WaTZ tunapenda kujipa moyo, this country has 60 years of age.Kenya haina tija kwa uchumi wetu?
Rwanda, Burundi ,Kongo, Zambia hazina tija kwa uchumi wetu?
Kwa hiyo bandari ya Dar haina tija na uchumi wetu?!!![emoji44][emoji44]
"Regional economy" si tija kwa WANANCHI wa kawaida eee?
Hii comment yako inathibitisha kuwa hizi taasisi za kimataifa mwanzoni zilikuwa zinakataa hilo bwawa lisijengwe kwa sababu Tanzania ilishindwa kuthibitisha kuwa hakuna athari za kimazingira.Kumbe tatizo lilikuwa kwa Tanzania na wala siyo kwa hao mabeberu.Mikataba ipi? Mbona juzi timu ya wataalamu wetu ilikuwa pale Geneva na ikawaelimisha wanachama na viongozi wa UNESCO ambao walitaka kuifuta Selous kutoka kwenye orodha ya Urithi wa Dunia!? Lakini walipopewa data na facts na figures na statistics sahihi, wao wenyewe walikubali kuwa tulilisha "matango pori" na akina TOBO na NYEPESI na hivyo kugeuza na kufuta hiyo dhamira yao ya awali na kuibakizia Selous hadhi yake ya awali.
Lakini kwa miaka mingi Tanzania ilishindwa kutoa elimu sahihi ndiyo maana Bwawa hili likaendelea kuzuiwa kujengwa hadi lilipokubaliwa juzi kama ulivyodai.Hii maana yake ni kwamba mwenye tatizo hapa ni Tanzania na wala siyo hao mabeberu.Kusaini mikataba ni kitendo cha uungwana lakini kama kuna upotoshaji, mnayo haki ya kupinga na kutoa elimu sahihi ili Jumuiya ya Kimataifa iiuone ukweli na kutoa uamuzi sahihi.
Mkuu agiza chochote hapo ulipo nitumie bili huko PM!Wanamkimbizakimbiza ili wapige kiulaini sana
Watatujua na kutufahamu tu hivi karibuni kwani Uganda iko tayari kuwapokea kama wakimbizi wale wanawaogopa Taliban huko kwao Afghanistan!
Hapana tatizo halikuwa kwetu bali lilikuwa kwa hizo taasisi za kimataifa kwa kusikiliza propaganda na uongo kutoka kwa akina TOBO na NYEPESI na kuyafanyia uamuzi hayo "matango pori" waliyolishwa. Lakini baada ya kutoa nafasi ya kutusikiliza na kujua ukweli basi mambo yakaenda sawa.Hii comment yako inathibitisha kuwa hizi taasisi za kimataifa mwanzoni zilikuwa zinakataa hilo bwawa lisijengwe kwa sababu Tanzania ilishindwa kuthibitisha kuwa hakuna athari za kimazingira.Kumbe tatizo lilikuwa kwa Tanzania na wala siyo kwa hao mabeberu.
Lakini kwa miaka mingi Tanzania ilishindwa kutoa elimu sahihi ndiyo maana Bwawa hili likaendelea kuzuiwa kujengwa hadi lilipokubaliwa juzi kama ulivyodai.Hii maana yake ni kwamba mwenye tatizo hapa ni Tanzania na wala siyo hao mabeberu.
Watamfanya kama Kikwete ,wanaobaki ni kujipigia madili tuWakuu Kazi Iendeleee.
Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.
Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Mbona kuna kipindi mlipandisha kodi pale bandarini mkakimbiwa na hao wakongo! Mambo yenu ya mikodi bila mpangilio na kufanya tathmini, chukua kidogo kwa wengi, kuliko kikubwa na kwa wachache!!?Hii ziara inaweza kuwa ya kimkakati na ya muhimu pengine kuliko ziara zote zilizofanyika toka mama aingie ikulu. Ni jambo la wazi kuwa katika nchi zote za maziwa makuu, DRC imejaaliwa kuwa na idadi kubwa ya watu takriban watu 120,000,000.
Kitendo cha Serikali kuzidiwa nguvu na hao wazee wa kulisha matango pori tayari nchi ina shida mahali.Kwa nini serikali izidiwe nguvu na wazee wa matango pori?Watatujua na kutufahamu tu hivi karibuni kwani Uganda iko tayari kuwapokea kama wakimbizi wale wanawaogopa Taliban huko kwao Afghanistan!
Hapana tatizo halikuwa kwetu bali lilikuwa kwa hizo taasisi za kimataifa kwa kusikiliza propaganda na uongo kutoka kwa akina TOBO na NYEPESI na kuyafanyia uamuzi hayo "matango pori" waliyolishwa. Lakini baada ya kutoa nafasi ya kutusikiliza na kujua ukweli basi mambo yakaenda sawa.
Itapendeza kama atafanya ziara Ulaya na Marekani!Wakuu Kazi Iendeleee.
Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.
Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
"Matango pori" ni UONGO ULIOKITHIRI, hivyo kuna wakati mwingine unawaacha waongope hadi utakapo pata muda sahihi na mahali sahihi ili uweze kujieleza na ueleweke kwa wenye akili wenzako. Siyo suala la kupayuka payuka all the time. Vyama gani vyenye ushawishi!?Kitendo cha Serikali kuzidiwa nguvu na hao wazee wa kulisha matango pori tayari nchi ina shida mahali.Kwa nini serikali izidiwe nguvu na wazee wa matango pori?
Hii maana yake ni kwamba serikali iliyokuwa madarakani ilikuwa ni serikali dhaifu.Hiyo serikali ilikuwa ni dhaifu kwa sababu ilipaswa kuwa na ushawishi kwa Taasisi za kimataifa kuliko hao wazee wa matango pori.Hiyo serikali ilipaswa kujiuzulu haraka sana kupisha vyama vingine vyenye ushawishi zaidi kuongoza nchi.
Itapendeza kama atafanya ziara Ulaya na Marekani!
Huko kote atakwenda ni suala la muda tu, si unajua Makamu wa Rais wa USA ni mwana mama!? Na unajua akina mama wanavyo pendana na kutaka kutiana moyo na nguvu! Subiri tu utaona mialiko hiyo muda si mrefu.Itapendeza kama atafanya ziara Ulaya na Marekani!
Wewe Tanzania unavijua vyama gani ambavyo vina ushawishi?Vyama gani vyenye ushawishi!?
Wakuu Kazi Iendeleee.
Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.
Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Kwahiyo kwako kuonyesha kipaumbele ni ziara ya Rais kwenda nchi husika? Hatuna ubalozi huko Japan? Service gani tuna provide kwa japan kuchochea uchumi wa ndani ukilinganisha Burundi?Taifa huwa linaongozwa kwa kuangalia vipaumbele vyenye tija na wala siyo kwa mapenzi ya mtu kama wewe unavyodai kuwa ni muumini wa regional intergration.
Kama regional intergration haina maslahi mapana kwa Taifa haipaswi kuwa kipaumbele cha Taifa.Mfano labda kama Japani amewekeza zaidi Tanzania kuliko Burundi na tunapata mapato mengi pamoja na faida nyingine kutoka Japan basi Japan huyo anapaswa kuwa kipaumbele chetu na wala siyo huyo Burundi ambae hana Tija kubwa kwetu.
Wanalindwa na hawa hawa watoza TOZOHilo sasa ni suala la tabia na ukosefu wa uadilifu wa hao watendaji na suala la viwango vya adhabu kwa mijizi hiyo ni suala la watunga sheria na serikali katika kuwapa adhabu mijizi hiyo. Haya hayana uhusiano na tozo na kodi tunazopaswa kuchangia kwa ajili ya maendeleo yetu.
Nilichosema mimi mkuu ni kwamba ziara za Rais katika nchi mbalimbali zinapaswa kubase kwenye vipaumbele vyenye tija kwa Taifa.Kwahiyo kwako kuonyesha kipaumbele ni ziara ya Rais kwenda nchi husika?
Kwani Rais anapoenda Congo hatuna ubalozi huko?Hatuna ubalozi huko Japan?
Ohhh my Godness!!!Mkuu nimeitumia japani kama mfano tu wala sijamaanisha kuwa ina tija kuliko Burundi. Angalia andiko langu kuna neno "kwa mfano" kabla ya kuitaja Japan.Service gani tuna provide kwa japan kuchochea uchumi wa ndani ukilinganisha Burundi?
Sasa umejuaje kuwa alienda Russia kwa sababu ni jirani yake na wala siyo kwa sababu ni kipaumbele chenye tija kwa nchi yake?Rais Xi Jinping (2013 kama sikosei) alipoteuliwa kuwa Rais wa China kwa mara ya kwanza ziara yake alikwenda Russia jirani yake na mshirika wake then next stop akaja Tanzania kuangalia fursa za wananchi wake kuwekeza humu na namna ya kutupiga na mradi wa Bagamoyo.
Mimi msimamo wangu ni uleule hata kama hutaki kuelewa; kuwa Taifa huwa linaongozwa kwa kuzingatia vipaumbele vyenye tija.Je,Congo Burundi na wengineo wana tija kwetu kuliko Mataifa mengine duniani hadi tuwape kipaumbele cha kuanza kuwatembelea?Ukiangalia ziara za mama kutembelea hizi nchi unazozipinga anaongozana na wafanyabiashara na huwa anawakutanisha wafanyabiashara wa pande zote mbili kujadili changamoto na kuangalia fursa.
Again,nilitumia japan kama mfano tu kama nilivyosema hapo juu.Japan sisi makapuku tuna nini cha ku-trade nao?
Hoja yangu ni nyepesi sana ila ngumu sana kwako kuielewa.Mimi sijalazimisha aanze kwenda popote pale ila hoja yangu ya msingi ni kwamba anapaswa aanze kwenda kule ambapo ni kipaumbele chenye tija kwa Taifa letu kwa sababu Taifa huongozwa kwa kuzingatia vipaumbele.Isitoshe huu ndiyo mwaka wake wa kwanza , kama ataona kuna umuhimu wa kufanya hivyo mbeleni atakwenda tu, sijui kwanini unalazimisha aanze kwa kwenda huko?
Tulieni makamanda nchi ifunguliwe na ijengweHuyu anabembea tu kwenye mapipa, kwa masikini wenzake hakuna atakachokipata , sana sana ni kumshauri namna ya kuwaonea/kuwaua wapinzani. Huyu hafai katu... Nenda kwa mabeberu uone kama utapata wawekezaji, lkn baada ya kurekebisha sheria na stupid policy zilizowekwa na Jiwe.
Kusema nchi kama drc au Zambia zina mchango ndogo katika uchumi wa Tanzania ni kiashiria cha uelewa usio sahihi. Kwa mfano, bandari ya Dsm inahudumia kiasi gani cha mizigo kutoka mataifa hayo. Pia waulize wenye viwanda Dar na maduka Kariakoo juu ya idadi ya wateja kutoka mataifa hayo wanaofanya nao biashara. Natumaini ukipata takwimu sahihi utabadilisha kauli hasi juu ya ziara ya Rais.Kama mshauri wake ni vasco da gama unategemea nini?
Halafu nchi anazosafiri kwenda zina mchango mdogo kwenye uchumi wetu.
Asafiri kutafta wawekezaji wa maana huko Ulaya walete mitaji kutusaidia ku exploit hizi natural resources tulizonazo.
Sio muda utasikia ana ziara Somalia.
Yaani hapa tumeingia cha kike kweli.