Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya HH.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Ataenda na ujumbe wa wanaccm tena?
 
Kama mshauri wake ni vasco da gama unategemea nini?

Halafu nchi anazosafiri kwenda zina mchango mdogo kwenye uchumi wetu.

Asafiri kutafta wawekezaji wa maana huko Ulaya walete mitaji kutusaidia ku exploit hizi natural resources tulizonazo.

Sio muda utasikia ana ziara Somalia.

Yaani hapa tumeingia cha kike kweli.
duh..si kweli kwamba nchi zote anazotembelea hazina mchango katika uchumi wetu...hivi unafahamu kwamba Congo ni land locked country,Rwanda je? hivi unajua kwamba ndani ya mwezi mmoja huu kuna meli kubwa sana zimekuja bandari yetu ya Dsm zikiwa na shehena kubwa na nyingi ni za kwenda kwa nchi zetu majirani...tusipoteshe haisaidii na kama hatujui ni bora kufuatilia au kuuliza
 
Ziara ya nchi za maziwa makuu,Zina manufaa kwa nchi yetu,kibiashara (kuuza mazao yetu-Mahindi au kushawishi nchi hizo kupitishia bidhaa zao bandari ya Dar es Salaam. Serikali kuanzia awamu ya tano, imefanya uwekezaji mkubwa bandari ya Dar na reli ya SGR inayojengwa,ni busara kuanza kuingia mikataba ya kibiashara na nchi zinazo zunguka maziwa makuu watumie huduma zetu sasa na siku za usoni,vinginevyo uwekezaji wote unaweza usiwe na tija(white elephant).

Ninadhani kupitia jamiiforum, tunapoona Rais anatembelea nchi fulani, tunaweza kutoa maoni yetu ya kujenga (constructive idea) nchi yetu, kwa mfano nini Mheshimiwa akatuzungumzie wananchi wake huko ughaibuni (yenye kuleta tija kwa nchi), kwa maana wakati mwingine wasaidizi wake wanakuwa hawayajua matatizo ya huku chini (grassroot level) kwa mfano tumshauri Kama Kuna vikwazo vya biashara kati ya Tanzania na nchi anayokwenda,nk.
 
Wanamkimbizakimbiza ili wapige kiulaini sana
Washajua hakuna chochote anachojua.
Washamsoma kuwa huyu hamna kitu, aisee Ila safari hii tumepatikana. CCM watavuna kwa kadri ya watavyoweza.
Hebu fikiria mwenyekiti wa CCM mkoa nae anahudhuria sherehe ya uapisho wa raisi
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya HH.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Kwa maana hiyo ujumbe huu alioenda nao Zambia ndio utakaokwenda DRC. Kama ndivyo basi tumekwisha. Kwangu mimi ujumbe wa Zambia ulikuwa wa kichama zaidi kutokana na kusheheni makada wa chama. Hebu fikiria mtu kama kibajaj kutuwakilisha anaenda kusema nini maana huko hamna mipasho. Kama ni kweli anataka kwenda DRC naonelea Bora azidishe huu ujumbe wa kichama nyumbani ndipo aunde ujumbe wa kiserikali wa kwenda nao huko DRC.
 
Hili ndilo swali ambalo ulipaswa kuniuliza immediately nilivyodai kuwa hao akina Congo hawana thamani kwetu na wala siyo kudai bila data wala statistics kuwa hizi regional economy ni muhimu sana kwetu.
Bado hujaniwekea STATISTICS.....
 
duh..si kweli kwamba nchi zote anazotembelea hazina mchango katika uchumi wetu...hivi unafahamu kwamba Congo ni land locked country,Rwanda je? hivi unajua kwamba ndani ya mwezi mmoja huu kuna meli kubwa sana zimekuja bandari yetu ya Dsm zikiwa na shehena kubwa na nyingi ni za kwenda kwa nchi zetu majirani...tusipoteshe haisaidii na kama hatujui ni bora kufuatilia au kuuliza
Wapotoshaji hao....
 
Imekaa poa sana hii.mlitaka akae ndani kama utumbo?
 
Raisi wa Ziara 😂 ama kweli mama anaupiga mno maana sio mwingi tena!
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Sisi si wakuzurura hivi aisee mbona wao wametulia tu kwako
 
Khaaa!!!Unanisumbua kuwa nikuwekee statistics wakati hutaki kukiri kuwa umekosea kuandika porojo katika masuala ya uchumi?WTF!!!
Hivi kweli unakumbuka tulikoanzia?!

Mjadala usio na "argumentum ad hominem" ni ule uendao kwa NIDHAMU...

Ulinipinga kuwa ninaongea "pang'ang'a" kwa kutoweka statistics ya jinsi tunavyonufaika na uhusiano na nchi zinazotuzunguka(anazokwenda mh.Rais)....

Kwa kuwa hatuko mahakamani...nikategemea utakuja na STATISTICS zako...sijaziona bado zaidi ya tabia yako koko ya matusi ,kedi na dhihaka....

Matusi hayauzwi mzeya....
 
Back
Top Bottom