DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Au sio endelea kujificha kwenye kisiwa Cha amani[Tanzania]😁Ndiyo maana najificha mpuuzi mkubwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio endelea kujificha kwenye kisiwa Cha amani[Tanzania]😁Ndiyo maana najificha mpuuzi mkubwa wewe
Kikwete alitembelea kiwanda cha kusindika mananasi huko Ghana alipokuwa Rais na alipendezewa sana inasemekana; aliporudi akaenda shambani kwake Kibaigwa na akawaahidi wakwere wenzie kuwa angejenga kiwanda cha kusindika mananasi , mpaka anaondoka madarakani hakuna kitu!!Kuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Asante mkuuTafuta
1. Governing you are self
2. God is fighting for us
Utakuja unishukuru baadae
Wanaonekana hawapendi kutembea tembea hovyo kama wa Nigeria na hata Raisi wao hasikiki sanaa, mifumo yao inaendana na nchi kama Bostwana, Namibia.Ninachofahamu ni ule tu uhusiano wa Nyerere na Nkuruham ndio umeyafanya mataifa haya kuwa marafiki. Nipokuwa kule walikuwa wanapenda sana kujua kuhusu Tanzania, ni watu wazuri sana, hawana mambo mengi
Samia amelishwa miguu ya kuku na Kikwete ndio maana hatulii!Wanaonekana hawapendi kutembea tembea hovyo kama wa Nigeria na hata Raisi wao hasikiki sanaa, mifumo yao inaendana na nchi kama Bostwana, Namibia.
Yetu machoWakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Siyo kwamba safari ndio zinampenda ?Mama anapenda safari kama nini!
Iwapo anasafiri kwa tija, manufaa ya nchi na sababu zenye ueledi na ulazima aendelee tu. Tumuunge mkono vizuri na Mungu ambariki sanaWakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Labda anafuata momerandam ya katiba yao Ili aunganishe na ya Warioba itoke kitu konki, roho inaniambia mh anataka katiba konki ya USA itakua Cha mtoto Ili atukomeshe makelele yetu, tunayompigiaWakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Yule wa Uswisi amekwenda na mkewe , Pengine nae Hangaya angekwenda na sheikh Hafidh maneno yasingekuwepo!Kuna aliyeenda uswisi lakini kimyaaaaaa,
Au kwa kuwa huyu ni mwanamke? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chuki kwa kwenda mbele
Mfano morison kuja tz is a techlnological transfer.Kuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Kwa hiyo kwa wastani ni kila mwezi ana safiri katika mwaka mmoja[emoji23]Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Labda kama ameenda na nany au sister ila wife mmhhh, au askofu? 😂😂😂Yule wa Uswisi amekwenda na mkewe , Pengine nae Hangaya angekwenda na sheikh Hafidh maneno yasingekuwepo!
Munataka tu watu waendelee kutukana.Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi
]