Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Alifisidi 1.5 trilion kutoka hazina; CAG Assad alipohoji akamfukuza kazi bila kufuata taratibu.
Hivi unajua kama Asad hakuondolewa mdaa wake uliisha hakuongezewa muda halafu hizo hela trillion 1.5 alizozifisadi Alifichia wapi? Au hizi stori za kuokoteza
 
Kuwahamisha wizara mafisadi hakusaidii kitu ni ulaghai.
 
Kwani tatizo la nchi hii ni nini na litatatulikaje mkuu?
 
Yaani zinapotea trillions of money wewe unasema watu walisahau kuandika tarehe?
Lazima utakuwa mjinga sana.
 
Naona waziri Ulega anaziara za vyombo vya Habari kujikomba kwa Wana chi kuomba huruma ya Wana nchi, ngoja tuone yajayo yanafurahisha
Mama anatoa mtu anaefanya kazi,anaweka akina ulega kwa sababu ya uswahili.

Kazi zao ni kumpost post mama na kusifu,wajanja wajanja tu
 
Mama anatoa mtu anaefanya kazi,anaweka akina ulega kwa sababu ya uswahili.

Kazi zao ni kumpost post mama na kusifu,wajanja wajanja tu
Ulega ni moja wa mawaziri ambao hawatarudi kwenye baraza; amefail sana
 
Kwa jinsi upigaji ulivyoshamiri katika nchi hii, hata kama watabadili baraza la mawaziri, ni kazi bure. Nchi hii imefika mahali pabaya sana kwenye suala zima la upigaji wa fedha za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…