Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Weka hayo malumbanoAiseee rudi kupitia tena youtube uone malumbano ya Mpina na bashe maana naona kama unapotosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hayo malumbanoAiseee rudi kupitia tena youtube uone malumbano ya Mpina na bashe maana naona kama unapotosha.
Utadhani msomali alimpa Lucas Mwashambwa vocha ya elfu kumi kwa alivyokua anamtetea.lucka acha kigeu geu si wewe hapa ulimsifia mpaka Bashe kwa kuagiza sukari leo hii umekula reverse moja matata mpaka katambuga zako zimetoa cheche hapo
Hizi ndio vitu watu wafanye walime NK ,hivyo nategemea watoto wao na Sisi wengine tufanye hivyo badala ya kuwapa watu WA nje. Na Kwa DP weldi na Adinan angefanya hivyo.View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.
Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Acha uongo wako wewe.Mimi sijawahi kuzungumza lolote lile wala kuandika chochote kile juu ya sakata hilo la sukari. Kama una ushahidi wa mimi kuzungumza kitu chochote kile kuhusu sukari basi weka hapa.Utadhani msomali alimpa Lucas Mwashambwa vocha ya elfu kumi kwa alivyokua anamtetea.
Haya majitu ni mahayawani kabisa!Mbona mlimpinga Mpina nyie wezi
Asante kwa mchango wako.Bashe: mashamba ya kulima miwa nchini yabadilishwe kuwa mashamba ya mpunga.
Sasa Rais na waziri Wana uono tofauti na waziri Bado Yuko Ofisini.
Kwako Lucas Mwashambwa
Sasa huoni Rais akipingana na waziri wake?Asante kwa mchango wako.
Waziri ameshapewa maelekezo ya kutekeleza.Bashe: mashamba ya kulima miwa nchini yabadilishwe kuwa mashamba ya mpunga.
Sasa Rais na waziri Wana uono tofauti na waziri Bado Yuko Ofisini.
Kwako Lucas Mwashambwa
Halafu akitekeleza apate wapi 10% ya kuagiza nje sukari fake?Waziri ameshapewa maelekezo ya kutekeleza.
Maelekezo ya Rais ni Amri.ukipuuza lazima uende na maji.Halafu akitekeleza apate wapi 10% ya kuagiza nje sukari fake?
Apate wapi pesa chafu za kuendelea harakati zake kusaka Urais?
Sasa Mpina mlikuwa mnamtukania ñn?Maelekezo ya Rais ni Amri.ukipuuza lazima uende na maji.
Bashe alisema afadhali mashamba ya miwa yageuzwe kuwa ya mpunga ili tuendelee kuagiza sukari. Rais anasema kuagiza sukari nje ni upotevu wa pesa. Inafikirisha mtu yule yule aliyetaka mashamba ya miwa yafe, anapewa jukumu la kutayarisha sera ya kuaendeleza. TZ vituko kila kukicha.Hii ndiyo Tanzania na aina ya Viongozi tulionao
Taarifa iliyoenda Bungeni na Waziri mwenye dhamana ilionesha Serikali ilikuwa sahihi kuagiza Sukari nje ya Nchi.
Leo hii Mhe. Rais ameonesha Serikali ilikosea kuagiza Sukari nje
Kwa kauli hii nategemea H. Bashe awajibishwe
Na ingekuwa Nchi za wenzetu Bunge pia lingevunjwa
Usisahau pia kuwa, Magu pia alikuwa Amiri jeshi mkuu, lakini alipiga goti Kwa wananchi kuomba kura.Maelekezo ya Rais ni Amri.ukipuuza lazima uende na maji.
Ningekuwa mm ndio Bashe ningejiuzulu hapo hapo.Bashe alisema afadhali mashamba ya miwa yageuzwe kuwa ya mpunga ili tuendelee kuagiza sukari. Rais anasema kuagiza sukari nje ni upotevu wa pesa. Inafikirisha mtu yule yule aliyetaka mashamba ya miwa yafe, anapewa jukumu la kutayarisha sera ya kuaendeleza. TZ vituko kila kukicha.
Ulimi hauna mfupa.Ningekuwa mm ndio Bashe ningejiuzulu hapo hapo.
Yapo youtube.Weka hayo malumbano
Useless. Uko dunia gani. Mnamshauri vibaya Rais wetu!Naomba uniwekee ushahidi wa hayo matusi akimtukana Mheshimiwa Profesa Mkenda