuhuma zote ni SSH mwenyewe.
 
lucka acha kigeu geu si wewe hapa ulimsifia mpaka Bashe kwa kuagiza sukari leo hii umekula reverse moja matata mpaka katambuga zako zimetoa cheche hapo
Weka hilo andiko langu nililo msifia Mheshimiwa Hussein Bashe kwa kuagiza sukari nje ya Nchi.Mimi sijawahi kuzungumza jambo lolote lile juu ya sakata hilo la sukari.
 
Na wapunguze sana sukari kwenye juice
Maradhi mengi na bado wanajaza sukari
Mnajua ulaya kampuni ikipunguza sukari sana wanapewa Asante ya hela na serikali?
 
Mbona mlikuwa mnamukaanga mpina kwa kukataa report ya waziri wa Kilimo

Nimeshangaa sana Lucas kuleta hii habari.

Ukiona CCM wote wanakupinga basi ujue umegusa ulaji wao.

Kuagiza sukari ni WEEZY wa Waziri na CARTEL yake.

Kwa Kauli ya rais inabidi 2CRY asitishe adhabu yake kwa MPINA.
 
View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Tusipoondoa mambumbumbu serikalini, huko tuendako ni kugumu sana kuliko hata Bangladesh ya sasa. Rais apate washauri wazuri. Nakumbuka alivyomtukana Prof. Mkenda kwa issue hii na kumtoa uwaziri wa Kilimo.
 
Mpina alisema tumeagiza kuliko gap sugar na kwamba walioagiza hawana vigezo.

Mama Samia kasema hata hiyo gap sugar hatupaswi kuagiza (Hata kama una vibali au kuagiza ndani ya gap sugar) maana tunapoteza pesa.

Mpina hakupinga sukari isiagizwe ila alipinga utaratibu na kiasi kiliachoagizwa. Mama samia anapinga uagizaji all together so ni mambo mawili tofauti.

Aiseee rudi kupitia tena youtube uone malumbano ya Mpina na bashe maana naona kama unapotosha.
 
Tulia na timu Bashe wanajisikiaje🤔🤔🤔, Mpina alionewa au nguvu ya pesa iliziba macho na masikio ya bunge hivyo kumfukuza Mpina🤔🤔? Inatakafarisha sana.
 
View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Bashe analijua jambo mhimu hilo
 
View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Mpina hoyeeee!!!
 
Tusipoondoa mambumbumbu serikalini, huko tuendako ni kugumu sana kuliko hata Bangladesh ya sasa. Rais apate washauri wazuri. Nakumbuka alivyomtukana Prof. Mkenda kwa issue hii na kumtoa uwaziri wa Kilimo.
Naomba uniwekee ushahidi wa hayo matusi akimtukana Mheshimiwa Profesa Mkenda
 
Back
Top Bottom