fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hii hata the late mwalimu alikuwa anafanya,fanyeni utafiti kwanzaWashajua hakuna chochote anachojua.
Washamsoma kuwa huyu hamna kitu, aisee Ila safari hii tumepatikana. CCM watavuna kwa kadri ya watavyoweza.
Hebu fikiria mwenyekiti wa CCM mkoa nae anahudhuria sherehe ya uapisho wa raisi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app