Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya HH.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Dah huyu mama Hana hbarii na miradi kabisaa
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya HH.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi

Kwamba?

1. Ule ujumbe wake mzito alioongozana nao kwenye matembezi yake Zambia anaunganisha nao DRC pia,

2. Kwamba kwa muda wote huo dreamliner linaendelea kuwa na hadhi ya air force one,

Hapo kwa kweli anahitaji pesa za kutosha kusimamisha uchumi wake na wa anaoambatana nao.

Kwani afanye je sasa?

Mama SSH, Mwigulu ongezeni tozo na kodi zaidi. Hizi zilizopo haziwezi kuwalipa. Kwa kweli tunawaelewa sana tena kuliko maelezo.
 
Ikiwa sijakuwekea STATISTICS basi nilitegemea msomi wewe uniwekee statistics hizo kuwa BURUNDI NA KENYA hazina mchango katika uchumi wetu......
Hili ndilo swali ambalo ulipaswa kuniuliza immediately nilivyodai kuwa hao akina Congo hawana thamani kwetu na wala siyo kudai bila data wala statistics kuwa hizi regional economy ni muhimu sana kwetu.
 
Anapenda kuzurura kama yale mapaka yasiyofugwa.Halafu anahangaika sana na nchi ambazo hazina tija kwa Taifa.Ataanza ziara za kuwatembelea wahisani wetu lini?
Tutaenda kila kona ya dunia tunakoona Tz ina maslahi napo ktk diplomasia ya kiuchumi. DRC ni mdau mkubwa wa bandari ya dsm. ni muhimu safari hii ina tija. Halafu ulaya na marekani nako tutaenda tu sana. Rais azingatie ushauri wa kina lema, sugu na msigwa, ambao hawakupendezwa na kutokuwapo kwa safari za nje wakati wa jpm, kuwa atoke nje ya nchi sana ili aifungue nchi.
 
Hili ndilo swali ambalo ulipaswa kuniuliza immediately nilivyodai kuwa hao akina Congo hawana thamani kwetu na wala siyo kudai bila data wala statistics kuwa hizi regional economy ni muhimu sana kwetu.
Wakati Kenya Ina Miradi Kibao Tz
 
Tena kachelewa , Bandari, bandari ,bandari ndio every thing, bandari yetu lazima ishughulishwe haswa bado iko under utilized , na lazima Mhesh. Rais mwenyewe aende kwa majirani asitume waziri wala nani, mwenzake Uhuru Kenyatta kila miezi miwili lazima awapitie Uganda, DRC, South Sudan, Rwanda, Burundi , etc.. mtoto hatumwi sokoni.

Nchi kama Singapore, Dubai, kwao bandari ndio engine ( injini ) ya maendeleo yao. Lazima Rais awapitie wateja wake kuwabembeleza waendelee kupitisha mizigo yao Dar na kusikiliza changamoto wazipatazo.

Piga kazi Mama, safi sana, ukitoka Congo, pitia Uganda tena, lazima tule sahani moja na bandari ya Mombasa.
 
Ni mwanamke lakini haogopi kupinduliwa tofauti na yule mwanachato
 
kwa hizo safari mbili, she is unfairly attacked. ilikuwa lazima aende.
 
Umefanya comparative analysis gani ukagundua kuwa Kenya ina miradi kibao TZ kuliko labda Japan kwa hiyo Kenya inapaswa kupewa kipaumbele katika ziara za Rais kuliko Japan?
Kwa nchi za afrika mashariki Nadhani(igawa Sina hakika) Kenya imewekeza Sana Tz, Kwa Maana banks na miradi Mingine.

I stand to be corrected guys
 
Tutaenda kila kona ya dunia tunakoona Tz ina maslahi napo ktk diplomasia ya kiuchumi. DRC ni mdau mkubwa wa bandari ya dsm. ni muhimu safari hii ina tija. Halafu ulaya na marekani nako tutaenda tu sana. Rais azingatie ushauri wa kina lema, sugu na msigwa, ambao hawakupendezwa na kutokuwapo kwa safari za nje wakati wa jpm, kuwa atoke nje ya nchi sana ili aifungue nchi.
Mimi ninachozungumzia hapa ni vipaumbele.Rais ametumia kigezo gani kuipa Rwanda,Congo na Kenya kipaumbele katika ziara zake?Ni kweli kwamba Kenya,Congo na Rwanda zina tija kwetu kuliko mataifa mengine hasa ya nchi zilizoendelea?
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya HH.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
I wish tz ingekuwa Bukinafaso au Mali....dreamliner ingerudi ikiwa tupu kwa amri ya cdf
 
Kwa nchi za afrika mashariki Nadhani(igawa Sina hakika) Kenya imewekeza Sana Tz, Kwa Maana banks na miradi Mingine.

I stand to be corrected guys
Tunapozungumzia vipaumbele hatuzungumzii nchi za Afrika mashariki peke yake,tunazungumzia nchi zote duniani.

Congo,Kenya na akina Burundi wanapopewa kipaumbele katika ziara za Rais ni kweli kwamba ndiyo nchi zenye tija kwetu kuliko nchi nyingine duniani hasa nchi zilizoendelea?

Tuliona pia kichwa cha mwendawazimu(Bwana chato) akiipa kipaumbele zaidi Zimbabwe!Is this not lunatic?
 
Back
Top Bottom