Rais Samia: Kuagiza sukari nje ya nchi ni upotevu wa pesa

Rais Samia: Kuagiza sukari nje ya nchi ni upotevu wa pesa

Mbumbumbu kubwa kuliko vyote na ambacho ni chanzo cha yote ni CCM.
Hao mambumbumbu wa serikalini wametengenezewa umbumbumbu na chama "twawala" ambacho ni CCM,hivyo kufanya mfumo wote kuwa mbumbumbu.
Ninyi Upinzani Hamna hoja kabisa. CCM itaendelea kuwa chama kiongozi Nchini na Barani Afrika.
 
Je Bashe anasemaje juu ya ule mpango wakevwa kutaka kugeuza mashamba ya miwa kuwa mashamba ya mpunga?
 
Ili kumaliza haya malumbano ya sukari Rais angejifanya angalau anambadilisha wizara Bashe.
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameziagiza Wizara ya Kilimo na Wizara ya Biashara kuvipa kazi viwanda vya ndani ya Nchi ikiwemo Kilombero Sugar ili vizalishe sukari ya majumbani na viwandani na ethanol kwa ajili ya nishati ya kupikia huku akisema kuagiza tani 250000 ya sukari nje ya Nchi kwa ajili ya viwanda ni matumizi mabaya ya fedha.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo August 04,2024 baada ya kuweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero-K4 Mkoani Morogoro.

“Niwaelekeze Mawaziri wawili wa Kilimo na wa Biashara, katika mahitaji yetu ya sukari Nchini, nimeambiwa tani 650000 ni matumizi ya sukari tunayotumia majumbani lakini viwanda vinahitaji tani 250000, sasa tani 250000 tukiendelea kuagiza ni upotevu wa fedha za kigeni”

“Mimi nina uhakika tukivipa kazi viwanda vyetu vinaweza kutuzalishia sukari ya viwandani, kwa hiyo sasa hiyo ndiyo kazi ninataka mkaitekeleze, angalieni mtawekaje sera zetu ili viwanda hivi viweze kuzalisha sukari ya viwandani lakini pia waweze kuzalisha ethanol kwa ajili ya kupata nishati safi ya kupikia na kwa matumizi mengine”.
---
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Mwenyezi Mungu alijua kuwa binadamu kwenye maslahi yao ni Wanafiki ndio maana alishusha Aya kwa ajili ya wanafiki.


Ingekua zama za Kitabu basi CCM ingeshushiwa aya ya wanafiki na uchawa.
 
Hiyo kauli ungekuwa na mantiki Kama angemtengua Bashe na wote waliohusika na uagizaji kinyume na Sheria kushugulikiwa vinginevyo ni kauli ya kisanii.
 
CCM na wafuasi wake kila kitu wanashangilia
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameziagiza Wizara ya Kilimo na Wizara ya Biashara kuvipa kazi viwanda vya ndani ya Nchi ikiwemo Kilombero Sugar ili vizalishe sukari ya majumbani na viwandani na ethanol kwa ajili ya nishati ya kupikia huku akisema kuagiza tani 250000 ya sukari nje ya Nchi kwa ajili ya viwanda ni matumizi mabaya ya fedha.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo August 04,2024 baada ya kuweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero-K4 Mkoani Morogoro.

“Niwaelekeze Mawaziri wawili wa Kilimo na wa Biashara, katika mahitaji yetu ya sukari Nchini, nimeambiwa tani 650000 ni matumizi ya sukari tunayotumia majumbani lakini viwanda vinahitaji tani 250000, sasa tani 250000 tukiendelea kuagiza ni upotevu wa fedha za kigeni”

“Mimi nina uhakika tukivipa kazi viwanda vyetu vinaweza kutuzalishia sukari ya viwandani, kwa hiyo sasa hiyo ndiyo kazi ninataka mkaitekeleze, angalieni mtawekaje sera zetu ili viwanda hivi viweze kuzalisha sukari ya viwandani lakini pia waweze kuzalisha ethanol kwa ajili ya kupata nishati safi ya kupikia na kwa matumizi mengine”.
---
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Mama angemfanya Mpina awe mshahuri wake, ndio mtu pekee wa CCM anaemwambia ukweli. Tofauti na wengine wote wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa...
 
Mama angemfanya Mpina awe mshahuri wake, ndio mtu pekee wa CCM anaemwambia ukweli. Tofauti na wengine wote wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa...
Rais anao washauri wa kutosha na wenye weledi mzuri na wanaendelea kufanya kazi hiyo vizuri sana
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameziagiza Wizara ya Kilimo na Wizara ya Biashara kuvipa kazi viwanda vya ndani ya Nchi ikiwemo Kilombero Sugar ili vizalishe sukari ya majumbani na viwandani na ethanol kwa ajili ya nishati ya kupikia huku akisema kuagiza tani 250000 ya sukari nje ya Nchi kwa ajili ya viwanda ni matumizi mabaya ya fedha.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo August 04,2024 baada ya kuweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero-K4 Mkoani Morogoro.

“Niwaelekeze Mawaziri wawili wa Kilimo na wa Biashara, katika mahitaji yetu ya sukari Nchini, nimeambiwa tani 650000 ni matumizi ya sukari tunayotumia majumbani lakini viwanda vinahitaji tani 250000, sasa tani 250000 tukiendelea kuagiza ni upotevu wa fedha za kigeni”

“Mimi nina uhakika tukivipa kazi viwanda vyetu vinaweza kutuzalishia sukari ya viwandani, kwa hiyo sasa hiyo ndiyo kazi ninataka mkaitekeleze, angalieni mtawekaje sera zetu ili viwanda hivi viweze kuzalisha sukari ya viwandani lakini pia waweze kuzalisha ethanol kwa ajili ya kupata nishati safi ya kupikia na kwa matumizi mengine”.
---
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.

Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Nchi ikiwa na wananchi "mfu" kila siku itageuzwa ni nchi ya Wadanganyika. Huyu mama hata aibu anasema uongo, kwa sababu anajua waTanzania ni punguani na husahau. Yeye anajua kuwa Waziri ndiyo yeye alimtuma aagize Sukari na kumsifia, Leoa anakuja ati tusiagize Sukari--------------!!! Na wengi wamepiga makofi na kufurahi, ati Rais alidanganywa---------dadeki
 
Nchi ikiwa na wananchi "mfu" kila siku itageuzwa ni nchi ya Wadanganyika. Huyu mama hata aibu anasema uongo, kwa sababu anajua waTanzania ni punguani na husahau. Yeye anajua kuwa Waziri ndiyo yeye alimtuma aagize Sukari na kumsifia, Leoa anakuja ati tusiagize Sukari--------------!!! Na wengi wamepiga makofi na kufurahi, ati Rais alidanganywa---------dadeki
Kaa kwa kutulia hapa na siyo kupiga porojo zako hapa.
 
Back
Top Bottom