Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wala mpina alichokuwa anapinga taratibu zilizotumika, pamoja na ununuzi huo katika sehem moja, according to him wazalishaji walisema wana capacity ya kujaza hilo gape? Walisikilizwa? Waziri alikutana nao?Mpina alipinga kuagiza sukari zaidi ya gap sugar na pia aliwapinga hao waagizaji kwamba hawana vigezo, Samia kakataza uagizaji wote kwa ujumla ikiwa inaweza kupatikana yote hapa hapa nchini.
Mpina ni kichwa ngumu lakini kakutana na mfumo wenye kuongoza nchi miaka na miaka. Wanaweza kumfanyia kitu kibaya bila ya yeye kutegemea.
Majibu yalishatolewa ya kina. Mpaka Spika kumpa adhabu serikali ilishajiridhisha na tuhuma za Mpina.Wala mpina alichokuwa anapinga taratibu zilizotumika, pamoja na ununuzi huo katika sehem moja, according to him wazalishaji walisema wana capacity ya kujaza hilo gape? Walisikilizwa? Waziri alikutana nao?
Weka hilo andiko langu nililo msifia Mheshimiwa Hussein Bashe kwa kuagiza sukari nje ya Nchi.Mimi sijawahi kuzungumza jambo lolote lile juu ya sakata hilo la sukari.lucka acha kigeu geu si wewe hapa ulimsifia mpaka Bashe kwa kuagiza sukari leo hii umekula reverse moja matata mpaka katambuga zako zimetoa cheche hapo
Ni kweli kwenye Mjadala wa Sukari Lucas sijakuonaWeka hilo andiko langu nililo msifia Mheshimiwa Hussein Bashe kwa kuagiza sukari nje ya Nchi.Mimi sijawahi kuzungumza jambo lolote lile juu ya sakata hilo la sukari.
Mbona mlikuwa mnamukaanga mpina kwa kukataa report ya waziri wa Kilimo
Tusipoondoa mambumbumbu serikalini, huko tuendako ni kugumu sana kuliko hata Bangladesh ya sasa. Rais apate washauri wazuri. Nakumbuka alivyomtukana Prof. Mkenda kwa issue hii na kumtoa uwaziri wa Kilimo.View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.
Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Mpina alisema tumeagiza kuliko gap sugar na kwamba walioagiza hawana vigezo.
Mama Samia kasema hata hiyo gap sugar hatupaswi kuagiza (Hata kama una vibali au kuagiza ndani ya gap sugar) maana tunapoteza pesa.
Mpina hakupinga sukari isiagizwe ila alipinga utaratibu na kiasi kiliachoagizwa. Mama samia anapinga uagizaji all together so ni mambo mawili tofauti.
Bashe analijua jambo mhimu hiloView attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.
Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Huyu jamaa hajitambui kabisa. Hata kama ni uchawa amezidisha.lucka acha kigeu geu si wewe hapa ulimsifia mpaka Bashe kwa kuagiza sukari leo hii umekula reverse moja matata mpaka katambuga zako zimetoa cheche hapo
Mpina hoyeeee!!!View attachment 3062110Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ambayo yanetamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,huko mkoani Morogoro hii leo katika muendelezo wa ziara yake na kuzungumza na wananchi.
Ambapo amesema ya kuwa mahitaji ya sukari nchini ni Tani laki 6 na Nusu ,huku mahitaji ya sukari viwandani ni Tani Laki 2 Na nusu. Na hivyo akizitaka wizara husika kuhakikisha kuwa sukari inazalishwa na viwanda vyetu vya hapa hapa Nchini,badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi,jambo ambalo ni upotevu wa pesa za kigeni.View attachment 3062107
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Naomba uniwekee ushahidi wa hayo matusi akimtukana Mheshimiwa Profesa MkendaTusipoondoa mambumbumbu serikalini, huko tuendako ni kugumu sana kuliko hata Bangladesh ya sasa. Rais apate washauri wazuri. Nakumbuka alivyomtukana Prof. Mkenda kwa issue hii na kumtoa uwaziri wa Kilimo.
Kwani Mheshimiwa Mpina ndio katoa maagizo?Mpina hoyeeee!!!
Nimefanya nini mpaka useme sijitambui au una chuki binafsi.Huyu jamaa hajitambui kabisa. Hata kama ni uchawa amezidisha.
Umeanza ujinga na utoto wakoAna mkana msomali baada ya kupewa mgao kidogo
Kwani nimetaja jina la mtu? acha upuuzi wakoUmeanza ujinga na utoto wako
Weka hayo malumbanoAiseee rudi kupitia tena youtube uone malumbano ya Mpina na bashe maana naona kama unapotosha.